Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari wandugu Naomba kujua garama za hii Mashine na je ni vigezo gani anatakiwa kuwa navyo MTU anaetaka kununua awe na kituo cha kununulia tiketi je faida IPO katika mfumo gani? Nikiwa na...
0 Reactions
26 Replies
20K Views
Habari za leo wakulima na wafugaji wenzangu. Mmea huu una maajabu sana kiasi cha kwamba unahitaji tu Alfalfa kuwa 3% ya lishe ya mfugo wako kwa siku. Ukizidisha basi mfugo wako atasambuka kwa...
0 Reactions
1 Replies
632 Views
Habari za muda huu, Wadau na shida moja kwa anaejua kiwanda ama msambazaji mkubwa wa Mifuko hii ya kutunzia nafaka inayoitwa Kinga njaa anielekeze ni jinsi gani nitaipata hiyo Mifuko kwa bei...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, kichwa habari chahusika. Wenye uzoefu na Kilimo cha miti ya mbao tunaomba kujuzwa ni miti gani bora yenye kutoa mbao nyingi. Inakua kwa muda gani. Baadhi ya miti michache nilowahi kusikia...
1 Reactions
74 Replies
42K Views
Namaanisha ile kwenda baharini na kuomba kibarua cha kazi ya kuanza kuvua samaki hlf ni mgeni na sina uzoefu wa kuogelea. Nimeongea na wavuvi wenyeji Wenye mtumbwi wa kawaida tu, wamekubali...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Naomba nijue hivii zao la vanilla inalimwa wapi zaidi na ukanda ganii 🙏
1 Reactions
14 Replies
838 Views
Wadau ambaye anauzoefu wa Zao hili la VIAZI MVIRINGO tafadhali nisaidie kujibu na kunipatia taarifa zaidi kutokana na maswali yangu nitakayouliza hapa chini, lengo niweze kufahamu nini...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Hello Wana JF Naombeni msaada wa ushauri, mawazo au maelekezo wa mahali au wauzaji wa mbegu za Safflower kwa hapa Tanzania N:B Soko kuu la Kariakoo( Nimetafuta bila mafanikio)
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Infaltion inafanya maisha yanakuwa magumu sana. Athari kubwa zinakuwa upande wa lishe. Si vema kupata utapiamlo na hali unaweza solve kwa kuotesha mbogamboga hapo nyumbani. Tushirikishane juu ya...
9 Reactions
26 Replies
4K Views
Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyez mungu mwingi wa rehema, pia natoa pole Kwa wakulima wenzangu waliokumbwa na ukame katika msimu huu wa kilimo. Jambo lililonileta kwenu nikutaka kujua...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Kwa wakulima wa mahindi wa mkoa wa Mbeya. Mwaionaje hali ya mahindi yetu mwaka huu. Kwa mimi hairidhishi kabisa! Sijui kilichotokea. Mvua ilikuwa vizuri Taratibu za kilimo zilifuatwa kama miaka...
3 Reactions
56 Replies
4K Views
Wadau wa kilimo, kama kuna mtaalam anafahamu hichi kilichopo kwe picha ni kitu gani, atupatoe elimu kidogo, maana nimeikuta shambani kwangu, imenistua sana maana, sijawahi kukutana na product...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakuu habari. Nahitaji soya kwa wingi, hivyo yoyote anayejua upatinakaji wake tunaweza kufanya kazi Mawasiliano: 0626532223
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Ninaomba wafugaji wa samaki mliopo Mbeya jiji tuwasiliane mnipm kuna kitu ninatafuta.
0 Reactions
2 Replies
722 Views
Wakuu amani iwe kwenu. Naomba nisaidiwe kujua fursa za mazao ya bustani mkoani dodoma, yaani je uhitaji upo wa mbogamboga kama mchicha, chainizi, spinach, majani ya kunde n.k. Naomba pia kujua...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Naombeni msaada kwa atakayeweza kunisaidia kuzipata mbegu hizi. Nahitaji angalau kg 150 nifanye kilimo cha kitaalamu.
2 Reactions
9 Replies
981 Views
Habari wadau nahitaji mashudu ya pamba nitapata wap wakuu
0 Reactions
2 Replies
367 Views
Ndungu zangu poleni na majukumu,Kwaa wale wataalamu wa nyanya naombeni msaada wa haraka juu ya hali hii inayoitesa nyanya yangu,ili angalau niweze kuiokoa. 1.Nyanya inanyauka majani kuanzia chini...
2 Reactions
9 Replies
627 Views
Wanajukwaa nawasalimu nyote, napenda kufahamu Kwa yeyote mwenye uzoefu na hizi trector aina ya LOVOL kw kuangalia utendaji KAZI wake, utumiaj was mafuta, kuvumilia mazingra magumu, kupambana na...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
[emoji2389] Viuadudu chupa 11,839,225 zenye Thamani ya Bilioni 51 kwa ajili ya wakulima [emoji2390] Serikali inatarajia kupata mavuno ya Pamba Tani 700,000 kwa Mwaka [emoji2391] Vinyunyizi...
1 Reactions
0 Replies
520 Views
Back
Top Bottom