Mmeniona wana JF naamini katika hoja sio kelele njooni tugawane elimu sasa mimi ndio Novatus Kambota, waweza kunipata kwa anwani ya barua pepe; novakambota@gmail.com.
Ndg zangu The Great Thinkers, mie Kijukuu ndo naingia leo mgeni naombeni mnikaribishe Mtz mwenzenu. Nimeifaham JF kiuhalisia leo baada ya kumsikia Muasisi Bw. Mziray akiizungumzia kupitia Radio...
Its been a pleasure joining this forum and am looking forward to been a member here and also to learn more from this forum and also be an additional asset to this forum Thank you
Wanamichezo, hokey, cricket, baseball, rugby, tennis, kuogelea, mieleka, riadha na mwisho football naomba nijitambulishe kwenu kwa ID yangu hii ya pili. Chelsea Blue ni takuwa naitumia kwenye...
WanaJF, naomba mnipokee mwenzenu tuendeleze nchi yetu wakuu. Nafuatilia sana mijadala mbali mbali bila kuchangia chochote.
Leo hii nimeamua kujiunga rasmi na hii forum ye GREAT THINKERS ili...
Hello guys,
Jina langu ni Baby Angel,huwa natembelea mara kwa mara ktk jamii forum sema nakosa muda wa kujiunga na leo nimeamua kuingia humu na kuwa mwanachama kutokana na kuona uwezo wa wana...
am Rita J's. i always visit this site but yesterday i decide to join. I hope you can ope the door for me to share my ideas with the whole tanzanian community.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.