Habari zenu wakuu,wanajamvi wa jf! ndo kwanza nakanyaga jf,naomben tuwe wamoja ktk hoja na mijadala mbalimbali itakayotuletea maendeleo!
ni hayo tu wakuu!
Poleni wanajf kwa msiba wa mwanamapinduzi wa afrika Nelson Mandela aliyekubali kuendelea kukaa jela kuliko kuachiwa huru chini ya utawala wa ubaguzi wa rangi wa makaburu wa Afrika Kusini.
Mie ni NDUGU yenu, Kwa UCKU na MCHANA.
Tena ni SWAHIBA wenu,
Kwa MAREFU na MAPANA.
Natambua UTU wenu,
Pamoja na UUNGWANA.
Wema ni Tabia zenu,
Aliyowapa SUBHANA.
UKARIMU na ROHO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.