Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi ni Mbunge na sasa nimeamua kuwa mwanachama wa jf kwa mark hii mnayoiona , nafikiri jambo la msingi leo ni salamu nakuwapongeza wote wanaoshiriki katika mijadala mbali Mbali . Nitatangaza jina...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Baada ya muda mrefu JamiiForums kuwa chanzo changu muhimu sana cha kupata habari muhimu na tofauti tofauti na kwa wakati muafaka hatimae leo nimeamua kujiunga rasmi hapa jamvini. Wakuu heshima...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Mambo zenu wazeiya ndo naanza lakini nilikwisha jiunga kitambo.xo ukiniona salamu kwa sana! pamoja mzazi
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Hodi wapendwa nyote nawasalimu, naomba ushirikiano wenu humu mtandaoni.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hodi wanaJF.. Natumaini mtanipokea kwa moyo mkunjufu katika mtandao we2 huu.... Natanguliza shukrani...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hodi hodi wa zuoni, mgeni nipokeeni, bado niko mlangoni, nasubiri yenu hisani, ntakapofika ndani, nionyesheni kwanza jikoni, Hodi hodi jamvini, 4 digits nipokeeni.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
hi
habari zenu wadau wa jukwaa la mapenzi,mimi ni mgeni wenu humu ndani
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hello waungwaba na wafuaji wa mbongo, nimeamua kuingia katika kilinge hiki baada ya muda mrefu kuwa mfuatiliaji wa fora kama guest(mgeni). Nikasukumwa na ile dhana isemayo "Ukitaka Kujua Uhondo wa...
0 Reactions
3 Replies
868 Views
wakuu mwnenu nimejiunga leo baada ya kujivua gamba kule kwenye kitabu cha masura ya watu. naomba na mimi jamii mnipokee niwe mwenzenu. thanks in advance!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa Muda Mrefu nimekuwa nikitumika kuua wale wote wenye mitizamo tofauti na Watawala wa Dunia. Nimeamua kuongoka naombeni Mniombee ili Badala ya Kutumika Kutoa Uhai wa Viumbo visivyo na Hatia basi...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
nikaribishen jaman
0 Reactions
6 Replies
732 Views
Habari zene binafsi bana
0 Reactions
10 Replies
1K Views
hamjambooooooooooooooooo? nipo ndani ya mjengo tayari nifungulieni:tongue:
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Heshima zenu wakubwa Napiga hodi jukwaani kwa nia safi ya kujifunza na kuchangia mawazo kwa mustakabali wa nchi yetu Asanteni
1 Reactions
6 Replies
998 Views
Hello Jf hodi ukumbini..natumai mu wazima naomba kukaribishwa rasmi jukwaani na baada ya muda nitatoa matatizo yangu magreat thinker munisaidie
0 Reactions
7 Replies
931 Views
Wakubwa "shikamooni", wenzangu "mambo?" na wadogo zangu "hapo vipi?" naombeni ridhaa yenu nami nijongee hapa jamvini nipate uweledi.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
hello member, mi mwenyeji wa forum lakini ni mgeni kutokana na kutoitumia forum mara kwa mara so now nakua member kamili
0 Reactions
8 Replies
1K Views
mimi ni mgeni lakini sina kamba mguuni,naombeni mnipokee wakuu wangu!
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakubwa, uKITAKA kujua uhondo wa ngoma, ni uingie ucheze. Nimependezwa sana na jukwaa lenu, naomba ukaribisho wenu! Nilikuwa nasoma hoja zenu motomoto, leo nimeamua kujitosa moja kwa moja...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hodi...hodi...hodi...kodi
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom