Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari wadau wa kilimo, naomba kufahamishwa bei ya alizeti kwa kilo moja au kwa tani, iwe msimu huu au uliopita?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Dripp and irrigation systems installation tuna funga mifumo ya kisasa ya umwagiliaji na pia ukiitaji vifaa na machine za mashambani zinapitakana. We are providing irrigation installation services...
0 Reactions
1 Replies
432 Views
Siku za nyuma kulikuwa na shuhuda nyingi kuhusu zao la parachichi. Lakini ghafla kama ka upepo kamehamia kwenye Alizeti. Vipi bei imeyumba au? Maana Watanzania tunapenda sana kufanya vitu kwa...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuanzia jana ilikua ni kicheko kwa wakulima hasa wa mikoa ya Pwani, Tanga na morogoro baada ya Mvua kurejea tena, Wakulima walikua wamekata Tamaa, Mazao yalikua yanakufa na jua, ila Mvua...
1 Reactions
5 Replies
401 Views
Karibu sana kwa kunimiss muda mrefu sasa nimerudi tena kwa nguvu mpya, hali mpya na Kasi ya ajabu. Kilimo biashara kwa manufaa ya vijana na taifa kwa ujumla. [emoji123]
3 Reactions
70 Replies
17K Views
Majani haya yaitwayo mchunga hupendwa sana kuliwa na sungura kwani ni machungu,japo baadhi ya watu huyatumia kama mboga.je kuna upatikanaji wa mbegu zake katika maduka ya pembejeo?
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Jaman wanajamvi hii changamoto ya sisimizi ndani mnaifanyajr fanyeje. Kuna dawa yeyote ya kuondoa sisimizi ambayo sio sumu manake naogopa watoto wadogo waliopo ndani kwangu. Msaada plz
2 Reactions
17 Replies
7K Views
Habari wakuu, na kitalu Cha mbegu ya miti aina ya mitiki lugoba, nmepanda shambani kwangu imetoshelea, sasa kitalu bado kina miti mingi hivo karbuni sana mwenye kuhitaji kwa bei nzuri kabisa
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada wa kupata kibali cha kufanyia shughuli za fumigation. Nimeambwa kinapatikana TPRI,sijui wapo wap kwa hapa Dar. Msaada wadau.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya mahindi yanaanguka tu shida ni nini wapendwa...[emoji116]
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina mashine so far nimeburuza mashudu na mahindi, mifupa sijui napata wapi. msaada wadau
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uhalisia wa kilimo kiitwaacho cha kibiashara (agribusiness). Kwa uelewa wa wengi ni kutumia mbolea za viwandani kwa wingi, madawa kwa wingi kwa ajili ya kuuwa wadudu. Pia ipo mbolea (kemikali)...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Je, maeneo gani nchi hii yanakubali zaidi hasa ndimu? Huchukua muda gani toka kupanda mapaka mavuno na garama zake ni kiasi gani kwa heka? Karibuni wadau.
0 Reactions
39 Replies
34K Views
Wakuu Mimi ni kijana mpambanaji na mwaka huu nilitaka kujikita katika kilimo Cha mpungaa kwa umwagiliaji na nimependekeza kulimia Kapunga/morogoro Hivyo basi naombeni muongozo katika hio a...
1 Reactions
36 Replies
12K Views
Habar natumaini mu wazima Nguruwe wangu anatoa ute mweupe sehemu yake ya Uke Kiumri ana miezi 8. Naomba kujua hiki kinaashiria nini? NB:hajawahi kupandwa wala kubeba mimba
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kenya Itaanza kusafirisha Maparachichi Yake Nchini China Mwaka Huu Na Tom Wanjala Halmashauri ya Kilimo na Chakula nchini Kenya imefanya mabadiliko kwenye matakwa ya maparachichi ya kuuzwa nje...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba msaada mimea yangu ya pilipili mwendokasi, matunda ambayo hayajaiva yanaonyesha hali ya rangi kama ubluu hivi (nimeambatanisha picha ) hilo ni kawaida au ni ukosefu wa nini. Natakiwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Yaani kilimo ambacho kimiajiri wananchi asilimia 85% kimetengewa billion 751 wakati wizara ujenzi na uchukuzi imetengewa TRILION 03 sasa hapa kuna nini? Utakuwa umeondoa umaskini wa hiyo...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Utitiri ni wadudu wadogo sana weupe hutokea kwenye mabanda ya kuku. Unapookota mayai au kufagia banda wanakurukia. Sijafahamu wanatokana na nini lakini huwa wanakera sana. Ukitokea msiba...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Wandugu nataka kulima maboga. Nahitaji kujua zaidi kuhusu Kilimo hichi wakuu.
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…