Watu wangu wa nguvu , kwema lakiniii ..
yah yah it's yo boy YuLEboy 001 ..ndo najoin humu Kati ..
maana ni muda nilkuw nachek info ,za humu ndani ,atlast nmeamua kujiunga nanyi wakulungwaa ...
Bwana Yesu asifiwe wana wa Mungu. Tumsifu Yesu Kristo. Mwana kondoo ameshinda. Asalaam alequ.
Naomba mnipokee mdogo wenu.[emoji40]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naumri miaka32 mkaz wa dsm
Natafuta mke awe na sifa zifuatazo
1. Awe na rangi kidogo
2. Awe mrefu kiasi
3, awe anaumbo no 8
Asiwe mlevi na awe mchamungu km unahisi unahizi sifa njoo inbox
Sent...
Hallow,naitwa Simulizi za kweli.
Pigaaa kelele moja kwa Simulizi za kweli.
Natuma salam kwa memba wote wa JF ujumbe wangu ni
Tujihadhari na corona,hivi ni colona au corona maana huku kwetu...
Hellow wana JF wotee, mm ni kijana wa miaka 20 nipo chuo coz ya clinical medicine mwaka wa 2 , nimetembelea TCU nikaona kuja kusoma degree ya medicine MD mpaka uwe na credit ya chemistry ila mm...
Hodi hodiii mpk ndani. Habari za humu wandugu?.
Naitwa olika ni mgeni humu jf naomba ukaribisho na ushirikiano wenu eeh.
Naishi moshi ( nimenawa na maji tiririka na niko na barakoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.