DOKEZO Threads

Video credit: EATV Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano...
11 Reactions
98 Replies
6K Views
Moja ya mujukumu ya Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali, imekuwa ni kutoa vitambulisho kwa waandishi wa Habari (PRESS CARD). Kwa muda mrefu sasa, ili Mwandishi wa Habari hasa wale wa Mikoa tofauti...
2 Reactions
7 Replies
886 Views
Anonymous
DOKEZO
Natambua kuwa nia ya serikali kuanzisha mfuko huu ilikuwa ni kuwapunguzia makali ya umasikini baadhi ya wananchi wasio na vipato kabisa. Kundi hili ni la wazee, yatima, walemavu, nk. Utafiti...
2 Reactions
3 Replies
491 Views
Anonymous
DOKEZO
Hospitali ya Ekenywa wanalazimisha wateja wa Bima hasa NHIF kununua dawa kwao. Ukienda kutibiwa wanakwambia hii dawa haipo kwenye bima; ukienda Kwa mfamasia ukimuomba akuandikie jina la dawa...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Kwenda kwa: Makamu Mkuu wa Chuo Chuo Kikuu Huria cha Tanzania YAH: MALALAMIKO YETU WANAFUNZI KUHUSU MATOKEO Husika na kichwa cha habari Sisi ni...
6 Reactions
18 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO
Ni ajabu ila ni kweli. Bohari ya Dawa (MSD) ambayo ipo chini ya Wizara ya Afya ambayo Waziri wake ni Ummy Mwalimu ilikabidhiwa uendeshaji wa Kiwanda cha Dawa cha Keko na Msajili wa Hazina mwaka...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO
Kwa niaba ya wanafunzi waliohitimu kozi zote za afya ngazi ya cheti na diploma nchini toka kwenye vyuo vilivyosajiliwa ambavyo vipo chini ya baraza la elimu na mafunzo ya ufundi(NACTVET) hadi leo...
2 Reactions
3 Replies
556 Views
Anonymous
DOKEZO
Naitwa Janeth Shayo, mkazi wa Uru, Moshi. Naomba unisaidie kupaza sauti mwanangu Jonathan Makanyaga (07) mwanafunzi wa darasa la kwanza shule ya msingi Mrupanga, ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu...
68 Reactions
494 Replies
21K Views
Hapa gari ndogo haiwezi kupita maana itaharibika kabisa. Mkandarasi kama huyu inakuwaje anapewaa kazi na kuharibu barabara. Any way mzee baba alishaondoka acha mjipigie tu.
6 Reactions
15 Replies
791 Views
Naandika kwa uchungu mkubwa baada ya Mke wangu kufanyiwa udhalilishaji na huyu kijana mhuni anayeitwa MALIMA ambaye ni Polisi Jamii hapa Kata ya Nala. Ni kijana ambaye anajiona yeye ni zaidi ya...
6 Reactions
48 Replies
3K Views
Kumekuwa na tabia ya hovyo sana inayofanywa na madereva pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa mabasi ya Mwendokasi, hasa katika vituo vikuu vya Kivukoni na Gerezani nyakati za jioni ambapo foleni ya...
3 Reactions
53 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO
Mimi ni mmoja wa Madaktari Wanafunzi ambao tulikuwa tunajifunza kwa vitendo kwa muda wa mwaka mmoja katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa (Kitete) iliyopo Tabora. Moja ya changamoto ambayo tulikutana...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO
Mimi ni mmoja wa Wafanyakazi katika Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) inayojihusisha na uchapaji wa magazeti ya Habari Leo, Daily News na Spoti Leo, bila kuzunguka sana utaratibu...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO
Sisi Wananchi wa Mbezi Msumi Shina Namba 7 kuna Mjumbe anaitwa Michael Meshack Mnyeke, asilimia kubwa ya Wananchi wa huku hatumtaki kutokana na tabia yake ya kuonea watu na kutumia madaraka yake...
6 Reactions
44 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO
Nikiwa kama raia mwema na mtumishi wa Kanisa Katoliki lililopo Sinza nimeona sio vema nami nikae kimya wakati kila wiki naenda Kanisani kumuomba Mungu kisha niache familia iteseke wakati nina...
16 Reactions
96 Replies
6K Views
Anonymous
DOKEZO
Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma mazingira yake ni machafu na yanatoa hasira kwa sisi tunaotumia eneo hilo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kila siku. Licha ya kuwa wanakusanya fedha zetu kwa maana...
1 Reactions
4 Replies
887 Views
Anonymous
DOKEZO
Sijui shida ni nini. Huku south Africa, botwasana, Námibia huwezi oná bodaboda. Zimejaa zile toyota hiace Kila mahali. Sisi tuliondoa hiace mjini miaka hiyo. Sasa tumesajili bodaboda na bajaji...
0 Reactions
4 Replies
429 Views
Anonymous
DOKEZO
Huku mtaani kwetu kuna mlipuko wa magonjwa ya tumbo ambayo wataalamu wa mambo wanadai ni mlipuko wa Ugonjwa wa Kipindupindu. Nina ndugu zangu kadhaa hapa Mkoani Manyara, Wilaya ya Babati, Kata ya...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Anonymous
DOKEZO
Nilipokea taarifa ya kifo cha baba baada ya kupata ajali ya pikipiki Februari 2024. Nililazimika kuahirisha mitihani ya chuo iliyokuwa imeanza siku mbili kabla ya kupata taarifa ya kifo cha baba...
1 Reactions
1 Replies
325 Views
Back
Top Bottom