Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Naomba msaada wa kuelimishwa juu ya namna ya kuondoa kovu kwenye paji la uso kwa mtu ambae aliwekewa akiwa mdogo, kovu linakua kama jinsi ilivyo ndonya (shilingi) au kama wanavyowekewa kabila la...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale ote wenye nywele za singa,tumeane dondoo jinsi ya kuzitunza kama mafuta na mengine mengi ili ziwe za kuvutia zaidi. Nawasilisha
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Check Hi Style Noma
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Wadau hili ni swali linalonifikirisha sana Naomba mnisaidie wajuvi Zile zipu za mbele kwenye suruari za kike waga ni za kutolea nini?
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Wadau! Naomba kujua ni perfumes gani nzuri za bei kuanzia 15000-30000, yawe produced in Europe not Asia.
0 Reactions
19 Replies
23K Views
Napenda kutumia nafasi hii kuwapa salam wote ninyi wahangaikaji ndani ya uzini huu special ,asallam,samahani naomba aliye na ujuz wa wakurefusha ndevu.ziwe ndefuu na Nene nyeusi tafadhil sana...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Asante Rayvanny kwa kunifumbua macho. Ila yaliyomo yamo kweli shogaangu Donatila ? Mbona haijajichora?
4 Reactions
44 Replies
10K Views
Wakuu nawasilimieni nyote, Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, Nimejaribu kabla ya ku-post uzi huu kuona kama kuna uzi ulishawisilishwa humu wa namna/njia/dawa/mafuta maalum yasiyo na...
0 Reactions
19 Replies
71K Views
Mtindo mpya wa kuacha ndevu zilizo na mvi 'ulioibuliwa' na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe umeonekana kupata wafuasi baada ya Mbunge wa Rombo Joseph Selasini kuonekana katika mtindo...
2 Reactions
14 Replies
9K Views
Kuna wadada mpaka leo wanaamini kua sisi wanawake tunaweza kufanya kila kitu wanaume wanafanya, My dear wewe unaweza kuvaa nguo ya ndani moja kwa wiki nzima? Tukubali tu vitu vingine ni wao tu...
1 Reactions
43 Replies
5K Views
Jamani hili suala najiulizaga kila siku Sijawahi kumuona mwanamke mwemba amejifunga kanga ila leo nimemuuliza rafiki yangu hili swali amesema kuwa wanaogopa eti wataonekana kama wana mguu mmoja...
2 Reactions
77 Replies
9K Views
Naomba mnisaidie dawa yakuondoa chunus ndogondogo juu ya uso Nitumie nn au dawa gani ili zikauke
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wale wanaopiga mswaki nje ya nyumba hasa wanaume tena kandokando ya njia huku wamevaa vibukta vifupi vimeishia kwenye mapaja na tumbo wazi sio ustaarabu.
7 Reactions
71 Replies
7K Views
Jana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting. Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups. Wengi kwa kweli...
4 Reactions
33 Replies
40K Views
Naomba mwenye ufaham mzuri wa list kamili ya vifaa kukamilisha salun ya kike anisadie. Nikijua bei ya kila kimoja kwa dar, zanzibar au mwanza nitashukuru.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana tulikuwa tunamzika brother Kizzo. Huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli. Katika umri wake aliyeishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa. Kila aliyesimama alisema...
28 Reactions
135 Replies
55K Views
Ivi zamani kidogo wanawake walikua wakivaa idadi ya nguo zisizopungua tano yaani sidiria, blause,chupi,underskirt, na skirt yenyewe ila sikuiz kuna wakati zinavaliwa nguo tatu chupi,suruali na...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Wadau habari zenu, Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Niliona juzi vijana wakitetea bwana mdogo mmoja ambae inasemekana ana miaka 20 aliepiga picha na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, dogo ana mwili mkubwa na amenenepeana sana. Watu wakawa wanasema...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…