Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
wakuu habarini.nimeamua kuachana na lotion na kuanza bidhaa za asil.nilianza kutumia mafuta ya almond kwel baada ya siku kadhaa,,niliona mabadaliko ngozi yang ilianza kubadilika kuwa lain ila cha...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu habari za weekend. Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu. Kutokana na mdogo wangu kuwa na chunusi za muda mrefu imepelekea USO wake kubaki na alama na makovu ya chunusi. Je ni njia ipi...
2 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari zenu wazee baba Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti. Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani...
6 Reactions
62 Replies
15K Views
Hapo zamani za kale, wengi waliamini kuwa mvi ni dalili ya kuwa na hekima na pia mvi ni kiashiria cha uzee! Wale waliopata mvi mapema ujanani wengine waliambiwa kuwa hizo ni 'mvi za ukoo'! Kitu...
7 Reactions
25 Replies
35K Views
Unanunuavsimu mpya wakati uliyonayo insfanya kazi vizuri tu. Sababu ni nini hasa?
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Wanajukwa, Kumekuwepo na wimbi kubwa sana la wadada na wa mama kupendeza (kunawiri) siku hizi za miaka ya 2000 hadi sasa ukilinganisha na miaka ya 1980s, 1990s hadi 2000. Nini siri ya urembo wa...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Ukiondoa wale ambao ni kama ugonjwa ila kwa wengine mliobaki ni uchafu na kutojijali. Unakutana na bint mzuri kajipamba mwenyewe wanja , shedo , wigi , mikope na mikucha ya bandia, lakini...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Kufuga hizi nywele yataka moyo kwelikweli. Zinakera na kuujaza moyo hasira unakuwa mtu wa stress pasipokuwa sababu! Kibaya zaidi huwezi kugundua kwamba ndizo zinazokupa stress hadi siku ukinyoa...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Nafikiri kwa kifupi tu. Naambiwa akina dada miili yao ni sensitive yaani ukimgusa mdada hasa sehemu fulani za maungio ni rahisi kupandwa na ashki.. SASA SWALI LA KUJIULIZA... Hivi ni kwanini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mke wangu ana vipele vingi usoni na ameshauriwa na wingi atumie sabuni ya zoazoa. Wasiwasi wangu ni isije ikamchubua akaanza kuwa mweupe. Wadau, kabla hajaanza kuitumia ningependa kujua kama hii...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Wanawake wanapata tabu sana kujikubali miili yao mpaka kuingia katika vishawishi vya kutumia dawa za kichina au kwa wenzetu nchi zilizoendelea kama marekani hufanyiwa operesheni au surgery...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Shostito kapita hapa yaani hata hamu ya kumwangalia imekatika gafulaa...perfume ya leo in harufu ka ya mkojo..full kichefu chefu NB: Jifunzeni kuchagua perfume, perfume sio nzuri ka wewe...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Hupunguza nguvu zakiume kwa kiasi kikubwa ........ Soma kwa umakini point number 5 iko ktk red ink Now read this 14 ways to naturally Increase your testosterone 1. Get more Zinc Zinc is...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Visit: YNS.apg-ea.com Call: 0736 937 937 We are offering short courses and workshops in Fashion Design, led by Yvonne Njau. Yvonne is a Tanzanian Fashion Designer studying in IFA Paris, France...
1 Reactions
2 Replies
978 Views
Heshima wakuu, Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliacha kuvaa vimawigi. Kwanza mlikuwa hampendezi, hata sijui nani alikuwa kawafundisha. Baada ya kuachana na mawigi, wengi huwa...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Huyu jamaa amekuwa anakosoa uvaaji wa wenzie yeye anaita dhambi za "fashiooone" ilihali hata yeye uvaaji wake naona kama una tatizo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimetokea kuwa mpenzi sana wa kupiga dongo...kupiga kipara..kunyoa kipara. Na hii ilitokea baada ya kugundua kuwa kuna vitu flani vya kijinga ila vinavutia sana na sana sana upande wa akina dada...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Kwa nini waafrika wanajibadilisha rangi? Mitindo ingekuwa na maendeleo kiasi gani bila uwepo utumwa na ukoloni? Katika mfululizo wa Barua kutoka kwa Waandishi wa habari wa Afrika, Mwandishi na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
BAADHI ya wanaume nchini wanatajwa kuwa kichocheo cha wanawake kutumia vipodozi vyenye viambata vya sumu ambavyo vimekuwa vikiwapa madhara ya ngozi. Hayo yalielezwa Dodoma jana na Meneja wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiatu cha OXFORD (the oxford shoes) ni viatu ambavyo vimetokea kupendwa dunia nzima , vikitofautina kidogo na DERBY SHOES . Sehemu ya kwanza kuonekana aina hii ya viatu ni Scotland na Ireland ...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…