Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Nahitaji ekari moja au mbili shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo kwa maeneo tajwa hapo juu,kuwe na maji ya kumwagilia,
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari Jamvini! HAYA NI MAWAZO YANGU TU. Ukiachana na uwepo wa zana za kisasa kama vile tractors pamoja na wataalamu wa kilimo kama vile agronomists na wataalamu wengine waliosomea mambo ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Naamini mpo vizuri Leo tujifunze pamoja kuhusu zao la parachichi Kila mkulima ambaye anafanya kazi ya kulima na kuvuna lengo lake kubwa ni kuhakikisha kwamba anapata mavuno...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za usiku huu wadau. Baada ya kupata taabu ya kutafuta kuku wa kienyeji wa kula, sasa nimeua rasmi nianze ufugaji mwenyewe. Nimejaribu kuangalia sokoni, utakuta kuku wa elf 17 ni mdogo sana...
3 Reactions
70 Replies
16K Views
Ninaombaa kufahamuu kuhusu mipapai isiyotoaa matundaa, ni hali gan inapelekeaa kuwa hvyoo?? Je kufungiaaa gunzii kwa mti kuna saidiaa kutokana na hali hiyoo? Tafadhaliii mwenye kujua jambo hili.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau Habari zenu. Kuna dawa kuku mpya nilisikia muda kidogo ikitangazwa kwenye redio jina sikumbuki vizuri maana nilisikia kwa mbali tatu kwa moja yaani inakuwa na newcaster na mchanganyiko wa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari ya wakati huu wana Jf....!??... Niende moja kwa moja katika mada hii husika na kichwa habari hapo juu... Nipo katika mpango wa kufuga kuku kibiashara, hivyo naomba ushauri juu ya ni aina...
2 Reactions
87 Replies
18K Views
Serikali iwasaidie wakulima wadogo wadogo katika kuwawezesha kunufaika na kilimo kilicho bora. Na tunajua kwamba Kilimo ni uti wa mgongo kwa taifa ambapo lishe yote ya wananchi inategemea juhudi...
2 Reactions
3 Replies
625 Views
Habari ndugu Hapa nazumgumzia wale walio katika sekta ya ufugaji na ambao hawapo ila wana uelewa na jambo hili tujuzane hiki chakula aina ya concentrate ubora wake na kampuni ambazo zina chakula...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wana jukwaa...natafuta muuza mayai ya kienyeji aliyepo Dodoma vijijini kwa bei ya jumla... Mawasiliano yangu ni 0763797102
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu heri na amani na iwe kwenu ni matumaini yangu kuwa hamjambo kama mimi. Kabla sijaenda kwenye mada nikiri wazi kabisa kipaji cha kuandika sina ila ninauwezo wa juu wa kusikiliza na kuongea...
11 Reactions
32 Replies
11K Views
Huu ugonjwa unaopelekea kuku kupinda shingo kuelekea kushoto au kulia husababishwa na nini? Pia nini tiba yake?
2 Reactions
17 Replies
8K Views
Habari yako Naamini unaendelea vizuri na kama haupo vizuri basi MUNGU afanye wepesi kwaajili yako. Karibu tujifunze pamoja Kwenye kilimo kuna mambo mengi sana ambayo huchangia sana katika mavuno...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
DRAFT 1 MATUMIZI Gharama zisizojirudia kila msimu 1.Shamba: Kukodi laki moja kwa ekari moja. Hapa litakodiwa hekari mbili. 2.Kisima: Gharama ya kuchimbiwa ni milioni mbili. 3.Unatakiwa kuwa na...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Ni wapi Tanzania kuna mfumo wa unenepeshaji mifugo (hasa wa nyama)kwa njia ya "feedlots" sijui neno sawia kwa kiswahili. Kama Kuna wadau wanazo hizo Center tusaidiane ili nijifunze jinsi ya...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Kumekuwa na upotoshaji kwa baadhi wa watu wanaojiita wataalamu wa ujasiriamali, hasa wanaofanya shughuli za ufugaji kwa maandiko ya whatsapp bila kuwa na hata kuku mmoja bandani. Nimesukumwa...
99 Reactions
306 Replies
161K Views
Nilipata Breed ya Kware wakubwa Jumbo kutoka nchi noja hivi, na naendelea kuwa breed kwa sasa. Mahesabu nilio piga ni kwamba Bongo kwa sasa kitoweo ni Biashara kubwa sana. Fikiria Vile visamaki...
11 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari wadau wa ufugaji, Nina kuku wangu ninayempenda sana amepatwa na kaugionjwa bado sijakaelewa. Ugonjwa wenyewe ni kukimbia kimbia na kuzungua na kukosa balance na kuanguka akisimama. Hapo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu Ningependa kufahamu bei ya mashudu ya alizeti pamoja na soko la uhakika kwa hapa Dar es Salaam. Ahsante
1 Reactions
4 Replies
8K Views
FURSA YA KILIMO CHA NYOKA Kilimo cha nyoka ni moja ya kilimo chenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya "snake venom" ipo juu sana.Sumu ya nyoka inatumika kwa...
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Back
Top Bottom