Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari, Namtafuta mtu anayetaka kulima shamba bure, lipo Masaki, Kisarawe. Linafaa kwa kilimo cha mihogo, mahidi, nampa alilime bure. Lina ukubwa wa hekta 2, lipo karibu na barabara. Contact...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAOMBA BILIONI 295.9 BAJETI MWAKA MPYA WA FEDHA 2023/2024 Waziri wa Wizara Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Hamis Ulega ameliomba Bunge likubali kupitisha Makadirio ya...
0 Reactions
0 Replies
606 Views
Kichwa cha habari chajitosheleza
0 Reactions
5 Replies
769 Views
Salaam, Bila shaka ninyi wote ni wazima wa Afya. Nimekuwa mdau lakn pia mkulima kwa muda mrefu Sana, nimekuwa nikiona ups and downs katika Kilimo na hii imenipa Kujifunza mengi ikiwemo makosa...
2 Reactions
1 Replies
588 Views
Hello Habari! Mwenye connection na wakulima wa Pili pili kichaa zile kali fupi nyekundu aina ya African Birds Eye chill (ABE). Please naomba unicheki.
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Ni Ushauri wa biashara ya mbuzi kwa atakaeiweza. Mimi ni mkaazi wa Zanzibar. Kama kuna mtu yupo tayari kufanya biashara hii ya mbuzi kipindi cha skukuu ile ya kuchinja huku Zanzibar wanalipa...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina plan ya kulima mazao ya biashara alizeti au kahawa. Nimeshauriwa kwenda ngara. Wanasema Kuna Hali nzuri ya hewa inayo supoti mazao tajwa hapo juu. Niliwahi kufika ngara Mara 1 na nikakaa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kichwa cha habari chahusika, nipo Dat Es Salaam. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
732 Views
Wakuu natafuta kiatamishi cha mayai kinachotumia mafuta ya taa bei kiwe chini ya 50 000
0 Reactions
9 Replies
1K Views
MBUNGE MHE. NORAH MZERU ACHANGIA MILIONI 3 VIKUNDI VYA WAKULIMA WA MPUNGA KILOMBERO Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Morogoro Mhe. Norah Waziri Mzeru amechangia Miradi ya Kimaendeleo ya wanawake wa...
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Nataka kuanza kufuga kuku wa mayai na nataka kujenga banda. Naomba ushauri mambo mhimu ya kuzingatia ili nisiingie chaka.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
UWEKEZAJI WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KILIMO UNA DHAMIRA KUZALISHA AJIRA KWA VIJANA-NDG KAWAIDA Mwenyekiti Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameadhimisha Sikukuu ya Miaka 59 ya Muungano wa...
0 Reactions
2 Replies
520 Views
Habarini wana jamvi letu pendwa, Nauhitaji wa kununua kuku wa kienyeji kwa bei rahisi (chini ya Tsh 10,000/=) kama kuna mdau anafahamu sehemu (kijiji/kata, wilaya au mkoa) basi naomba anitajie...
0 Reactions
5 Replies
799 Views
Habari mwana jamvi, Kama upo humu na unajihusisha na kilimo cha miti ya matunda na maua. Kama upo Tukuyu hebu fanya kunitumia private message hapa Upate hela ya pasaka.
0 Reactions
8 Replies
994 Views
KOMREDI KAWAIDA - HALMASHAURI TENGENI MAENEO YA KILIMO Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndg. Mohamed Ali Kawaida ameendelea kukagua maendeleo ya mafunzo ya Kilimo kwa vitendo Shambani wanapofanya...
0 Reactions
1 Replies
358 Views
Habari natafuta kifaa cha kupimia ukavu wa nafaka, yaani kupima mahindi au nafaka nyingine zimekauka au zina ubichi kiasi gani Anayejua vinapatikana na bei zake anijuze
3 Reactions
4 Replies
694 Views
Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kitaifa na mwenyezi Mungu akutangulie, sisi wakazi wa bwawa la Mtera tuna maombi kwako tangu mwaka 2019. Bwawa la Mtera limesitisha kabisa uzalishaji wa...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi ni wapi naweza pata maziwa kama lita 1,000 kwa siku nikiwa Tanga?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu kwema, natafuta dalali wa mazao Tabora, nataka kununua karanga tani 16 na kuendelea Nichek inbox au reply uzi huu
1 Reactions
5 Replies
953 Views
Wana JF amani iwe nanyi! Naomba kuuliza, hivi kwenye ekari 1 unaweza kuvuna mchicha kiasi cha pesa ngapi? Yaani unapata pesa kiasi gani kwenye ekari 1 ya mchicha? Asanteni.
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Back
Top Bottom