Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

INDIAN RUNNER DUCKS Indian runner ni bata wa wafugwao chimbuko Lao ni kutoka kusini mashariki mwa ASIA. Bata hawa anaweza kuwa na rangi tofaut tofout kama watakavyo onekana kwenye picha hapo...
6 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa la ufugaji, Nataka kufuga Bata wa nyama. Hivyo naomba ushauri wenu wadau ili niweze kutimiza lengo langu. Asanteni. Zaidi soma>>Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Waungwana salaam! Napenda kufahamu kwa undani kuhusu unenepeshaji wa ng'ombe. 1. Mchanganyiko wa chakula 2. Kiasi anachokula ng'ombe kwa siku 3. Nyasi ale kiasi gani au asile kabisa? 4...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Anayejua elimu/ujuzi wa ufugaji wa Nyuki, Mizinga bora,ulinaji asali na soko la asali atupe elimu. Natamani kufanya biashara hii. =========== Ericus Kimasha ..1. Naomba ufafanuzi nasikia kuna...
2 Reactions
341 Replies
164K Views
Habari za uku wakulima wenzangu naombeni msaada haswa wa Mambo mawili 1.ardhi Hivi ni njia gani mtu unaweza milikishwa ardhi ambayo no mapori bado na kuianzisha kwaajil ya kilimo 2.Masoko Ni...
0 Reactions
3 Replies
948 Views
Hivi mtu akitaka kufuga farasi anahitaji kibali au tu unafuga tu kama unavyofuga mbuzi?
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Nawasalimuni kwa jina la Mungu, naomba msaada kwa anaejua mahala naweza ipata dawa ya kuogeshea mifugo CYPERTOP E.C. tafadhalini maana kwa Dar nimeitafuta haipatikani kabisa natanguliza shukrani...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wana JF, Kuna hii idea ningependa kujua moja mbili tatu. Natumaini itasaidia wengi humu. Kufanya uwekezaji katika kilimo cha mpunga kwa kununua ardhi, kuanza kulima, kufanya umwagiliaji...
3 Reactions
0 Replies
903 Views
Kutokana na passion yangu ya kilimo nimeona nije kwenu wadau kuomba ushauri. Nimepata eneo ninaloishi ambalo nimewaza kufanya kilimo cha mboga mboga na matunda. Nina uzoefu kidogo cha kilimo cha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakulima na wafugaji wenzangu, kumekuwa na malalamiko mwengi siku hizi kwa wakulima wanaotaka kuwekeza kwenye kilimo cha papai kwamba wanakutana na mipapai dume mingi pindi wanaponunua...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Wadau, Nahitaji kulima maparachichi. Kwa mwenye ufahamu zaidi naomba kujua changamoto na nini nifanyeje ili nieweze kufanikiwa. MASWALI YA WADAU WENGINE KUHUSU ZAO HILI Kama kuna mtaalamu wa...
5 Reactions
235 Replies
111K Views
Habari za leo Ndugu wanajukwaa. Ninahitaji kampuni au mtu wa kunipa Kahawa Aa arabica ya Kilimanjaro zaidi. Ninaomba connection na muuzaji. 06247400
0 Reactions
4 Replies
809 Views
Tujadili kidogo kuhusu mbolea au virutubisho vya mimea. Kama wewe Ni mkulima mdogo, wa Kati au mkubwa utakubaliana nami kwamba changamoto kubwa hasa kwenye shughuli za kilimo Ni mbolea na madawa...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimefikiri kitu kimoja baada ya kuona kuwepo watu wengi kutafuta partner/ mtu wa kushirikiana nae katika kilimo. Kuna changamoto nyingi sana katika kushare biashara maana kila mtu anakuwa ana...
9 Reactions
83 Replies
8K Views
Makujumu makubwa ni: 1. Kuanzishwa mabwawa ya samaki kila Wilaya na kuwa na species mbalimbali 2. Kusimamia uzalishaji wa samaki kwa kuzingatia taratibu za kisayansi 3. Kutafutà masoko ya...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habar wanajamvi, Msaada tafadhar mbuzi wangu ameugua ghafla asubuhi ameanza kulia kisha ametoa povu mdomoni tukaona tumchinje Baada ya kumchinja tumeona mapafu yana povu. Msaada hizo ni dalili...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari wadau, dawa ipi nzuri ya kuzuia magugu unaweza piga baada ya kupanda mpunga siku chache? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu Habari za majukumu, Natumai kazi inaendelea... Kama kichwa cha mada kinavyojieleza ningependa kujua undani, ubora na fursa katika internships za nje ya nchi hasa nchini marekani kwa baadhi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar zenu huko mliko, -Nahitaji kujua namna ya kulima mbaazi yaani upandaji, mavuno kwa kila heka pamoja na changamoto zake. -kiasi Cha mbegu kinacho hitajika kwa heka moja. -Muda katika uvunaji...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
1. Nitajuaje kuwa maziwa yamekuwa safi tayari kunywewa na binadamu kwa ngombe aliyezaa? 2. Yana athali gani binadamu kunywa madanga? 3. Kwanini huwa yanamwagwa ukikamua?
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom