:frusty: Hodi hodi, ng'ong'o, ng'ong'o,.......!
Asanteni sana kwa kunipokea :thumb:
Ninaitwa Byeyombo. Ni mkulima wa vanilla kutoka Bukoba Vijijini. Ninaongoza ushirika unaoitwa Maruk Vanilla...
Naomba kutumia fursa hii kuwasalimu Wanajamii forum.
Msiba wa ndugu yetu, jembe letu, hakika umeacha pengo kubwa sana na utendaji wake hodali utakubukwa daima. Kwa kuwa Mungu amempumzisha, nina...
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa hii forum,sasa nimeamua kuwa active member ili nami nitoe dukuduku zangu za kumoyo.
Naomba kukaribishwa tafadhari.
Nami nimeingia katika jamii hii ili kuweza kupata taarifa na kujifunza vitu vingi hasa kutokana na uwezo katika nyanja mbalimbali miongoni mwa wana jamii.
jamani wana jamiii mie ni mpya mambo zenu nimefuatilia sana na nimefurahishwa a mchakato mzima wa jamii forum. hodi hodi jamani natumai wote wazima wanajamii na mtanipokea
Hi Wanachama!!!
Mimi nilikuwa pamoja nanyi muda mrefu umepita. Kwenye mwaka 2006. baada ya kupotea kwa muda mrefu nilisahau Address ya kuingia katika ukurasa huu.
Mungu mkubwa leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.