SoC02 Threads

  • Suggestion Suggestion
Ngoja nikwambie kitu kuhusu kijana wa leo wa kitanzania. Vijana hatulali, vijana tunawajibika kufikia malengo yetu; Kila kijana ana ile ndoto kubwa anayoitamani kuifikia, na katika harakati za...
0 Reactions
0 Replies
329 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Magonjwa yasiyo ambukiza ni wimbi ambalo limeendelea kupiga katika kingo ya jamii zetu. Pamoja na kujulikana visababishi vyake kama matumizi ya sigara pombe pamoja na matumizi yasiyo sahihi ya...
2 Reactions
3 Replies
379 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
ULIMWENGU WA SHAMSA Mama! Mama! Ilisikika sauti huku akiwa anatembea kuelekea chumbani kwa Mama yake. Inamaana Mama hajarudi mpaka sasa ivi tangu alivokwenda shamba asubuhi. Alianza kupata...
0 Reactions
0 Replies
416 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Taifa letu ni miongoni kati ya nchi zinazo toza kodi kwenye biashara, uwekezaji na ajira. ikiwa na maana ya kwamba ni mpango endelevu utakao saidia kutatua changamoto mbalimbali za...
2 Reactions
7 Replies
611 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
ELIMU YA KITANZANIA NI TIKETI YA KWENDA DUNIA MPYA Tanzania ni kati ya nchi hapa Africa ambazo zinapigana kukuza elimu yake ila bado ina changamoto nyingi. Wengi husema “Elimu ndio ufunguo wa...
2 Reactions
1 Replies
480 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Julai Mwaka 1992 Tanzania iliutangazia ulimwengu kuwa itaanza uchaguzi mkuu ambao utashirikisha vyama pinzani(mfumo wa vyama vingi) na mnamo mwaka 1995 ndipo uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama...
0 Reactions
0 Replies
400 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Habari wanaJF? Nami nimeona nishiriki katika jukwaa hili la soc kwa kutoa mawazo yangu kuhusiana na mada tajwa hapo juu. Kumekuwepo na tabia ya watu wengi sana katika familia, jamii, kazini...
0 Reactions
0 Replies
355 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Je, umewahi kupanda basi ukakaa kwenye siti ambayo ni maalumu kwaajili ya walemavu wakati wewe si mlemavu na wala haukuwa na ulazima wa kukaa kwenye siti hiyo? Au pengine umewahi kuona mtu asiye...
1 Reactions
5 Replies
748 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Elimu ya msingi ni eneo nyeti sana katika safari ya maisha ya mwanafunzi au mtu yeyote. Ni katika elimu ya msingi tu ndipo mtu anafundishwa kujua kusoma, kuandika na kuhesabu ambayo ni mambo...
0 Reactions
0 Replies
418 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utawala bora unajengwa kwa kuwa na katiba imara na madhubuti, inayoendana na wakati. Katiba yetu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, ni miongoni mwa katiba kongwe ambayo pasi na shaka yako mambo...
0 Reactions
0 Replies
446 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Ndio ndio nimeanza na gia kubwa kama Mandonga mzee wa mbwembwe ila ulingoni yeye ndio anafilimbwa. Hakuna Muungano wa hivyo duniani kama huu uliozaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ile ambayo...
4 Reactions
4 Replies
655 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Kwenye kutazama tazama huku na kule jicho la mwandishi limetua kweneye suala hili linaloikumba sana jamii yetu ya Tanzania. Na suala leyewe lililogusa jicho la mwandishi si jingine ni suala la...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Habarii, Leo ningependa tujadili kuhusu Elimu itolewayo nchini Tanzania je? Inakizi viwango vya Dunia kulingana na utandawazi unavokuwa kwa Kasi na pia inawaandaa wahitimu kujiajiri au laa...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Siasa za upatikanaji wa elimu nchini Tanzania Inaletwa kwenu nami Kelvin Nyagawa Je, kuna sababu za uchaguzi katika kuongeza upatikanaji wa elimu ya sekondari? Katika makala hii, tunauliza na...
2 Reactions
3 Replies
968 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Mara kadhaa tumekua tukitumia Tango kama moja ya matunda yetu. Lakini je umepata kujua kazi za Tango mwilini? Makala hii itaangazia faida kedekede za Tango katika mwili wa binadamu. Wengi wetu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Ikisiri Nitumie fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema na kunipa nafasi ya kuandika makala hii kuhusu elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum kwa makundi yao. Katika makala...
2 Reactions
3 Replies
9K Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Siku za hivi karibuni hasa kuanzia serikali ya awamu ya tano mpaka sasa, wananchi wameacha kuamini mifumo rasmi ya utoaji haki badala yake wanaamini viongozi wa kisiasa mfano wakuu wa wilaya...
0 Reactions
0 Replies
355 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Vijana wengi wame kua wakitoa malalamiko mengi kuhusu kukosa ajira hasa kwa wale walio hitimu elimu zao za juu. Ukweli wa jambo hili ni asilimia zaidi ya 95% vijana kukosa ajira hasa kwa inchi...
1 Reactions
0 Replies
442 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Ni Tanzania, mahala ambapo rasilimali zimezagaa lakini hakuna anaejua namna ya kuzifaidi. Watoto wanapelekwa darasani ili waweze kutwaa maarifa yanayoweza kuwasaidia kunufaika na rasilimali lakini...
1 Reactions
3 Replies
947 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Thamani ni Chakula, fedha ni namba huna uhakika nazo. Utajiri ni chakula, Walioamua kulima wakisema hawauzi chakula chao, sijui kama tutaweza kula hela. Chakula ndio utajiri kwa kuwa ni mfumo...
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Upvote 0
Back
Top Bottom