Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hello members, mimi ni mgeni humu ndani naombeni mnipokee It has been take long time to inter here but i thanks that i have been registered People who i admire #Mshana Jr #Joverest...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Natumaini hamjambo wadau wote na wazoefu wa jukwaa hili, Ninaitwa Mniko The Poet, mwandishi wa digital ebooks kuhusu mashairi na stories. Ninaandika mashairi kuhusu jambo lolote ambalo mtu...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Nimejiunga na jamii forums mtandao wa ukweli Tanzania, nashindwa kukomenti post yoyote kwani sehemu ya kukomenti haipo kabsa, tatizo ni nini? Msaada jamani
0 Reactions
7 Replies
920 Views
Jamani habar zenu? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
703 Views
Am so happy to join JF Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
5 Replies
797 Views
Jamani kwema hapa jf Nimekuja naomba mnipokee tu kama kuna maelekezo naomba mnipatie mapema nisije nikakurupukia vitu sivijui Basi nipo mlangoni hapa nasubiri nipokelewe
1 Reactions
52 Replies
3K Views
Habarini wandugu......nina furaha sana leo nimejiunga jamii forums.Lakini naomba msaada wenu wa kujua wapi ntapata maelezo ya jinsi ya kuchangia mada mbalimbali kwa watu waliotoa hoja zao.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
wana jf hamjamboni?ni member mpya nimetokea kijiji cha vibamba Tanga. kwa sasa niko Arusha kikazi.tena nawaombeni mnisaidie kupata mke mzuri mwenye maadili.umri wangu 27 yrs.nimeajiriwa kwenye...
0 Reactions
8 Replies
793 Views
Baada ya kuwa nje ya jukwaa hili ila nikiwa mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali kutoka kwa wachangiaji mbalimbali, hatimaye leo nimeamua kwa dhati yangu bila kushurutishwa na yeyote na nikiwa na...
1 Reactions
63 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, Nimeingia rasmi humu ndani,hope ntapata mengi ya kujifunza.
0 Reactions
28 Replies
2K Views
jamani mie mgeni katka forum hii kuna muda niliwahi kujiunga ila kasimu kangu kaka haribika, Sasa nimerudi ila sijui vitu vingi saana humu, ningependa kupata maneno mhimu yanayotumika humu pia na...
1 Reactions
13 Replies
911 Views
Mambo zenu wadau...nmekuwa msomaj mzur wa jf kwa kipindi kirefu!! Naomba kukaribishwaaa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
44 Replies
2K Views
Naomba ukarimu wenu...!
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Hellow guys.!!! Mimi ni mgeni humu japo nilikuwa huku kama Guest, Nimejiunga Rasmi Leo. Naombeni mnipokee. Asanten
8 Reactions
100 Replies
5K Views
Hallow! I'm here again Sammy ngulinzira
1 Reactions
10 Replies
1K Views
habari wana jf..poleni na majukumu ya kila siku na pilika pilika za hapa na pale katika maisha haya..mimi ni mgeni humu japo nmekua nikipitia pitia baadhi ya nyuzi uku ndani kwa muda kidgo..naomba...
1 Reactions
10 Replies
910 Views
Habari zenu mabibi na mabwana. Nimekuwa nikisoma tu maelezo ya watu kwa takribani miezi miwili leo nimefungua akaunti yangu.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jina langu mtumwa huru, Jinsia-Me)Naombeni ridhaa ya kuwa nanyi waheshimiwa, nimejifunza na kufurahia mengi kwenu kabla ya kuamua kupiga hodi humu......
1 Reactions
5 Replies
779 Views
Habari za humu ndani JF Nashukuru nimepata nafasi ya kuwa member wa JF naomba mnikaribishe mwanachama mwenzenu.
0 Reactions
7 Replies
620 Views
Mgeni jamii forum naomba maelekezo zaidi please [emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
843 Views
Back
Top Bottom