Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

MBUNGE MASACHE KASAKA AZUNGUMZIA BAJETI YA WIZARA YA KILIMO "Serikali umeweka utaratibu mzuri wa kuchukua vijana na kuwaweka katika makambi, nashauri tuwachukue vinana ambao wameshajiajiri tayari...
0 Reactions
1 Replies
639 Views
MHE. JUMA USONGE - ZANZIBAR NYAMA NI ELFU 13 KWA KILO, TANZANIA BARA NI ELFU 6-7 KWA KILO "Ipo tozo ya halmashauri, ipo tozo ya kijiji ambayo inachajiwa kwa ng'ombe yuleyule mmoja anayeenda...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TANZANIA IWEKEZE UVUVI WA SAMAKI WA VIZIMBA ILI SEKTA YA UVUVI ICHANGIE PATO LA TAIFA KWA ASILIMIA MBILI Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Mkoa wa Mara Mhe. Prof. Sospeter Muhongo mwenye Jimbo...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
MBUNGE CHEREHANI - PAMBA IWE NA TIJA Mbunge wa Jimbo la Ushetu Kahama-Shinyanga Emmanuel Cherehani amesema Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe apewe udaktari wa heshima kutokana na mchango wake...
0 Reactions
0 Replies
664 Views
JOSEPHAT GWAJIMA AKICHANGIA BUNGENI BAJETI YA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI MWAKA WA FEDHA 2023/2024 Mbunge wa Jimbo Kawe lililopo Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Askofu Dkt. Josephat...
1 Reactions
2 Replies
591 Views
Wakuu salaam. Kutokana na hali ilivyo ngumu huku mtaani, kijana nimejipiga na kupambana nikakusanya kiasi cha 300k. Nataka nijitupe kwenye ujasiliamali wa ufugaji wa nguruwe. Wataalamu wa haya...
3 Reactions
63 Replies
23K Views
MBUNGE ESTHER MALLEKO AWASILISHA MAOMBI YA TEKNOLOJIA KWENYE KILIMO CHA NDIZI, KILIMANJARO "Tanzania tunazalisha kahawa tani 80,000 kwa sasa, huko nyuma tulikuwa tunazalisha tani 61,000 za...
3 Reactions
0 Replies
504 Views
[emoji239] Je, wajua tetea anaweza kutaga bila uwepo wa jogoo? [emoji1639]Watu wengi tumekua Tukiamini Ili Tetea Atage Lazima Awepo Jogoo Wa Kumpanda Ndio Yai Lipatikane...Kama Wewe Ni Miongoni...
12 Reactions
26 Replies
4K Views
ukienda kijijini heka 1 utakodi kwa gharama isiyozidi laki moja 100,000.00 tu! ukilima mahindi ni miezi mitatu tu unavuna faida nzuri mno, jipunguzie gharama za maisha kwa kutengeneza mwenyewe...
12 Reactions
13 Replies
1K Views
Salaaams wanajukwaa, poleni na majukumu. Kama heading inavyojieleza, Nahitaji partner wakushirikiana nae kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama ( BROILER ). Mabanda ni makubwa na ya kisasa, yenye...
2 Reactions
92 Replies
21K Views
habari wakuu, naomba kuuliza wataalam, hivi biashara ya kulima mahindi ya kuchoma ni ya msimu au unaweza kulima mwaka mzima?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF, Kwanza niseme asanteni sana maana ushauri ambao mmekuwa mnanipa nimekuwa nikiufanyia kazi unanipa matokeo mazuri. Sasa nina changamoto ya kuku wa sasso ambao wana umri wa miezi miwili...
0 Reactions
10 Replies
912 Views
Licha ya Tanzania kuwa na hali ya hewa inayoruhusu uzalishaji wa zao la michikichi, uzalishaji wake uko chini ukilinganishwa na nchi zianzozalisha kwa wingi kama vile Malaysia na Indonesia. Ni...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnijuze aina ya miti ya kupanda kwa ajili ya kivuli ambayo inakua haraka Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
36 Replies
26K Views
Wakuu kuna tani 32 za mahindi zinauzwa, bei itategemea na sehemu ulipo maana nakuletea, ama ukiamua kuyafuata mwenye pia sawa Kwa maelezo na mawasiliano zaidi nicheki inbox
2 Reactions
12 Replies
934 Views
Alizeti hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Shinyanga, Singida, Dodoma, Iringa, Tabora, Morogoro, Ruvuma, Mbeya, Arusha, Manyara, na Rukwa. Zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara. MAMBO...
5 Reactions
192 Replies
133K Views
BUNGE LARIDHIA BAJETI YA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI 2023/2024 YA TSH. BILIONI 295.9 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naweza kupata vipi Corn Harvester inayo weza kufanya kazi kwenye powertiller ( CORN HAVERSTER AS ONE OF THE POWERTILLER COMPONENT)
1 Reactions
0 Replies
312 Views
Habari wadau Nishachoka kumaliza hela kwenye matikiti sasa nataka kurudi kwenye kilimo chetu cha asili. Nataka kulima mahindi ya kuchoma niuzie Dar es Salaam kwahio naomba ushauri sa mambo...
7 Reactions
42 Replies
14K Views
Mbunge Emmanuel Cherehani ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Kahama-Shinyanga amesherehekea Siku Kuu ya Mei Mosi na Wana-Ushetu huku akiwasihi wananchi waweke akiba ya Chakula kutokana na hali...
0 Reactions
1 Replies
639 Views
Back
Top Bottom