Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hello Wanajamiiforums, naitwa Tutubeti ni mgeni humu. Tafadhali naombeni mnipokee. Ahsanteni sana.
3 Reactions
7 Replies
667 Views
Hello wana JF! Mtanisamehe hili jukwaa sikupita kufanya utambulisho. Karibuni wageni
0 Reactions
17 Replies
548 Views
Habari wana JF, Member mpya nipo Uturuki kwa wale watakao kuwa na shida ya kuniagiza bidhaa karibuni pia tuunganishane me ni mwanafunzi huku na pia mtafutaji kwa wale wanaotaka kusoma na kuuliza...
0 Reactions
6 Replies
471 Views
Alitunga stori na kuiweka Whatsapp, ambapo stori hiyo iliwagusa sana wasikilizaji walio isikiliza, baada ya siku 2, alijikuta anapitia mwanzo kama alivyo andika stori ile. Siku saba baadaye...
0 Reactions
2 Replies
369 Views
Baada ya kua msomaji wa nyuzi mbalimbali kwa takribani miaka 12..Leo kwa hiyari yangu mwenyewe bila kushurutishwa na mtu nimeamua kujiaunga rasmi JF ..
3 Reactions
65 Replies
2K Views
Habari zenu Wakubwa? Nimeingia ndugu yenu Mzee wa Makorokoro.
2 Reactions
9 Replies
449 Views
Hello, am new here. Nafurahi kuwa hapa, I think nitajifunza mengi hapa JF. Thank you.
2 Reactions
22 Replies
976 Views
Habari zenu wakongwe wa JF? Nimekuwa nikifuatilia JF toka 2013 kwa kupitia freebasic bila kujibu hoja. Nimenufaika sana kupitia hoja za members wa JF, kwa kipindi cha 2013 mpaka 2023 sikuwa na...
5 Reactions
10 Replies
518 Views
Hello wapendwa jukwaani,Mimi ni Mgeni kwenye jukwaa hili,nimependa kuungana nanyi ili kujifunza mengi kutoka Kwenu🙏
3 Reactions
11 Replies
434 Views
Mimi ni mgeni nakuja kwenu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana, kuomba msaada wenu wa kunikaribisha. Nitashukuru sana kama mtanipokea na kunielekeza njia zakupita.
2 Reactions
24 Replies
723 Views
Wakuu za sahizi Nimekuwa nanyi since 2021 December leo nimeamua kujiunga rasmi 😁😁 Mnipokeee please
7 Reactions
55 Replies
1K Views
nilipotea mda mrefu nashukuru mungu kuja kukutana nanyi tena mungu awabariki
2 Reactions
8 Replies
433 Views
Hi new member habari zenu wakuu
0 Reactions
4 Replies
353 Views
Habari zenu wakuu. Mimi Nina miaka 23 nina mpango wa kuanza maisha Dar ila sijawahi kufika nilikuwa Nina omba ushauri maeneo gani ya dar yenye vyumba vizuri vya 30000 au chini ambavyo sio...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni humu kutoka Iringa, nimelipenda jukwaa hili kuja kubadilishana mawazo na kujifunza mengi kutoka kwenu nyote.
4 Reactions
14 Replies
662 Views
Mimi Fundi Lyimo nipokeeni na mnipe ushirikiano.. Asante
4 Reactions
6 Replies
488 Views
Habari. Ninayo furaha kujiunga na jukwaa hili pendwa.
3 Reactions
14 Replies
657 Views
Habari wana jamii, mi ni ndugu yenu mpya, naomba mnipokee Lakini pia ni job seeker, kwa yeyote mwenye connection ya kazi au anaweza kunisaidia kwa namna yeyote naomba tuwasiline.
1 Reactions
8 Replies
409 Views
Nimekuja mnipokee
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Hellow am a new member apa JF ...nmependa kujumuika na nyie.
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom