wadau wote wa jamii forum nawsabahi, assalam aleykum jamia. Kwa mara ya kwanzaa ndani ya jf, namiksi sana na jk. Tutakutana kundini katika kuendeleza mawazo mshazari na yenye kutandawaa katika...
Habari wana JF?
Ndiyo kwanza najiunga humu ndani baada ya kuwa natembelea tuu na hatimaye kunogewa! Natumai kupata ideas mupya, challenge na mambo mengine mengine mengiii!
Hodi jamani mwenzenu...
HI FRIENDS>
HOPE MAMBO IPO POA BWAAANA.MM NAITWA HERBERTH TOLERATE.
USER NAME YANGU ITAKUWA htolerate.
nafurahi kujoin hii forum coz i hope iko na wakongwe kibao.na sisi serengeti boys tutapata...