Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Salam, Jana mama watoto aliniomba nimnunulie Lotion inaitwa Coco Pulp. Nimeiona anaitumia miezi Kama 2 hivi. Kwa kuwa afya yake haipo sawa,ilibidi nitekeleze Cha ajabu nilipofika kwenye maduka...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Kuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu? Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile...
15 Reactions
126 Replies
18K Views
Wapendwa naomba mnisaidie namna ya kuondoa alama za mafuta kwenye mkoba aina ya leather, nimejaribu kufua kwa maji ya moto na sabuni bado alama ipo. Mwenye ufahamu zaidi naomba anisaidie...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Masai utakuta kabeba viatu vizuri Sana vya kimasai akitembeza kuuza.Lakini yeye mwenyewe miguuni unakuta kavaa makobasi ya matairi ya gari.Hivi ni kwa Nini ? Ni ushirikina wao au Nini?
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Hello people. Jamani naombeni ushauri wapi nitapata jumpsuit nzuri na makeup nzuri kwa ajili ya graduation yangu itakuwa 7th November. Kwa anayejua makeup artists wazuri please naomba aniambie...
3 Reactions
41 Replies
6K Views
Habari wakuu! Kama ni mkazi wa Dar si ajabu kuona siku hizi wanaume kuvaa vazi la kibukta juu ya magoti. Ukienda clubs ni Kawaida sana kuona wanaume wamekivaa. Upande mwingine, unaibua mashaka...
7 Reactions
66 Replies
15K Views
Nimeona mtu kaivaa mkononi kidogo imenishtua maana iko tofauti na ninazoziona kwa Wamasai au madukani. Ukiichunguza vizuri katikati kuna kitufe kimoja kina kapicha kama sura ya mtu fulani au zile...
1 Reactions
64 Replies
10K Views
Mimi ni mwanaume rangi yangu ni black by nature kuna baadhi ya lotion hua nikipaka huanza kuharibu asili yangu. Wakuu naomba kujuzwa ni aina gani ya ingredients ambayo ikiwa katika mafuta huathiri...
0 Reactions
46 Replies
17K Views
Tuacheni masiala wana jf katika awamu zote zilizo pita hakuna awamu ngumu kama hiii ambayo vijana wengi wamejikuta either wamesingiziwa mimba au wametegeshewa mimba ni awamu hiii. Sasa hivi bana...
8 Reactions
12 Replies
3K Views
Jamani wenye maduka ya fashoon plus size women tunahitaji boyfriend jeans! Boyfriend jeans hazitakiwi kubana mapaja (plus size) mwenye nazo awasiliane nami!*ziwe kama hivi Zisibane😋size 34-36
5 Reactions
13 Replies
4K Views
Hivi kwanini wanaume walio wengi sio wote wako na lips nzuri kulinganisha na wanawake. Lips za wanawake ni za kawaida sana ila wanaume wanakuwaga na lips nzuri zinavutia sana mpaka mtu...
6 Reactions
55 Replies
15K Views
Wakuu habarini za usiku huu, Nimeandika andiko hili kutokana na kumuona Mh. Rais tangu ameanza kufanya ziara Mikoa ya Kusini hajabadili koti na kila tukio ninalomuona kwa siku za hivi karibuni...
6 Reactions
63 Replies
10K Views
Hii ishu inatokea sana, unakuta una nguo yako pendwa sana ukiifulia sabuni ya unga tu rangi yake halisi inapotea na inakuwa na weusi uliofifia, mfano jeans nyeusi, au T-shirt nyeusi nk. Hivyo basi...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Kumbe nywele zetu zikitunzwa vizuri zinaweza kuwa ndefu kabisa. Huwa ninamfuatilia huyu dada Youtube, ni Mkenya anaishi Australia. Angalia nywele zake zilivyo ndefu na hapo ni bila dawa ya aina...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
habari kama kichwa kinavojieleza hapo kuna sehem nilisikia ukichanganya baadhi ya pyafum au body spray zaidi ya moja znatoa harufu nzur halafu unique ningependa kujua mnapendekeza zipi asanteni
1 Reactions
82 Replies
13K Views
Ni kuonesha shepu? Au nini ? Na kama ni kuonesha shape ili iweje na wengine wameolewa ? Picha kwa hisani ya Facebook
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Mavazi ni mahitaji ya msingi lakini kipato cha mtanzania kikidumaa kila siku.Jana kwenye shopping zangu nikasema 100,000 ngoja niitumie kwa mavazi leo.Nikapita mitaa ya sinza na mabibo.Yaani...
8 Reactions
54 Replies
7K Views
Habari Jamani nataka kuanza kufanya scrub, nina uso wa mafuta hivyo basi ningependa kujua vitu gani vya kuzingatia ili niwe na matokeo mazuri. Na je, ni salama kufanya katika saluni zetu hizi za...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…