Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Mwaka juzi nilipita shamba la Alizeti la Mzee mmoja nikavutiwa na namna Alizeti yake ilistawi na ikiwa na afya. Nikamfuata na kumpongeza sana kwa namna ameweza kuihudumia ile Alizeti akaniambia...
6 Reactions
12 Replies
37K Views
Na Gaspary Charles WAKULIMA wa mwani kisiwani Pemba wameiomba serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kuingilia kati upatikanaji wa soko la zao hilo ili kuwanusuru na hali ngumu ya maisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samahani naomba kujuzwa bei ya pilipili hoho, niko Mkoa wa Mbeya.
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wadau wa ufugaji Naomba kujua gharama za kufuga kuku wa nyama idadi 500 kuanzia siku ya kwanza mpaka hadi kufikia mwezi kwa mtu ambaye anafanya shughuli hizo au alishawahi kufanya...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Wadau naomba kama kuna anaejua jinsi ya kuagiza tractor nje ya nchi mpaka hapa tz na gharama zake.
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Kama mnavyofahamu wakulima tunapaswa kuongeza ufanisi wa kazi yetu hii kwa kuongeza matumzi ya zana bora za kisasa ,mimi mwenzenu nimeagiza mashine ya kupalilia inaitwa BRUSH CUTTER japo ina...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Wilaya ya Mbarali ndio eneo linalotoa 70% ya 32% ya Mpunga unaozalishwa Nchini ikiwa na Schemes zaidi ya 5 za Watu binafsina za Serikali. Scheme ya Madibila: ~ Eneo ekari 23,005, Ekari 15,000 za...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Wapwa kwema? Wakuu, naomba tupeane taarifa yoyote inayohusu hiki kilimo (niko interested nacho); Mfano: Wapi kinalimwa kwa wingi, Mtaji wa kuanzia Eneo lipi zuri la kulima Eneo la kuanzia...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Habari za Jumapili... Vifaranga Vya Kuchi Vipo sokoni....Vina miezi 4 paka sasa
2 Reactions
152 Replies
46K Views
Arusha. Tanzania has a high potential for exports of avocado, the country’s latest green gold. Close to 9,000 tonnes valued at $30 million were exported last year, up from almost zero seven years...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wana JF, Tangu nimwage mpunga wangu mbegu fupi Salu ya miezi minne, imepita miezi miwili ila nataka niupige booster ili ukue vizuri japo nilitupia urea kidogo wiki kama tatu zilizopita...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari wadau, Ninashamba la ukubwa wa ekari 10 lenye rutuba nzuri na yakutosha linalofaa kwa mazao kama nyanya, vitunguu, mahindi, matikiti, mapapai, machungwa na migomba. Shamba lipo kilosa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari, Naomba kufahamu kwa wazoefu wa mkoa wa lindi, ni wilaya gani ina maji ya kumwagilia. Na kilimo cha mbogamboga huko kinafaa kufanyika. Ufugaji, ni wanyama gani wa kufugwa na ndege wenye...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimetoka kwenye mishughuliko yangu naingia ndani nakaribishwa na mivumo ya sauti za Nyuki zaidi ya kama mia moja hivi. Nitumie mbinu gani ya kuwatoa bila kuwaua, na kama ni kuwapulizia dawa wafe...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Habarini za leo wana Jamii Forums Nilikuwa napenda kuuliza mashamba ya korosho kwa mkoa wa Lindi upatikanaji wake umekaaje na vipi gharama za kununua eneo la hekari moja. Msaada tafadhali kwa...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wa jf, kuku wangu wamepatwa na ugonjwa nisiouelewa. Wanavimba sehemu za usoni. Msaada wenu wana jamii
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu salam kwenu, Nimeanza kufuga kuku wachache ,ila shida imekuja walipoanza kutotoa, vifaranga wanashusha mabawa na kufa, nimeuliza nikaambiwa ni pumba inawakaba, mwingine akaniambia ni...
2 Reactions
20 Replies
19K Views
Nikilima mahindi na mbaazi kwa mbegu za dawa shamba moja na kupalilia vizuri Mara 2 Kuna uwezekano wa kupata gunia ngapi kwa heka?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa, Katika jitihada za kupambana na umaskini, nilichukua kakichaka ambako nakasafisha kwa ajili ya shamba na shughuli za ufugaji. Changamoto niliyokutana nayo ni kuwa: 1. Kuna vichaka...
3 Reactions
103 Replies
44K Views
wadau habarini? Msaada kwa mtu anaeishi Dodoma, natafuta mtu anaeuza kuku wa kisasa anaetaga mwezi kwa mwezi. Nahitaji kupata hio bidhaa mara moja. Kama yupo humu anitafute dm.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…