KERO Threads

Anonymous
KERO
Habari, mimi dukuduku langu ni kuhusu sekretarieti ya ajira, haifanyi fair kabisa. Mwanzo nafasi za kazi za halmashauri zilikuwa zinatangazwa na halmashauri wenyewe na kusimamiwa na wenyewe...
0 Reactions
0 Replies
290 Views
Tunafahamu juhudi za serikali katika kuhakikisha watoto wote wanaotoka katika familia duni wanapata elimu na ndio maana serikali ilisema marufuku michango ya aina yoyote katika shule za serikali...
8 Reactions
95 Replies
3K Views
Anonymous
KERO
Ili hali makazi ya wananchi yanazidi kupotea? Kaya nyingi kwa sasa zimekosa makazi. Kabla ya uchimbaji mchanga hakukuwa na madhara yoyote.
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Anonymous
KERO
Hii kero inahusu mzani wa magari makubwa ambao upo mtaa wa Changani- Temeke. Sina hakika kama hizi barabara za mitaani zina uwezo wa kuhimili uzito wa haya magari makubwa. Barabara ya mtaa wa...
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Anonymous
KERO
Mimi ni Mdau wa Elimu ninayeishi Goba Mpakani, Mtaa wa Tegeta A, Kata ya Goba, kuna changamoto ambayo imejitokeza ni miezi kadhaa sasa inaendelea kuwa kikwazo kwa Watoto wa Shule kupata haki yao...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Anonymous
KERO
Wasafiri wanaoingia au kuelekea mikoani wamekuwa wakiibiwa pesa zao. Unatozwa nauli ya luxury ila unapandishwa ordinary bus je hili limekaaje LATRA au huu wizi umebarikiwa?
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Anonymous
KERO
Harudishiwi kiwango cha fedha iliobaki. Naomba manispaa ya Tabora ilitizame hili maana Kuna Dalila za kuihujumu serikali.
0 Reactions
0 Replies
240 Views
Nilishtushwa na maelezo kutoka kwa vijana waokota makopo kuwa aina hizo za chupa hazina soko na hazitumiki tena viwandani kwa maana ya kuwa recycled. Tunashuhudia uchafuzi mkubwa wa mazingira...
0 Reactions
2 Replies
409 Views
Kuna gate moja la barabarani wanakaa tra liko pale Makuyuni, jamani pale kuna tatizo. Iwapo utapita na lori lako pale umebeba mafuta ya kula umetoka zako Dar jamaa wanasumbua utadhani unavuka...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Anonymous
KERO
Chuo cha SUA Campus ya Mazimbu kinatiririsha maji taka ya chooni kwenye mifereji ya barabara ni zaidi ya Mwaka sasa. Ukipita ukielekea maeneo ya Lukobe ni harufu tupu, je angekuwa mtu binafsi...
2 Reactions
7 Replies
403 Views
Anonymous (d47a)
KERO
Tarehe 10/05/2024 Polisi Tanzania walitoa tangazao la kazi kwa vijana wa kitanzania waliohitimu Shule ya Upili Mwaka 2018 na kuendelea. Deadline ya lile tangazo ilikuwa Mei 16, hivyo kwa sababu...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Anonymous
KERO
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika...
6 Reactions
44 Replies
5K Views
Anonymous
KERO
Nina wiki moja nimekuja Moshi, nimetembela baadhi ya sehemu za Wilaya ya Moshi Vijijini, Shabaha, Kata ya Mabogoni. Wananchi wa Shabaha wanateseka sana na barabara iwe kipindi cha mvua au...
0 Reactions
1 Replies
322 Views
Anonymous
KERO
Huu ndio muonekano wa Barabara ya kutoka Tabora Mjini kwenda kwenye Kata za Igalula, Goweko, Nsololo na Nyahua iliyo Wilaya jirani ya Sikonge. Barabara hii ndio kama kiungo kikubwa cha Huduma za...
0 Reactions
5 Replies
787 Views
Anonymous
KERO
Suala hili kweli ni kero kubwa, sana Kwa watumishi, inafifiza moyo wa kufanya kazi, chanzo Cha magonjwa ya zinaa na UKIMWI, msongo wa mawazo, ukosefu wa furaha nk. Usitawi wa familia unaangania...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Anonymous
KERO
Tatizo la maji bado ni kubwa sana. Nimeenda Kijiji cha Idubula Kilino Nzega bado wananchi wa vijiji hivi hawajawahi kupata maji safi na salama tangia uhuru. Sijui viongozi wa maeneo hayo...
0 Reactions
2 Replies
432 Views
Anonymous
KERO
Habari mimi ni Mdau wa Jamii Forums kutoka Arusha. Naomba utusaidie kupaza sauti dhidi ya watu wanaochafua mazingira na mabango haya kwan wao baada ya kumaliza mikutano yao huwa hawana utaratibu...
3 Reactions
10 Replies
933 Views
Anonymous
KERO
Wadau habarini, Mimi ni mwalimu katika moja ya vituo binafsi vya mitihani kwa private candidates (Mufindi DC). Tuna wanafunzi wa kike waliokuja kwa programu maalumu ya serikali (SEQUIP) ambao...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Wadau kuna tatizo kubwa la maji Ilazo Extension Dodoma. Inaelekea DUWASA wameshindwa kabisa kutoa huduma ya maji safi. Kwa mwezi mzima maji hayajatoka hata kidogo. Tunaiomba serikali kuhakikisha...
1 Reactions
0 Replies
257 Views
Uwanja wa CCM KIRUMBA unabeba Watu zaidi ya 35,000 lakini cha kushangaza kuna matundu manne 4 tu ya vyoo ambapo vyooni hamna maji. Sehemu ya kukojoa kwa Wanaume mifereji imejaa mikojo na harufu...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Back
Top Bottom