Habari warembo
Kwa mwenye kufahamu sabuni, na mafuta ambayo hayachubui kwa ajili ya uso na ngozi kwa ujumla, naomba anifahamishe,
Kwani uso wangu unamafuta mengi na kupelekea Kuwa na vichunusi...
Nahitaji kujua aina ya mafuta ambyo nikipaka ngozi yangu itakuwa nzuri ya kung'aa siitaji mafuta yanayochubua nahitaji nibaki kama nilivyo ila niwe soft
Salam ndugu na jamaaa.
Naomba kujua Kama itamletea shida akikua huyu mtoto, sikusudii atobolewe masikia Kama ilivyo kawaida ya wanawake wa kwetu.
Labda anaweza kutulaumu huko mbeleni kwa vile...
Habari zetu warembo na watanashati.
Hii tabia imeota mizizi sasa sijui kwa nini wanawake tunakuwa hivi? tena siku hizi vipodozi vya kubadilisha rangi vinatangazwa hadharani kabisa afadhali siku...
Salaam,
Shuka langu Jeupe lilipata bloodstain usiku, asubuhi nikaliloweka na sabuni ya Doffi, nikalifua jioni, Lakini madoa hayajatoka.
Je nawezaje kutoa hayo madoa..?
Asante
Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu mi ni binti ila katika ukuaji bahati mbaya nilijikuta nimeshaurika na kutumia lotion za kubadili mwili.Ila tangu nimejitambua kwa kweli najichukia mno si...
KUJIPENDEZESHA SAWA, KUJIHARIBU HAPANA !
Unaendeleaje rafiki? Karibu kwenye somo la leo la kukushauri kujipendezesha na kukushauri kutokujiharibu kwa kupitia vipodozi unavyotumia.
Ni haki na ni...
unakutana na kimwanaume legevu hata akikupa mkono unahisi umepewa mkono na mwanamke mwenzio.
Mwanaume unakuwa na ngozi kama ya esha buheti huoni hata aibu kuwa laini laini kiivyo,mwanaume hutaki...
Waungwana nawasalim wote, nikiwa dada ninaependa urembo, nimeona si vyema kuacha kuwajuza hili wapenda urembo wenzangu.
ni kuhusu grycelin Ya Zambia, kiukweli ninawashauri wote mnaopenda ngozi...
HII NDO CREAM BORA KWA KUNG'ARISHA,KOSOFTISHA,NA KUTAKATISHA NGOZI KIASILI
Hii cream ni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Unaambiwa kwa hii hadi nimenyoosha mkono yaani ni...
Habarini,
Nimekua nikisumbuliwa na magaga kwa.muda Sasa..nimesugua na msasa wapi ..nikasugua na jiwe Bado Hali ni.ileile.
Kuna muda yanauma kabisa especially nikishasugua na jiwe.
Je Kuna Dawa...
Wana JF msaada tafadhali,,,kwa anayeifahamu lotion ya KERI SHEA BUTTER naomba kujua kama ni nzuri kwa kung'arisha ngozi na kufanya mwili kuwa na rangi moja. Na je inauzwaje?
Hawa ni wanawake wasomi wakiwakilisaha Zanzibar miaka ya 60,umejionea vipi wamevaa,nini kimetokea kwa wanawake wa kizanzibari kuanza kujivalisha mishungi,!!? ukimwanglia Makamo wa raisi Mh Suluhu...
Naombeni ushauri mpenzi wangu ametoka rashes fulani kama za baridi baridi anasema kuna mafuta alitumia yamemuharibu msaada wenu tafadhari ngozi yake irudi kama awali!! Nakaribisha comment mapovu...
Niaje wakuu hivi yale mafuta wanayopakaga usoni kwenye scrub yanaitwaje....? nna shida nayo sana mwenye kujua msaada na hata ukijua bei zake itakua poa sana msaada wakuu.
Hivi jamani dada zangu hizi rasta za mnazosuka mistari ya twende kilioni style huwa zinabadilishwa baada ya mda gani. Nauliza hivi kwa sababu wengi ninaopishana nao huwa unakuta zinatoa uvundo...
Mlango wa mbele wa nyumba unakuwa katikati ya nyumba na ndio unaowakilisha mvuto wa nyumba kwa hivyo muhimu uwe maridadi. Wengine wanapendelea kuweka glass panels kwenye mlango wa mbele kama hivi...