Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
tupo pamoja ila tu ubize nashindwa kiasi kwamba nilishindwa kuchangia chochote ila niseme tu michango yenu michache ya maoni imefaa wengi akiwepo mimi asanteni sana. Kamvua kanakoendelea hapo nje...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba mnikaribishe mwezenu
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nafurahi kuwa ndani ya JF Bishop DD Kaganga
1 Reactions
9 Replies
987 Views
Nipokeeni mm mdogo wenu: kisiasa, kiuchumi, na mengineyo mengi tupeane changamoto.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakubwa na miye nimo, tushikane bega kwa bega kwenda kwenye maziwa na asali.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mgeni nimeingia jamvini!!!!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari ndg zanguni! Mimi ni ndg yenu, ndio kwanza nimejiunga na wanajamvi baada ya kuwa msomaji tu cku zote, nawaomba mnipokee na kuniongoza pindi mtakapoona nimepotoka, hakuna aliyekamilika...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Truly people differ but we have something in common ,so lets share.1 Luv... Nafurahi kuwa part ya JF sasa.
0 Reactions
2 Replies
720 Views
Jaman hodi nmeingia huku napenda sana stori za kizushi na nimeshaweka stori 1 kwenye udaku pale, jaman nitarajie nini
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu wanaJf, kwa muda mrefu nimekuwa nikisoma mada mbalimbali, lkn kuna lililonikwaza hadi nikaingia mazima. Kama wiki mbili hivi zilizopita, Chama cha Mapinduzi kilifanya mikutano yake Dodoma...
0 Reactions
9 Replies
991 Views
Habarini waungwana natumai ni wazima kwa wale wagonjwa Mungu awape nguvu na afya nzuri mapema ili tuendelee kusongesha hili gurudumu la maisha, naomba niwe mmoja wa familia yenu wapendwa, kama...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Its so nic to b here!! Through jf memberz hop i wil enjoy
0 Reactions
8 Replies
898 Views
naomba kukaribshwa
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hi to all members!
0 Reactions
12 Replies
924 Views
HI
Jamani HODIII.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
:hatari:
0 Reactions
8 Replies
899 Views
Just to say hi to you all.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hodi hodi wenyewe. mi ni mgeni naomba kuwa nanyi.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wana jf wote nawasalimu kwa upendo. Baada ya kuwa msomaji wa threads za jf, nimenogewa, sasa na mie baada ya kujua utamu wa ngoma nimeamua nicheze! Nipokeeni waungwana!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
hodi jamani, hatimae leo nimefika hapa JF naomab kuuliza nitarajie nini huku? au nilog off niondoke?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom