Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wadau, Naitaji mashamba ya kununua katavi wilaya ya mlele hasa, naombeni connections. Pia naomba kujua upatikanaji wa mifugo huko na bei zake hasa ngombe, mbuzi na kuku wa kienyeji. Ahsanteni.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda sana kilimo cha zabibu, hata kama sio kwa shamba kubwa basi iwe kidogo tu kwa ajili ya matunda, lakini kwa hapa Tanzania huwa naona zinastawi sana Dodoma. Sasa kwa wale wataalam wa kilimo...
2 Reactions
24 Replies
21K Views
HABARI WAFUGAJI NA WANAFAMILIA WA JEFF AGRICULTURE FARM [emoji2788]Leo tunaenda kujifunza Namna nzuri na rafiki ya kuwaepusha kuku/vifaranga wetu na ugonjwa hatari wa (MDONDO/KIDERI/NEW CASTLE)...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye kujua hali ya hewa inayoruhusu hili zao kustawi na kuzaa kwa wingi tafadhali anijulishe. Na ni sehemu gani Tanzania hili zao linastawishwa kwa wingi? Asanteni Katika kuabarishana...
2 Reactions
99 Replies
59K Views
Habari wakulima na wafugaji mimi ni mkulima mdogo msimu huu nimejaribu kupanda karanga na zimeota vizuri zina zaidi ya Mwezi mmoja, sasa kutokana na Mvua zinazoendelea mikoa ya pwani natamani...
3 Reactions
4 Replies
805 Views
Nigeria ni wazalishaji wa kubwa sana wa Muhogo Africa na Duniani kwa ujumla, Pia ni wazalishaji wakubwa sana wa Mahindi Africa ukitoa South Africa. Kuna wakati Nigeria Muhogo wake ulikosa soko...
22 Reactions
33 Replies
4K Views
Bungeni kuliulizwa swali la kifungwa kwa ziwa tanganyika kutokana na samaki kupungua na moja kwamoja majibu yalitolewa kua suala la kufungwa lilichululiwa baada ya samaki kupungua. Swali la...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Ningependa kujua mechanism inayosababisha wanatane. Asante
8 Reactions
78 Replies
6K Views
Ni rahisi Sana Ila pia ni kazi uvuaji wake unaenda beach unawakuta kwenye maji madogo wako pweza wadogo unamchoma na mdeki ni kama nondo yenye chambo unamvuta kisha anakuvaa kwenye mkono ile mikia...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba nisaidiwe kutibu ugonjwa huo unaoshambulia mchungwa na matunda yake?
4 Reactions
3 Replies
460 Views
Mwaka jana nimelima mahindi mkoa wa Kagera ambayo nimevuna (kwa hasara) mwezi march mwaka huu. Nimepata hasara kwa sababu hali ya hewa haikuwa shwari, wengi tumekosa mvua za kutosha mwanzoni hali...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari, Huu ndo muda wa kupanda mpunga kwa sehemu za morogoro naomba kufahamu dawa za kuua magugu, mbolea gani itumike ili kuongeza kipato. Na pia njia bora ya kutumia maana Ile ya kumwaga...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama inavyosomeka hapo juu wadau, nimelima mazao ya mahindi nikachanganya na kunde. Changamoto niliyonayo nimechelewa kupalilia kwa jembe la mkono nataka nitumie dawa au "sumu" kupalilia Shida...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
KIJIJI CHA WAKULIMA NA WAFUGAJI STADI CHAUNGANISHWA KWENYE BARABARA KUU Kijiji cha Kinyang'erere ni moja ya vijiji vinne (4: Bugwema, Kinyang'erere, Masinono, Muhoji) vya Kata ya Bugwema ya...
0 Reactions
1 Replies
336 Views
1. Watanzania wenzangu naomba tushauriane kuhusu hichi kitu kinachoitwa BBT ? 4. Kilimo JE KILIMO NI UTI WA MGONGO WA NCHI YETU? - Ndio , watu wote milioni 61 tunategemea kilimo kutulisha nafaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MBUNGE NANCY NYALUSI ATOA MAPENDEKEZO KWENYE BAJETI YA WIZARA YA KILIMO BUNGENI JIJINI DODOMA "Wananchi wa Mkoa wa Iringa Tunaishukuru Serikali sana kwa mpango wa ujenzi wa kiwanda cha kuchakata...
1 Reactions
1 Replies
607 Views
Habarini za muda huu wana jukwaa, mm ni mfugaji mdogo nikiwa najihusisha na ufugaji wa kuku pamoja na bata mzinga ila nimepata changamoto kidogo ya soko la bata mzinga ndio nikaona ni wakati...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
MBUNGE BUPE MWAKANG'ATA AKICHANGIA HOJA YA BAJETI YA WIZARA YA KILIMO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa Mhe. Bupe Mwakang'ata tarehe 09 Mei, 2023 alichangia hoja ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo...
1 Reactions
1 Replies
706 Views
Nimeamua nifuge bata maji tu, ni rahisi na wanazaliana kwa haraka sana.
2 Reactions
73 Replies
3K Views
Habari wana jamvi Leo nakuja kwenu tena kueleza namna ambavyo Mkulima aliewekeza kwenye Kilimo cha kisasa kwa kutumia green house anavyoweza kupata faida Naanza kwa kusema kuwa Kilimo ni Biashara...
4 Reactions
5 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…