Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wakuu naomba mnisaidie, kibongo bongo ni ipi best hair remover cream au hata hair inhibitor cream? Aina na bei zipoje?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wazee, Nipo kwenye foleni za hapa town muda huu, kama unavojua Dar es salaam barabara nyingi za hapa ni ile two ways in two ways out. Upande wangu wa kushoto kuna dada anaendesha IST...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Waungwana mpo? Juma Nature aliwahi kusema Sitaki demu lakini siku chache baadaye ajabambwa akiwa na denu shombe shombe wa uswahilini nafikiri ndiye mkewe hadi sasa. Mwanafalsa naye aliwahi...
13 Reactions
105 Replies
45K Views
Halo wanaboard Tuelimishane hasa machimbo unayowewa pata mitupio ya maana kwa bei reasonable mfano viatu classic vya ofisi, mashati, kadeti suruali n.k hasa kwa hapa Dar mana wengine bei za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nataka kumnunulia baby wangu zawadi kwa ajili ya birthday yake. Mrembo wangu ni mpenzi wa marashi lakini uwa anajipaka very cheap perfume ambazo ukitembea hatua tano zimeshapepeluka. Nataka...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Siku hizi kuweka contact lens na kubandika kope imekuwa habari ya mjini. Ni wadada wachache sana ambao hawafuati trend hii. Ila sasa jamani dada zangu mnapobandikwa vibaya kope huwa hamuoni...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa. Leo nimewaletea somo la utengenezaji scrub ukiwa nyumbani kwako na kwa mahitaji rahisi Sana yanayopatikana nyumbani kwako. Mahitaji Sukari nyeupe kikombe kimoja Asali...
10 Reactions
6 Replies
6K Views
Makalio yanakua na shape mbaya na yanakosa ushirikiano... Binti wa miaka 24 makalio linakuwa kama la mbibi wa miaka 75. Acheni ujinga huu haraka.
5 Reactions
49 Replies
9K Views
Wadau. Napenda Sana vazi la suti. Nimeweka picha hapa chini kwani nimependezwa Sana na suti alovaa huyo Mdau. Naomba jua. 1 Gharama za suti hiyo? 2. Je Ni ya kushona au ya Dukani? 3. Je rangi yake...
6 Reactions
48 Replies
11K Views
Habari wanajamvi, nasumbuliwa na mabaka usoni yalisayosababishwa na chunusi, naomba ushauri nitumie njia gani au dawa gani ili niwe soft?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadada mnapenda kununua nini ambacho hamtaki kiwe mbali na nyie? Yani kitu/vitu gani hua mnapenda kua navyo kiwe cha kuvaa ama kutembea nacho mahala popote hata ukiwa safarini. Kitu/vitu gani hua...
3 Reactions
141 Replies
16K Views
Kwanini korodani hata uoge vipi uchafu uko palepale yaani ukokoukoko ambao ukijikausha tu na taulo ukabaki unyevu ukasugua unapata mabujebuje ya uchafu? Wadau nipeni jibu KWANINI korodani huwa...
3 Reactions
94 Replies
16K Views
Kwa kweli haipendezi hata kidogo kukuta mtoto wa kike anakalio gumu. Kama umeshindwa kununua lotion kwa ajili ya kupaka makalioni basi pakaa hata mafuta ya nazi au mafuta ya kula. Haya usiku...
7 Reactions
98 Replies
18K Views
Kama unavojua kesho ni J3. Wenyewe mnaita Blue monday. Nimetoka zangu church mida ya saa 7 nikapata msosi hapohapo church kuna canteen mradi wa akina mama. Then nikaseme niende Salon nikafanye...
43 Reactions
210 Replies
19K Views
Wakuu salaam, Wacha niende moja kwa moja katika mada Tajwa hapo juu. Nimekua na mtizmo tofauti kidogo ambao nimejaribu kuchukua hatua kidogo kuufanyia utafiti, na nimekuja kuona kama kuna ukweli...
2 Reactions
58 Replies
7K Views
Habari zenu wanawake wenzangu.. Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia Je kuna dawa yyt...
19 Reactions
512 Replies
39K Views
Ni baada ya siku ngapi au week ngapi chupi au kwa wanaume boxer inatakiwa kufuliwa baada ya kuvaliwa?
2 Reactions
38 Replies
12K Views
Salam! Kirefu cha herufi 'K' tajwa hapo juu cio kila neno linanaloanza na heruf K upo sahihi, kwa watu wazima mnaelewa K ni nin kwa muktadha wa mada Wanawake waliobaleghe mmekuwa na kasumba ya...
5 Reactions
57 Replies
10K Views
Habar zena wakuu Yeyote mwenye kujua duka kwa Dsm naweza pata body lotion ya ub mach
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom