Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari wanaJF.. Nimejaribu kutafuta misimu ya matunda karibia site zote kwenye mitandao zinazohusiana na kilimo bila mafanikio, hatimae nimekuja hapa Jf nikiamini kabisa hapakosi wataalam na...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habarini Wana JF Naomba kufahamishwa juu ya mazao yanayovunwa kwa wingi mkoani Morogoro kwa mwezi March-April, pia na vijiji ambavyo mazao hayo yanapatikana kwa wingi. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za zenu wadau. Nina Bustani yangu ya Nyanya ambayo sasa hivi miche ishaanza kutoa matunda lakini tatizo nililokutana nalo ni kwa baadhi ya matunda kuwa na hali kama ya kuoza au kuungua...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Watu wengi wanaamini kwamba ufugaji na haswa wa kuku unahitaji eneo kubwa sana au mabanda makubwa sana kama nyumba ili uwe na tija ,lakini ukweli ni kwamba ndani ya eneo lenye ukubwa wa robo acre...
4 Reactions
25 Replies
28K Views
Kuna msemo kuwa. Unakula usichozalaisha, na unazalisha usichokula! Juzi nimeshangazwa na majibu ya Mkulima mmoja wa Dengu aloponiambia kuwa hajui dengu zinliwaje!? Hiini baada ya mimi kumuuliza...
0 Reactions
0 Replies
705 Views
Napenda kutoa faida za zao la pilipili kichaa. Biashara hii imeshika kasi katika miaka hii ya hivi karibuni. Biashara hii ina pesa nyingi na wanunusi hawakopi bidhaa kwa wakulima.mauzo yake ni...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
AGROCENTRE ni programu ya kilimo na ufugaji ambayo inamwezesha mtumiaji kupata masoko na na elimu kulingana na sehemu anayoishi.ni programu ya ambayo ilitengenezwa na mwanafunzi wa chuo kikuu cha...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Me ni mkazi wa morogoro mjini ningeomba mfugaji yeyote anaye fuga nguruwe hapa Morogoro mjini aje dm anipatie namba pia Kuna baadhi ya vitu nataka nifahamu kuhusu nguruweee kwakua Nina mtaji...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisikia sifa kemkem za mmea wa Azolla kwamba unafaa sana kwa kulishia kuku, ng'ombe na samaki. Inaelezwa kuwa una kiasi kikubwa sana cha protein, madini na vitamin. Pamoja na kuusoma...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Pokeeni salamu zangu za dhati ndugu zangu wapambanaji wenzangu na polen na majukumu ya kutwa nzima ya Leo. *Mimi ni kijana niliyetoka katika familia duni na isiyo jiweza kiuchumi lakin Nina ndoto...
0 Reactions
4 Replies
887 Views
Amani kwenu Wakulima wenzangu Umeamka asubuhi saa 11 umeingia shamba/bustani nyumbani ukapiga mzigo (Kuweka mbolea, kutengeneza tuta la kupanda mboga, umelimia miti, umeandaa shamba nk). Ukapiga...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello wakuu ,naomba kuulIza eti mshahara kwa watu wanaofanya kazi kwa secta ya kilimo yaani , afisa kilimo ngazi ya kata ,hulipwa shingapi serikalini?
1 Reactions
4 Replies
994 Views
Kama mada inavosema natafuta mbegu ya nyanya aina ya Gama. Location: nipo mbeya
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nipo mbioni kununua water pump kwa ajili ya shughuli za umwagiliaji. Naomba kujuzwa ipi ni aina bora ya water pump, hasa hizi za inchi 3-4 zinazotumia petrol. Ahsanteni!
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Habari zenu wakuu, Nina uhitaji wa nguruwe kwaajili ya kuchinja na kuuza aliyekuwa kaniuzia naona ameshindwa kwakuwa nguruwe wake wamebaki wachache sana. Napatikana Dar Vigezo: 1. Uwe na uwezo...
5 Reactions
65 Replies
14K Views
Wanabodi Ninafanya ufugaji wa nguruwe na kuku. Kwa sasa ninafugia Kigamboni. Lakini ninampango wa kuhamishia project Wilaya ya Mkuranga nina shamba la ekari sita huko. Natafuta mjasiriamali...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu Habari za majukumu. Katika pita pita zangu nimegundua kuna wawekeezaji wengi sana wakubwa (Wazawa na wageni) katika Sekta ya Mifugo (kuku, ng’ombe mbuzi n.k) lakini hatuwafahamu Basi...
8 Reactions
66 Replies
13K Views
Kutokana na ongezeko la maswali ya wadau wengi juu ya ufugaji wa kuku aina hii, tumeonelea ni vema tukauweka mjadala huu vema kuweza kuwasaidia wafugaji na wanunuaji wa vifaranga/kuku wa aina hii...
2 Reactions
579 Replies
243K Views
Naomba msaada wa kujua ni dawa gani nitumie kwa ajili ya kutibu tatizo sugu ambalo linakumba miti yangu aina ya mipera, kila ikiweka mazao, mapera yote yanakauka baada ya kufikia hatua flani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa natumai mnaendelea vizuri na mimi pia sijambo Kwasababu kilimo pia ni sayansi basi hata mambo yanayofanywa kwenye kilimo huzingatia sana mambo pia yakisayansi Kupalilia ni...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom