KERO Threads

Anonymous
KERO
Watumishi wa Afya akiwemo Daktari Mbobevu, Maafisa Wauguzi na Wateknolojia wa Maabara wanaidai Hospital ya Rufaa Peramiho iliyopo mkoani Ruvuma mishahara yao ya mwezi Septemba. Kama chombo cha...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Hizi taa za kuongoze magari zilizopo maeneo ya Kituo cha Magari cha Nata hapa Mwanza ni changamoto kubwa, hazifanyi kazi na zimekuwa zikisababisha foleni zisizo na sababu. Eneo hilo limekuwa...
0 Reactions
2 Replies
419 Views
Anonymous
KERO
Mfumo wa Ajira Portal wa Secretariat ya Ajira ambao unapatikana katika tovuti ya Public Service Recruitment Secretariat | PSRS una changamoto kadhaa ambazo zimekuwa kikwazo kwa sisi Watumiaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Anonymous
KERO
Sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma inapaswa kuweka alama za ufaulu (passmark) kabla ya mitihani kufanyika. Hiki kimekuwa kilio cha watanzania wengi sana . Sekretarieti ya ajira katika...
1 Reactions
1 Replies
390 Views
Ikiwa Leo ni siku ya nne, najaribu kuingia kwenye system ya "NACTVET" Kuomba "AVN NUMBER" lakini sifanikiwi licha ya kuwa nimejisajili, ila system haijanipa nafasi ya kutengeneza password, na hata...
0 Reactions
2 Replies
473 Views
Anonymous
KERO
Mimi ni mtumiaji wa huduma za internet za kulipia kwa mwezi,watoa huduma wengi wamekuwa si wakweli na mara nyingi hawatoi kile wanachokiahidi kwa wateja. Mimi ni mhanga wa halotel wiki nzima...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Mhe Rais TRA Arusha wameblock baadhi ya machines za EFD za wafanyabiashara hapa Arusha, sijajua ni Arusha tu au Tanzania zima. Halafu ili wafungue kuna rushwa kubwa wanadai yaani kwa ujumla hili...
4 Reactions
12 Replies
447 Views
Anonymous
KERO
Kwa siku kadhaa sasa kumekuwa na changamoto ya mtandao wa Halotel hasa internet na mawasiliano ya kawaida, lakini kibaya zaidi kampuni haitoi ushirikiano kwa wateja wake na ukiangalia kila mteja...
1 Reactions
0 Replies
187 Views
Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye...
7 Reactions
58 Replies
2K Views
Salaam Leo katika pita pita zangu ndio nikaona jiko yale sijui ma oven makubwa wanapikikia keki. Yaani hadi kichefu chefu, anayepika mchafu, jiko halijaoshwa kama mwezi hv, hapo anapopikia watu...
2 Reactions
15 Replies
509 Views
Hapana shaka afya za wakazi wa Dar es Salaam na Pwani, zipo hatarini. Hii ni kutokana na kuuziwa matunda yanayookotwa katika Dampo hili ambalo wenyeji wa maeneo husika ya Kata ya Vikindu, Mkuranga...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mimi ni mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa, Kata ya Mafisa Manispaaa ya Morogoro huku kwetu kuna Dampo ambalo halitunzwi vizuri na uchafu wake umekuwa ukisambaa maeneo tofauti hali ambayo inaweza...
0 Reactions
0 Replies
250 Views
Hostel ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam tawi la Ubungo kuna matatizo mengi yanawakumba wanafunzi. Moja kati ya matatizo hayo ni upatikanaji wa maji. Hostel ya Ubungo licha ya kukaa zaidi wanafunzi...
8 Reactions
85 Replies
3K Views
Anonymous
KERO
Airtel kuna kitu wanaendelea kuwafanyia Wateja wao kwenye hizi router zao za 5G siyo kizuri. Wanakwambia kuwa internet ni unlimited ila ukitumia kwa siku 20 internet wanaishusha speed, mfano mimi...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Nakuliza wewe mwanaJF maana maji yamekuwa dhahabu, kupatikana wa nadra hapa Tanzania hususan Dar es Salaam. Waione Wizara ya Maji USSR
4 Reactions
27 Replies
496 Views
Anonymous
KERO
Habari za wakati huu? Mimi ni mdau wa JamiiForums lakin pia ni mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), campus ya Dar Kuna kero inanisumbua sana kwa uongozi wa IFM, hadi sasa hivi chuo...
0 Reactions
0 Replies
205 Views
Alfajiri ya leo niliamka mapema sana nilikua na mdogo wangu anasafiro sasa nikampeleka Stendi kuu ya mabasi Tabora ili aweze kusafiri. Nilichoona sikuamini macho yangu, maana nimekanyaga Bahasha...
2 Reactions
7 Replies
706 Views
Anonymous
KERO
Natokea wilaya ya Chato kata ya Bwanga mkoa wa Geita. Kuna kitu kinaniuma sana kila mwaka MWENGE wa Uhuru ukikaribia kupita kuna kuwa na michango ambayo wanakuwa wanaombwa akina mama Wanaouza...
1 Reactions
5 Replies
205 Views
Nimetafakari sana hizi foleni za kuweka gas naona kama kuna hujuma za wauza mafuta, iweje mpaka sasa tuwe na vituo vitatu tu. Sio kwamba upatikanaji wa gas kwa wingi unaathiri uuzwaji wa mafuta!?
0 Reactions
1 Replies
205 Views
Anonymous
KERO
Sisi wakazi wa Chanika Taliani kuelekea PSSSF, barabara zetu zimekuwa mbovu sana. Mkandarasi alikuja na kuchakachua kupitisha grader kwa juu tu, ametimua vumbi na kukimbia badala ya kutengeneza...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Back
Top Bottom