Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wanabodi Mambo yamebadilika na dunia inazunguka kasi sana Hadhi ya wanawake kuanzia akina mama na wa-dada wa jijini Dar imeporomoka kwa kiwango kikubwa, kwa sasa wamekuja na mitindo mipya ya...
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Hivi sasa, kumekuwa na tabia inayokua kwa kasi sana inayohusisha vijana wa kiume!Tabia ya vijana hawa ya kutoboa masikio linaweza kuwa moja au yote, kisha kuvaa vipini kama wasichana au kama...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
1.Wanawaza kuwa na handsome kuliko wote duniani 2.Anawaza kuwa na mwanaume ambaye amejitosheleza kiuchumi 3.Anawaza akiwa kwenye mahusiano na mtu aliyefanikiwa na yeye atafanikiwa hata bila...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau hebu tupeane ujuzi kwenye uvaaji wa tai, kwa mashati ya mikono mirefu na mikono mifupi, hivi kuwa kuna kanuni inayotawala uvaaji wa tai kwa mashati hayo? Pia naomba kujua je, kuna kanuni za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The extraordinary hourglass shaped model from Ghana and Kenya Born to a Kenyan father and a Ghanaian mother, 22 year old Pamela Odame Watara is no doubt a social media sensation in Ghana. Pamela...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Napenda sana uvaaji wa huyu bingwa. Kila Nguo inamkaa fresh.
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Yatafute haya mafuta.. Tumia ndani ya miezi miwili uje utuletee mrejesho
2 Reactions
85 Replies
13K Views
Leo nipo hapa kuwasaidia watu wanaotaka kuingia kwenye modeling au ni models wanataka kwenda kimataifa. Jina langu ni Blessing Chess nafanya kazi THE INNOVATION HOUSE BRAND WORLDWIDE modeling...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa sasa kujichubua/kutumia mikorogo shida ni nini,JE CHANZO NI WANAWAKE? Unakutana na anko mloachana 7 years akiwa mweusi leo ni mweupe, au anakuwa na rangi...
1 Reactions
79 Replies
9K Views
Wakuu wa jukwaa hili la utanashati habari za mida hii. Kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kufahamishwa juu ya hilo swali nikivaa kadeti then nikachomekea na shati, kuna jamaa wanadai kadeti...
0 Reactions
33 Replies
16K Views
Mimi ni mhanga wa kuwa na ualaza hivyo nalazimika kunyoa kila baada ya wiki moja ili kiwalaza changu kisionekane. Tupeane ushauri namna ya kuhandle hali hiyo kwa wale wasiopenda kiuwalaza
3 Reactions
25 Replies
6K Views
Nataka kuachana na mambo ya kujipulizia perfume..nianze kuingia kwenye ulimwengu wa udi,,sasa wale wazoefu wa kutumia udi je udi gani ni mzuri na naupata wapi..haruf ya udi imetokea kunivutia sana
2 Reactions
22 Replies
8K Views
Habari.......... kuna mtu ashawahi kuyafaham haya jee yamepigwa marufuku?kuna watu wanavusha mipakani wananishawishi ninunue kwa bei ya jumla mzigo wa dukani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Natamani wanawake wangefahamu kuwa katika vitu ambavyo asilimia kubwa ya wanaume tunachukia kutoka kwao ni nywele bandia. Asilimia kubwa ya wanaume huvutiwa na nywele asili. Ikiwa sisi hatuvutiwi...
17 Reactions
97 Replies
12K Views
Nikishave nawashwa mpaka natamani kujikuna mbele za watu msaada tafadhali
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Haya sasa, wale wapenzi wa vitu vizuri, wasiopitwa kwa lolote kwa chochote tupieni jicho hapo. Mishono haibagui, mnene wala mwembamba. Pia usiwe mchoyo kushare ili nasi tufaidi. Pendeza...
7 Reactions
129 Replies
42K Views
Jamani naomba kujua kati ya vans na all star ipi iko njema especially kwa kuvalia modo (crazy) Na je ntajuaje kuwa ni orignal
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Naomba tuliongelee hili kidogo- Weupe wa kununua Hips Makalio Boob's N.k Ulishawah kujiuliza kuwa unajiona wap baada ya miaka kadhaa kupita ? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi Maana diet nyingi utasikia asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro...
9 Reactions
118 Replies
20K Views
Back
Top Bottom