KERO Threads

Chuo cha MUST kina vijana wahadhiri wengi wameishia degree ya kwanza wanafundisha mpaka mwaka wa nne uhandisi. Ni wasumbufu mno wanachosha. Ingependeza waishie kufundisha mwaka wa kwanza basi ...
1 Reactions
21 Replies
788 Views
Anonymous
KERO
Habari mimi ni mdau, changamoto yangu kubwa ni kuwa namba nyingi za simu za mashirika ya umma hazipatikani na zingine ukipiga zinakuwa hazipo... Pamoja na changamoto hiyo, bado mashirika...
0 Reactions
8 Replies
566 Views
Anonymous
KERO
Kuna changamoto katika shule za sekondari na msingi kuwatoza wanafunzi hela ya mitihanii kila mwezi na huku wanalipa hela kwa ajili ya masomo kwa siku za kawaida na wasipokuwa na hizo pesa...
0 Reactions
6 Replies
462 Views
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu. Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami. Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena...
11 Reactions
73 Replies
2K Views
Anonymous
KERO
Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa chuo kikuu MZUMBE, Ndaki Kuu (Morogoro). Nalalamikia namna ambavyo serikali ya wanafunzi, ambayo kwa mujibu wa sheria za Nchi - universities Act, Mzumbe Charter na...
1 Reactions
1 Replies
372 Views
Anonymous
KERO
Habari, wanaouza viungo vya chakula, mboga za majani, matunda na bidhaa nyinginezo maeneo ya barabarani hasa maeneo ya friends Conner Arusha na maeneo ya soko la Samunge upande wa chini mwa soko...
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Waziri Bashe kuna ujumbe wako huku kutoka kwa Vijana mliowatoa huko Dar eti mnakuja kuwafundisha kulima kupitia programu ya BBT. Yaani graduate ametoka IFM aache kutafuta kibarua cha kulipwa 150k...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Anonymous
KERO
Highbury Bar iliyopo Tabata Mawenzi imekuwa na kawaida ya kupiga muziki usiku kucha kwa sauti ya juu sana na hivyo kupelekea usumbufu kwa wakazi waishio jirani na bar hii. Pamoja na viongozi wa...
1 Reactions
11 Replies
651 Views
Anonymous (cdfe)
KERO
Tusaidiane kufikisha hili kwa mamlaka husika. UCHIMBAJI MCHANGA UNAVYOHARIBU BARABARA YA GOBA - MPAKANI KWENDA MADALE. Kutokea Goba - Mpakani , eneo maarufu kama "kwa ajali" ukiwa unaenda Madale...
1 Reactions
2 Replies
318 Views
Anonymous
KERO
Mimi ni mtumishi wa serikali. Kuna malalamiko yaliwahi pia kuandikwa hapa siku za nyuma lakini lile tatizo nadhani limezidi maradufu. Kampuni za mikopo mfano Bayport, Manoto Bank, ABC na zingine...
0 Reactions
5 Replies
327 Views
Anonymous
KERO
Habari, Natumaini n mzima wa afya , wananchi wa wilaya ya ilala kata ya vingunguti tuna kero ambayo inaenda miaka miwili na nusu sasa ya maji machafu ambayo yanakuja mitaani kutoka kwenye mabucha...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Wananchi wa Tambukareli, Kata ya Nsololo, Wilaya ya Uyui wanaiomba Serikali kutoa ufafanuzi juu ya malipo yao ya fidia kupisha ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR, wakidai awali tathimini ilifanyika...
0 Reactions
0 Replies
606 Views
Ukitaka kujua hujui piga namba za kituo cha huduma kwa wateja, itaanza vizuri tu karibu utumish kituo huduma kwa wateja, kwa msaada wanaanza bonyeza namba kama 1 au 2 au 3. Ukichagua namba ya...
2 Reactions
10 Replies
822 Views
Anonymous
KERO
Hii ni barabara ya Nguvu Kazi -Yongwe ambayo imekuwa ni kero kubwa kwa wakazi na watumiaji wa barabara hiyo. Pamoja na ahadi kemkem za viongozi mbalimbali tangu mwaka 2020 hakuna lililotekelezwa...
0 Reactions
1 Replies
253 Views
Kwa Sasa watumiaji wa simu za mkononi mkoani Kagera wamekumbana na tatizo la baadhi ya wafanyabiashara kupandisha bei ya vocha za simu za mikononi. Vocha ya 500 Sasa inauzwa 600 na vocha ya 1000...
0 Reactions
8 Replies
377 Views
Anonymous
KERO
Wahusika wa Barabara za Bugarika kwenda Mahina hadi Nyakato Temeke ni changamoto kubwa kwa wapita njia. Imefikia wakati vyombo vya moto vinasubiriana upande kwa upande jambo ambalo linapoteza...
0 Reactions
0 Replies
168 Views
Nashindwa kuelewa ni kwanini madampo yako pembezoni ya masoko isitoshe mabwana afya wapo na ni maeneo ya vyakula na huduma mbalimbali. Aidha unakuta fremu ipo karibu na dampo laki bado...
0 Reactions
3 Replies
249 Views
Anonymous
KERO
Matumizi ya Speaker ina mipaka yake. Ukizidisha sauti inakuwa sio adhana bali ni kero kwa wananchi, ambapo sio wote ni waislamu. Dini yetu inasisitiza sana kuchunga haki za majirani na kwenye...
2 Reactions
14 Replies
675 Views
Anonymous
KERO
Daladala tajwa hapo juu siku si nyingi zimelalamikiwa. Ukipanda daladala kutoka Makumbusho kwenda Chama au MagengenI wanakulazimisha ulipe 1100 maugomvi mengi yanatokea kila siku. Mfano...
1 Reactions
0 Replies
391 Views
Anonymous
KERO
Halmashauri ya Wilaya Moshi kuna changamoto ya watumishi kucheleweshwa kupewa barua za kuthibitishwa kazini bila sababu yoyote ile angali utaratibu ni mtumishi akitimiza mwaka mmoja anapaswa...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Back
Top Bottom