Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Sujui hivi viumbe nani aliwaroga ubongo na kuamini kuwa na ngozi nyeupe ni dili duniani. Kwa Tanzania kuna baadhi ya mikoa ukifika utawaonea huruma dada zetu miguu ina rangi nyeusi na nyeupe kama...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni kama swali la kitoto lakini nimeuliza hivyo kwasababu mimi ni mvaaji wa saa mzuri tu sasa imefikia hadi mkono wangu umepata alama nyeupe pale ninapovalia saa (yaani ngozi imebadilika rangi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Njia rahisi ya kunyoa ndevu zako. Mahitaji 1. Sabuni ya anti bacteria (detal original I.e zipo za aina nyingi) 2. Cream shaver (sio lazima maana wengine zinawaletea vipele) 3. Mafuta halisi ya...
3 Reactions
26 Replies
11K Views
Heshima kwenu wakuu, nasikia hayo mafuta ni mazuri kwa nywele. Je kuna yeyote aliyewahi yatumia humu? Yanapatikana wapi kwa Dar? Bei yake ikoje?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Jamani me nina kilo 80 nahitaji kupunguza kwa haraka ninafanya mazoezi ya kukimbia huwa na zunguruka wanja mara 6 kwa siku ila ndani ya wiki mbili nipunguza kilo 1 tu hv hakuna njia za kupunguza...
3 Reactions
82 Replies
16K Views
Hello wapenda urembo wenzangu? Japokuwa mie mgumu ila kwenye swala la ngozi nipo makini... Nawakaribisha katika uzi huu tushee njia kadha wa kadha za kung'arisha ngozi na kuifanya iwe laini...
11 Reactions
32 Replies
29K Views
Habarini wakuu wa hili jukwaa la urembo.. Mimi ni boy katika maisha yangu nilishatamani kuchora tatoo kwenye mkono ila ndoto kidogo zikanitisha ila kwa sasa napenda nichore tatoo. Je mnanishauri...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
ukimsikiliza huyu mtaalamu utaelewa njia ipi ni sahii kama unataka ongeza mwili au kupunguza mwili nyingine
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Nina rangi ya maji ya kunde, kwa mwenyewe kujua mafuta mazuri yasiyochubua, Ila yanalainisha ngozi na kuiweka nyororo. naomba kuyajua. ngozi yangu ni ya mafuta. Asanteni..
2 Reactions
36 Replies
19K Views
Sina lotion, sina perfume, sina body spray, naogea sabuni ya jamaa, miguuni na mikononi tu ndo napaka baby Care, niko mjini . kuna kitu nakosa?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Akina dada mtakuwa na majibu sawia. Nataka kumpa mtu zawad ya kitenge kizur na cha class A. Akashone nguo. Sijui nakitambuaje au nakipataje kitenge kizur sana dar. Sina mgogoro wa bei bali...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari zenu wandugu, Naomba kufahamu ama kujuzwa kama kuna mahusiano kati ya kuharibika kwa ngozi na unywaji wa pombe kali/bia? Na kama ipo ni kwanini? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mara ya mwisho nanunua saa ya mkononi ilikuwa Tsh elfu 3000. By then ilikuwa saa kali tu. Sasa siku hizi naona marafiki wananunua saa hadi za laki mbili. Je, hizo saa za gharama huwa na nini cha...
4 Reactions
87 Replies
13K Views
Mkiamka asubuhi msikurupuke tu kuvaa madela utafikiri kuna watu mlitoka kuwachamba ndotoni. Pigeni mswaki vizuri sio kubrash juu juu na kusukutua as if mnachelewa mahali, pigeni mswaki na dawa...
7 Reactions
34 Replies
5K Views
Wasomi wala hawaangaikagi sana na kupendeza pendeza, labda ni kwa sababu kulingana na Maslow's hierarchical of needs, hilo sio tena suala la kipaumbele kwao.. Ila sasa wenzangu na mimi wale wenye...
9 Reactions
77 Replies
18K Views
Haya mafuta achaneni kabisaah Unakua na ngozi nzuri hususan usoni na kila mahali ila white dots kwenye mikono au miguuni havitokuacha salama Wengine hadi michirizi imewaletea....hii ni hatari...
3 Reactions
20 Replies
6K Views
Ikiwa mtu anapenda kuvaa miwani huwa kuna brand flani special, yaani kama ilivyo katika bidhaa nyingine kama perfume au lotion na kama ipo ni brand gani nzuri? Na je kama mtu hupendelea kuvaa...
0 Reactions
31 Replies
14K Views
Mapenzi ni usafi na si uchafu. Hakikisha unapiga mswaki na kuoga kabla ya tendo. Hii uongeza uwezo mkubwa kwa mwenzako kuwa na hamu na wewe kwenye game na inaongeza hamasa mwenzako kubarizi kila...
8 Reactions
24 Replies
3K Views
Ninataka kujua aina za manukato ambazo ni original kwa maana sio fake kwa hapa Dar es salaam zinapatikana wapi au eneo gani?
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Ni mafuta au lotion gani nzuri kwa ngonzi yenyemafuta mengi?
0 Reactions
35 Replies
32K Views
Back
Top Bottom