Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
I've just joined the forum! Looking forward to have fun!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello everyone I'm a new member so tutakuwa pamoja ndani ya jamii forums. Kwa sasa ni hayo tu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hodi ulingoni marafiki walio makini
0 Reactions
6 Replies
1K Views
hongeren kwa umoja wenu najua ipo siku nchi itabadilika kwa umoja huu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naitwa george william mkazi wa moshi - kilimanjaro nawakaribisheni wote tuweze kuzungumza jaman mimi ni mgen nategemea ushirikiano kutoka kwenu!!!!!!!!!! waweja sana!!!!!!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hodi humu ayaaaaaaaaaa nimeingia na viatu anyway ntavua baadaye wana-member wa JF mimi ni mgeni naomba kuwa nayi tuvumiliane
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hodi hapa, nimekuwa mgeni kwa miaka miwili sasa na leo nimeamua kuingia humu ndani. Nimesoma maandiko mengi sana ya kila idara nami nimeingia kuchangia. Misimamo yangu ni kama ifuatavyo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wazee shikamooni!!,wadogo zangu hamjambo!!,rika langu vipi mambo zenu!! naombeni mnipokee ndugu yenu ktk familia tuendeleze gurudumu la JF. ASANTENI.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
my name is the oneandonly,lady of course.am new to this site.kwa kifupi nagonga hodi kwenu.......nimekaribishwa nadhani
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Napenda kuwasalimu wote,nafurahi kuwa pamoja nanyi ,nawatakia siku njema
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nina furaha kujiunga na wapiganaji wa nchi hii. salaam
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakubwa shikamoo, wadogo hamjambo? Wenzangu mambo vipi?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wenyewe mpo humu ndani, nimetoka mbali mie nahitaji kinywaji kabla kabla sijaanza kuongea.Tena nahitaji kile cha baridi sanaaaaaaa!!
0 Reactions
24 Replies
3K Views
salama wakubwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nawasalimia wakuu wote na kuwafahamisha kwamba mimi ndiye Kipunguni, na kwa sababu zisizoweza kuzuilika nitajulikana kama Kiwalani kuanzia sasa. Shukurani sana wakuu, tuendeleze libeneke ...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
napenda kuwafahamisha wanajamii kuwa nimebadili ID yangu kutoka NPL kwenda Lady N bcoz ID ya kwanza ilikuwa more complex .
0 Reactions
13 Replies
2K Views
This is mamushka in, just wanting to say hello!
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Hello members.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
HI
Hello wana jf, Wakubwa wangu shikamooni na rika langu hali zenu, nipokeeni ili tuchangie pamoja.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
hellow,nimevutiwa na wana jf naomba mnipokee
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom