Habari zenu wenyeji?
Naamini si vyema kuingia kwenye mji wa watu bila hodi na JF ni 'home' of Great Thinkers nami nimeona ni vyema kuingia kwa hodi. Japo si mgeni sana lakini wenyeji wangu...
nimekua nikisoma na kufurahia na kujifunza mengi toka kwenu wana jf..kawaida mi ni mvivu sana kujiunga na mitandao ya jamii ila nyie mmenishawishi,big up n pamoja tulisongeshe...lunch njema hasa...
Wadau wa JF, Hodi humu ndani!!!!
Nimemalizia kuzisoma sheria za JF, naamini tutashirikana vizuri katika mijadala na hoja mbalimbali ndani ya JF.
Ni mimi,
IL Gambino.
ni muda mrefu nafuatilia hoja za member wa jf ,nimeshawishika sana kwani ni za kujenga watu kifikra na namna mbalimbali katika jamii.
Therefore i humbly asking for a membership in ideas and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.