Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Ndugu zangu, Kuku wangu wamekumbwa na tatizo la ukungu kwenye macho yao. Jicho alivimbi ,muda mwingi analifumba. Rangi ya kile kiini cheusi cha jicho kinakuwa kama kina ukungu. Je, nitumie dawa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Poleni na uchovu wana JF, Ninaomba kujua juu ya biashara ya uuzaji wa maharage, sehemu yanapopatikana kwa bei nzuri, soko linapaytikanaje na misimu ya kuuza? Nitashukuru endapo nitapatiwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kilimo kina mabadiriko kila kukicha na hii inatokana na teknologia kuwa juu, na jambo zuri sana hasa ukitambua umuhimu wa kwenda na mabadiriko hayo' pia ni vyema ukawa na ufahamu wa kutosha kuhusu...
2 Reactions
31 Replies
26K Views
Habari wakuu, Kwa yeyote mwenye kampuni au anayemjua au mwenye credentials, zinahitajika tani 48 za maembe na mananasi Germany. Mwenye anaweza plz njoo PM. Hakuna utapeli, ni genuine
1 Reactions
4 Replies
816 Views
Habari kwa nyote. Mimi ni kijana niliyoiona changamoto ya soko la mazao kwa wakulima wengi hapa Tanzania na kwa bahati mbaya haiko Tanzania peke yake, na nafaham wengi wetu tumeiona na kukumbana...
1 Reactions
4 Replies
714 Views
Wadau, Nina kiasi cha Tsh. 1 milioni, je ninaweza kulima pilipili kichaa kwa hekari moja? Ni eneo gani zuri na mkoa gani mzuri kwa hicho kilimo? Pia soko lipoje?
1 Reactions
39 Replies
11K Views
Mbolea ipi ni nzuri kwa kupandia mahindi. Na kwanini iwe X na sio Y
2 Reactions
50 Replies
33K Views
By: Author Lydia Noyes The hardest work of the gardening season is over, and you’re bringing in your potato harvest. Or maybe you’ve visited your local farmers’ market and got a little carried...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Habarini za jioni wanandugu, Nimekuja kwenu kuomba kufahamishwa au kuelimishwa namna ya kutengeneza chakula kwa ajili ya kuku, chakula hicho kikiwa na virutubisho vyote pamoja na madini yote...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada. Kuna tractor nimeziona kwenye mtandao za Afrika kusini aina ya massey furgerson series mbalimbali. Zinaonekana ziko refurbished, na ni kama mpya. MfanoF 290 inaenda bei ya...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Ni namna gani naweza kupata ongezeko kubwa la bata, nimekuwa nikishuhudia watoto wa bata wakifa ovyo katika maeneo niliyowahi kukaa na kushindwa kuelewa ni kwa namna gani naweza kuzuia hiyo hali...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Naomba ushauri Nina eneo kubwa kama hekari kumi nahitajikufuga je nifuge mbuzi au ng'ombe aupia pendekezo jengine wapendwa!
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Wakulima, chondechonde, acheni Mara moja kulialia na gharama za mbolea zennye kemikali kupanda Bei, jifunze kuzalisha mbolea ya asili kwa kutumia mmea wa Comfrey na mimea mingine yenye sifa. Sisi...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wapendwa, Samahani naombeni kufahamu kama nitaweza kufungua duka la mifugo mkoani Njombe wilaya yeyote ile ila napenda zaidi iwe katika mkoa wa Njombe: 1. Je, Kuna wafugaji wa kutosha...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wengi wetu tunawajua hawa cricket make ni wale wanalia usiku, ila najua wengi hawajahi kuwaonja au hawajui kama wanaliwa. Ukweli ni kwamba radha yake ni sawa na ya senene au kumbikumbi kwa walio...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nategemea na nipo kwenye process ya kuzalisha Black soldiers fly ambao watatumika kama chakula cha mifugo ikiwemo kuku, nguruwe, samaki na vinginevyo. Pia mabaki yake yanayopatikana yatatumika...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nataka kufanya kilimo cha majani au chakula cha kulishia ng'ombe. Mbali na mahindi, naomba kujuzwa, ni majani gani naweza kulima kwa ajili ya kuyafanya malisho ya ng'ombe kipindi cha ukame?
4 Reactions
9 Replies
6K Views
Ninaomba msaada kwa wajuzi wa mambo je ni Dawa gani nzuri ya wadudu katika maharage kwa anayefahamu.
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Ninatafuta partner. Kulima naye Pamba kwa ajili ya kuuza. Tunawekeza pamoja baadae tunatafuta soko pamoja, lakini soko lipo. Kama tutaendelea vizuri, tutaingiza mazao mengine. Nitumie whatsapp yako
1 Reactions
4 Replies
821 Views
Habari! Naomba kuuliza Ni nani kati yenu amewahi kusikia fursa ya ufugaji wa Wadudu Mende kama chakula cha mifugo yani kuku Mwenye uelewa wa hili swala naomba aeleze kwa mapana zaidi, kwa kuanzia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…