Hi! My frnd napenda kuwajulisha kuwa sasa napatikana kwenye jf tushauliane tufundishane tupongezane ikibidi tukosoane ntashukuru kwa wote watakao niunga mkono....haya tuanze..,@
Hodi wanajukwaa, nami nimeona niungane nanyi katika jukwaa hili mahiri la kudadavua mambo kwa lengo la kuijenga nchi yetu. Naahidi kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.