Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Najua Kwa mwanamke uongeza urembo sasa Kwa mwanaume ni za nini au ndo mwanaume kuwa na Sura ya kike
1 Reactions
23 Replies
9K Views
Dreadlocks, ni aina ya nywele ambayo ina historia kubwa kwa mwanadamu kabla ya style yoyote ya nywele, ni style inayotumika kiimani mfano imani ya Uhindi (Saddhus), Some of Tibetian Buddhists...
17 Reactions
330 Replies
125K Views
Kijan lazm upendeze bwan cio unavaa bora kuvaaa unajieka ovyo tuu 😏😏 Haipendeziii U have to be smart 🌷
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wana JF.Naomba kujua sababu za kukatika kwa nywele na ni njia ipi au mafuta yapi inapaswa kutumia ili kuzuia kukatika kwa nywele na kusaidia nywele kuota vizuri?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu. Kwa kweli mimi ambaye natumia muda mwingi mkoani, nikija Dar na kwenda mjini yaani maeneo ya Posta, ambako inasemekana ndio shughuli za kitaifa hufanyika, wanaume wengi sana huku...
4 Reactions
37 Replies
8K Views
salute wanajamvi kwa takriban miaka kama miwili hivi sasa nimekua nikikutana na bidhaa za kampuni moja iitwayo MIKU INVESTMENT LTD wanazalisha vipodozi kwa ajiri ya ngozi, nywere na kucha...
3 Reactions
6 Replies
8K Views
Habari za jioni waungwana Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo juu..naomba kujua salon yenye kufanya huduma ya kubadili style ya nywele iliyopo hapa Dar es salaam Natanguliza shukrani
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Je umealikwa kwenye sherehe na hujui uvae nini, usijali blog hii ipo kwa ajili yako itahakikisha unapata kitu cha kuvaa na ukatokelezea sana. watu wengi sana hushindwa kwenda kwenye sherehe...
2 Reactions
22 Replies
11K Views
Habari wakuu.... Mimi ngozi yangu Nyeusi...ila nataka kidogo iwe kidogo niwe mweupe atleast maji kunde... Katika kuulizia wakanambia nitumie LOTION YA VASSELINE.... Sasa sijui inaweza nisaidia??
1 Reactions
42 Replies
12K Views
Wanaume wengi wanasemaga hawapendi mwanamke anae jipodoa Ila wacha tu tujipodoe kwakwel mpk mkituona barabaran mpagawe Chura sina na sura nayoo[emoji57][emoji57]
3 Reactions
148 Replies
18K Views
Naomba kuuliza, Ntapata wapi hansome up, kwa hapa dar. anaejua anijuze na je beiyake shilingi ngapi, Ahsante..
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Leo tutaangalia nafasi ya Asali katika afya ya nyuso zetu na urembo kwa ujumla wake ASALI ni chakula kitam kitokanacho na nyuki kwa kutumia nekta au maji yenye sukari yatokanayo na maua. KUNA...
3 Reactions
9 Replies
27K Views
Unaenda kwa mama lishe au muuza matunda unakuta kabandika mikucha utasema hachambi. Sasa sijui tunakula vinyesi vya wangapi kwa siku. Naomba niishie hapo kwa sasa
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari? Hivi dawa ya mafuta mengi yanayojitokeza usoni hasa pembezoni mwa pua uwa yanatolewa vipi au kwa dawa ipi?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wasalam kama kichwa kinavyojieleza kwa wale ndugu zangu ambao sio wapenzi wa perfumes na body sprays tuambiane Marashi mazuri yakunukia binafsi kuna marashi yanapendeza kwa wadada wa ki Islam...
2 Reactions
11 Replies
11K Views
Naomba nichukue nafasi hii adhimu kabisa na katika Jukwaa hili na Mtandao huu pendwa kabisa wa JamiiForums kumtakia Kila la Kheri Mnyange / Mrembo / Mlimbwende wa Kitanzania Dada Queen Elizabeth...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Sijui ni wangapi mnajua kuhusu hii bidhaa. Bidhaa yenyewe ni ‘body powder spray’. Ni poda [powder] ambayo unajipulizia mwilini: kwenye mabega, mgongoni, kifuani, chini ya makwapa, na kadhalika...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Je, ngozi kavu ni nini? Ngozi kavu ni ugonjwa unaotokana na ngozi kukosa unyevunyevu wake na kupelekea ngozi kuwa kavu. Tatizo hili lina visababishi vingi ila kwa leo nitavizungumzia vichache...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari ndugu zangu.. Naomba msaada wenu kwa anaye jua dawa/lotion/sabuni ambayo itanisaidia kuondoa weusi chini ya macho..
0 Reactions
8 Replies
15K Views
kumekua na ongezeko sana la kinadada kuvaa vikuku mguuni kama leo nimeenda kunyoa saloo X katika mkoa wa iringa nikakuta mdada kavaa skert zakubana zile wanazovaa hasa wanavyuo hajavaa kufuri...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Back
Top Bottom