Wemefariki wakiwa wanaitetea Goma.
M23 walijaribu kuwafanyia mashambulizi kwa siku 2 ila hawakufanikiwa kusogea zaidi.
Hongera na rest in peace kwa mashujaa hawa
Kocha mkuu side mnyamwezi ameushauri uongozi wa klabu ya gongowazi kuhamia south huko atapambana na timu ngumu kama mamelodi ,kaizer chief,Gallaxy na nyinginezo.....hivyo akipangwa tena makundi anapita moja kwa moja maana ligi ya NBC ni dhaifu yanga haiwezi kucheza robo kama itabaki ligi ya...
Leo nimesikiliza nyimbo za Chameleon kama Jamila, Naumia, Shida za dunia na nyingine nyingi, nmegungua kua EastAfrica itaichukua muda mrefu Sana au isipate kabisa msanii aina ya josee, kutunga mashairi, Melody, ujumbe wa nyimbo zake ni kitu kinachoishi miaka na miaka.
Jamaa alikua anatunga...
Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).
Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..
~ SIPENDI SIASA ~
Introduction
As the digital landscape transforms global industries, Africa stands on the cusp of a technological revolution powered by Artificial Intelligence (AI). Drawing from the successful model of the mobile money revolution, AI presents an unprecedented opportunity to advance education...
The 47 Most Prominent Tribes in Africa
1. Maasai (Kenya🇰🇪, Tanzania🇹🇿): Migrated from the Nile Valley between the 15th and 18th centuries AD.
2. Zulu (South Africa🇿🇦): Rose under Shaka Zulu in the early 19th century, with Bantu roots dating back to 3000–2000 BC.
3. Hausa (Nigeria🇳🇬, Niger🇳🇪...
Je! Waislamu walikoloniza Afrika kwa njia ile ile ambayo nguvu za Magharibi zilipokoloniza Afrika, inamaanisha kweli? Uislamu ulienea Kaskazini mwa Afrika, Afrika Mashariki, na Afrika Magharibi kwa kiasi kikubwa kupitia biashara na mwingiliano, na hilo lilipelekea kuundwa kwa falme za wenyeji...
Kama unataka kufanya ziara ya kuangalia fursa za kibiashara, hasa kuangalia bidhaa za kuzileta nchini, ni nchi ipi inaweza ikawa sahihi zaidi kuitembelea? Muda wa ziara ni wiki mbili!
Nchi ipi kati ya hizi? DUBAI, CHINA, UTURUKI, au SOUTH AFRICA?
Kwa nini?
Ukweli ndio huo. Kama bara Africa ilishajifia.
Viongozi wengi wa Africa wameishia kuwa madalali wa mali za Africa kuzipeleka kwa wazungu. Ni nadra kukuta kiongozi wa Africa mzalendo anayewazia nchi yake kufika mbali. Kwenye makaratasi wana hotuba tamu kuliko asali. Kwenye utekelezaji ni...
We’re curious: How do you see AI transforming businesses in Africa? Whether it's smarter customer service, efficient farming, or better shopping experiences—we want to hear your vision!
Share your thoughts, photos, or videos showing how tech is shaping your world.
Maelezo ya Nyumba:
Nyumba kubwa sana na ina sehemu ya parking kubwa sana.
Nyumba ipo mbweni JKT.
Nyumba na eneo la wazi ukubwa wa SQM 2201.
Nyumba ina mortgage Mwanga Bank kiasi cha MiL 300 so tunaenda kufanya process zote bank ili uchukue Nyumba na hati zake.
Kuiona nyumba no nakupeleka na...
Salaam wanajukwaa
Nimekutana na hii taarifa kutoka mtandao wa X kwamba CHADEMA imeondolewa kwenye huu umoja wa DUA, Democrat Union Africa, na inaonekana taarifa pia imechapishwa na JamiiForums lakini kwenye account zake sijakutana nayo, naomba kufahamu uhalisia wa hii wakuu.
Salaam
Case study: Tanzania, Hizi ni coache tu, kagera 15, Mikese 18, hapo bado majeruhi watakao kuwa vilema wa maisha, Sina data kamili ila kuanzia mwezi wa 10 mpaka huu wa 12 inawezekana death toll kwenye ajari pekee inafika 50, hapo bado sijazungumzia pale songwe mlima mbalizi nasikia tena...
Kiukweli ndugu wa Afrika naandika bandiko hili sio kuwa mimi ni mnazi hapana ila inaniuma kusikia kuwa ndugu zetu wanaenda Israel kuhiji au Mecca siku gani utakuja kusikia kuna papa mweusi? hautakuja sikia milele
Hao wanaosema kuwa Afrika ni masikini ndio ila hawajui hadi sasa kuna nini...
Balance of trade - Thamani ya pesa ya bidhaa zinazonunuliwa kutoka Kenya ni kubwa kuliko bidhaa za Tanzania zinazouzwa Kenya, Kwa upeo mdogo wa kielimu watanzania wengi tumekomalia kwenye kuwauzia Mahindi lakini ukichunguza vizuri hapa kwetu kuna bidhaa nyingi sana za Kenya kuanzia kiwi...
Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka, Basi nawakaribisha SHALOOM AFRICA kwa ajili ya huduma zote za kiofisi. Tunapatikana Buguruni sheli na namba zetu zipo kwenye bango letu.
Karibuni sana.
Imagine a world where a farmer in Uganda or Tanzania predicts the perfect time to plant his crops, a student in Kenya gets a world-class education through her smartphone, and hospitals in Nigeria diagnose patients faster and more accurately, all thanks to artificial intelligence (AI). While it...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.