Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
UTAFITI: Wasichana wanapojilinganisha uzuri & watu maarufu wanaowaona kwenye mitandao huwafanya kutojipenda & kupatwa na sonona(depression). DALILI ZA SONONA 1. Kukosa raha, kushindwa kushiriki...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania...
5 Reactions
230 Replies
34K Views
Nawasalimu wanajamvi wote! Niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu, Mimi ni jinsia KE na kuna kitu kimoja kinachonitatiza kuhusu ngozi yangu tangu nimeanza kujitambua katika kukua kwangu...
1 Reactions
31 Replies
7K Views
Asalaaam alyeikum! Bwana yesu asifiwe! Imekua ni kawaida kwa ndugu marafiki na wapenzi kushindwa kuwaaambia marafiki ndugu au wapenz wao juu ya ugonjwa huu wa kunuka mdomo unaosababishwa na...
16 Reactions
16 Replies
10K Views
Habari wana jamvi. Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima tulio nao. Twende kwenye mada yetu ya leo inayohusu staili ya nywele za kichwani. Kuna baadhi wanapenda vipara wanadai unakuwa sexy...
2 Reactions
19 Replies
8K Views
Wakuu salaam Sina lengo la kukashfu maumbile ya mtu, bali kutaka kujua sababu ziwe za kisayansi au nyinginezo. Kuna binti nipo naye karibu mazingira ya ofisini kwetu. Huyu binti ni nzuri na...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Makamu wa Rais was taifa kubwa USA amempa big up bosi Maxence Melo kwa kunyuka suti kali.
45 Reactions
89 Replies
11K Views
Habari za mchana huu wakuu?.. njooni mtoe maoni kuhusu hii kasumba mbona wanawake wasikuizi wakivaa nguo vyupi au makufuli yanaonekana au yanajichora? hii kitu ni sahihi na je mbona Enzi hizo...
4 Reactions
74 Replies
16K Views
Rafiki angu alizaliwa ivyo kama unavyomuona je kuna lotion yoyote ambayo inaweza kumsaidia au ni genetics tu?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu. Wataalam wanasema mwanaume angalau uwe na hata jozi moja ya suti kenye kabati lako la nguo. Ni ukweli usiopingika kua suti humfanya mtu alieivaa kuonekana wa tofauti ila watu...
4 Reactions
135 Replies
96K Views
Hivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,? Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu. Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila...
11 Reactions
70 Replies
13K Views
Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa. Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili...
9 Reactions
77 Replies
28K Views
Habar wakuu Hivi ni vyakula vya aina gani nivitumie nipate kitambi kidogo hata cha kuzugia msaada tafadhari. ========== Kitambi (kilibatumbo) ni tumbo kubwa ambalo linachomoza kwa mbele na...
2 Reactions
73 Replies
14K Views
Kwa wale ambao tuna nywele asilia a.k.a natural hair, tayari tunafahamu changamoto kadhaa tunazokumbana nazo. Kwa wale mnaofikiria kuanza kuwa na nywele asilia, karibuni sana tuendelee kujuzana...
1 Reactions
503 Replies
399K Views
Wakuu kuna perfume inaitwa Zara night II homme nimejaribu itafuta maduka mengi sijapata na sitaki kuagiza ebay itachukua muda sana. Anayeuza hii au anayefahamu wapi nitapata kwa hapa Dar anijulishe.
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Tuanze na Quote ya Tom Ford kwanza "Dressing well is a form of good manners". ACT- Wazalendo wamejipanga kusuuza nyoyo zetu tunaopenda Mitindo. Najua mtasema nguo zinawasaidia nini wagombea...
9 Reactions
42 Replies
5K Views
You can cover your body and still look beautiful. Below are the pictures of how a responsible woman should dress. as a woman the way you dress matters a lot, people address the way you dress...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Let's go downright to the point, i have been hearing this several times mostly from middle aged women and men as well. I just want to hear some from you guys. Is it effeminate for a man being...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Kipini puani kina maana gani kwa mtoto wa kiume?
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…