Hod jf,mm c mgen sana wa kusoma threads za jf hasa mmu na job vacancy forums,nimeamua kujiunga il nami nipate fursa ya kuchangia mada za humu ndan,mnipokee wandugu
Naomba mnipokee katikaJamii forum ili niweze kujiunga katika kubadilishana mawazo na kutumia jamii forum kama jukwaa langu la kutolea kile ninachoamini kuwa kitachangia katika kuijenga Tanzania na...
Wana jf, ubongo ulikuwa unapenda kukua bila salaam za kujitambulisha kwenu!! Nimekosea kwa hilo !!!! Naomba kujiunga katika foleni ya kikombe cha tiba ya kupanua akili na hekima ya kupokea na...
Jamani nabisa hodi naombeni mnipokee hivi nilivyo. Nilikuwa tu msomaji ila sasa hivi nimevutiwa na mimi nataka kuchangia lakini naombeni msiniulize haya yafuatayo
1. Kwanini hufui boxes za mumeo...
Wakuu mtanisamehe kwa kutumia jina la Kilimanjaro peke yake.But thats where Im from guys!Lakini TZ nzima tupo pamoja kama nini na nini sijui.Mi ni binadamu pia,kama kuna yeyote nitamkosea au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.