Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi ni mgeni wakuu ushirikiano wenu ni jambo la msingi , naomba kuwasilisha
0 Reactions
4 Replies
798 Views
Hellow 🖐️ wakuu, mimi ni mgeni humu Jf. Naombeni mnikaribishe tuendelee kupata madini, sisi sote humu ndani. Maana naona kuna madini mujarabu sana.
1 Reactions
7 Replies
626 Views
Wakuu Habari, naitwa HERUFI KUBWA, nawapenda, naomba mnikaribishe.
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Heloow wakuu ndugu zangu.. ni mda mref sana... Najua weng mnajiuliza mwaamba mbona haonekan.. ila ndo hvyo dunia ina mengi hii jaman . Furukuta furukuta waapi.. Enewei.. watesi wangu najua...
1 Reactions
10 Replies
613 Views
Hello brothers and sisters, I'm John. New here I'm I welcome ?
1 Reactions
3 Replies
296 Views
wenyeji wangu habari zenu?
1 Reactions
9 Replies
425 Views
Ni takribani miaka mingi, tangu nijulishwe habari za "Jamii Forum " na rafiki yangu nikiwa chuo japo muda wote huo, sikuwahi kuwa member wala kuwa na App ya jamvi hili. Japo nilikuwa mshiriki bubu...
12 Reactions
37 Replies
2K Views
Nimekuwa JF miaka kibao sana...ila sjawai jiunga nikaweka na comment. Nilikuwa napitia tu....yaani kula na macho. Ule uzi wa yoga ndo ukanimaliza....nikaona wivu wana wanavyopiga macomment...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa. Mimi ni mgeni humu naomba mnipokee ndugu yenu.
0 Reactions
3 Replies
977 Views
Habari wakuu Mimi ni mwenyeji JF najitambulisha tu kwaajili ya kufahamu wageni. JF ina majibu ya kila swali katika uhalisia wa maisha ya kitanzania/kiafrika. JAMII FORUM>GOOGLE
1 Reactions
5 Replies
920 Views
Hello, mimi ni mgeni, naomba ushirikiano wenu wadau, asanteni.
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Naitwa Kaka Ibrah, naombeni ushirikiano wa karibu kutoka kwenu, shukrani.
1 Reactions
7 Replies
614 Views
Naitwa sir bangaler, ni mgeni humu ndani naombeni miongozo ya kutumia katika kuchangia na kujenga hoja, asante. Sent from my SM-J106F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
5 Replies
833 Views
Baada ya msomaji mgeni tangu 2014 kwa kuburudika na nyuzi za kula tunda kimasihara,mazingira hatarishi kufanya mapenzi na kadhalika. Hatimaye Leo nimeamua kuwa member niliye hai kabisa naomba...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Helo diaz... Nafurahi kuungana na nyie
1 Reactions
11 Replies
713 Views
hodi wadau wa J-forums mi mgeni naomba ushirikiano wenu
1 Reactions
6 Replies
802 Views
Hello fans
1 Reactions
4 Replies
810 Views
Naitwa Ramateo_tz ni kijana 20 yrz old very ambitious and enthusiastic with being successful
0 Reactions
4 Replies
474 Views
Habari za majukumu ndugu zangu wana jf. Nimejiunga jf kama member mpya na naona ni vyema kujitambulisha na kuomba ushirikiano wenu. Naamini penye wengi pana mengi. Niliwahi ku-readover jf miaka ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari kila mmoja, Nimekuwa nikipitia baadhi ya nyuzi za JF kwa mda sasa nimekuwa nikipata majibu ya maswali yangu, sambamba na vicheko, maana kuna members humu wana excellent sense of humour na...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom