Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

KOMREDI KAWAIDA - MRADI WA B.B.T USIPOFANYA VIZURI TUTAWALAUMU WIZARA YA KILIMO Kilombero. Wakati Wizara ya Kilimo ikitekeleza mradi wa Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT), Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana...
1 Reactions
2 Replies
972 Views
MHE. NDAISABA GEORGE RUHORO - HABARI NJEMA ZAO LA KAHAWA MKOA WA KAGERA MASWALI NA MAJIBU WIZARA YA KILIMO Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro ameiuliza swali Wizara ya Kilimo -...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
UVCCM YATAKA UDAHILI WA VIJANA BBT UONGEZEKE Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Ndugu Mohammed Ali Mohammed (Kawaida) ametaka juhudi ziongezwe kuhakikisha idadi ya wanaodahiliwa katika...
0 Reactions
0 Replies
337 Views
MOHAMMED KAWAIDA AWAKOSOA WASOMI MRADI WA BBT Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Mohamed Kawaida ameitaka jamii kuondokana na dhana kwamba mradi wa Jenga Kesho...
0 Reactions
0 Replies
477 Views
KOMREDI MOHAMMED KAWAIDA ATAKA TIJA KILIMO BBT Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana UVCCM Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida amewataka vijana nchini kutokidharau Kilimo na badala yake wakikumbatie na...
0 Reactions
1 Replies
364 Views
Hamjamboni wadau. Naombeni msaada wa kitaalamu. Nina vifaranga wa kuku, wanasumbuliwa na tatizo la miguu. Wanakunja vidole vya miguu na kutembelea viwiko. Nini ufumbuzi!
2 Reactions
3 Replies
651 Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema sekta hiii ipo hoi taabani sana hasa kwenye upande wa waziri na watendaji wake. Leo tumeona wafanya biashara wanao toa ruzuku ya mbolea wamefutiwa kama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari kwa wanajukwaa. Kwa leo naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Naulizia je huu unaweza kuwa ugonjwa gani hasa kwa vinguruwe vidogo kutoa haja kubwa ambayo inakuwa kama uji uji mwepesi na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajuvi wa mambo heshima kwenu wote! Nimejikuta natamani Sana kilimo cha karanga baada ya kuona soko lake liko juu, pia nahisi ni kilimo chake ni rahisi. Karibuni wazoefu mnipe mchanganuo ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Nauza mabata dume ni makubwa na yanafaa kwa kula na mbegu pia. Karibuni mabata haya yanafugiwa Dar es Salaam.
1 Reactions
10 Replies
831 Views
POWER TILLER GT SHAKTI 880 hp 13 Diesel Usithubutu kununua haka ka Power Tiller nimekanunua majuzi tu sh 2,200,000 HP 13 Diesel tayari kamevunja diff, na spare hawana Naombeni...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanajamvi Mimi ni mkulima mdogo mwenye shauku kubwa ya kumiliki trector Kwa mwaka huu 2023, nmechoshwa na gharama kubwa ya matrector huko Songea, heka Moja mwaka huu tumelima Kwa TSH 90000 had...
3 Reactions
46 Replies
5K Views
Msaada tafadhali, miparachichi yangu imepukutisha matunda yote yangali machanga sana, shida nini na niitatueje wataalam?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tupia picha kuonyesha hali ya mazao ya chakula yanavyoonekana shambani sehemu unayoishi. Lengo ni kutaka kujua hali ya mvua na ukame katika mikoa mbalimbali. Karibuni. Hapa ni mkoa wa Iringa...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari zenu? Nafanya utafiti kidogo kuhusu Lucerne au Alfalfa Tanzania na Kenya. Hapo Kenya naona wanalima alfalfa kwa ajili ya ng'ombe na mbuzi Zao. Tanzania sijapata Maelezo bora, zaidi ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau karibuni muwekeze Njombe. Wewe toa pesa tu sisi tutakufanyia kila kitu, ikiwemo kununua hizo parachichi
3 Reactions
24 Replies
5K Views
Wadau, naombeni kuuliza ugonjwa wa mnyauko wa majani ya viazi mviringo unasababishwa na nini na tiba gan iinahitajika?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani wadau naomba kuuliza, huyu mbuzi imemuanza shida hyo. Je, huo utakuwa ni ugonjwa gani na tiba yake ni nini?
1 Reactions
1 Replies
807 Views
Habari zanu wadau wa JamiiForums, Poleni na shughuli za kila siku za kujenga uchumi wetu. Leo naombeni msaada wenu wa kunitoa matongotongo kuhusu kilimo kipi kinalipa/au kisicho na usumbumbu...
3 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari wapendwa naomba kujuzwa nina kaeneo kadogo Singida kadogo tu robo heka nahitaj kukapanda miti ya mbao kea sababu sijengi hvi karibuni naomba msaada ni miti gan inastawi vizur hapo Singida...
1 Reactions
3 Replies
450 Views
Back
Top Bottom