afya ya akili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mtoa Taarifa

    Oktoba 10: Siku ya Afya ya Akili Duniani - Je, sehemu unayofanyia kazi inaheshimu na kujali masuala ya Afya ya Akili ya Wafanyakazi?

    Siku ya Afya ya Akili Duniani huadhimishwa Oktoba 10 kila mwaka ikilenga kuongeza uelewa kuhusu masuala ya Afya ya Akili na kuchochea Watu kupata Msaada wa changamoto zinazotokana na Afya ya Akili. Kaulimbiu ya mwaka 2024 '#AfyayaAkiliKazini' imependekezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) ili...
  2. G

    Kuishi/kufanya kazi kwenye msongamano wa watu wengi huharibu afya ya akili

    Wafanyabiashara wa Kariakoo wengi ni nusu vichaa Wanaoishi maeneo ya uswahilini kama Manzese Mbagala, Vingunguti, Buguruni, Kwa Mtogole, n.k wengi zimefyatuka. Wanaoishi nyumba za kupanga familia 3+ kwenye nyumba moja wamechizika kabisa.
  3. Oscar Wissa

    Uchekeshaji na Afya ya akili

    Kadri tatizo la afya ya akili linavyoongezeka, na wachekeshaji nao wanaongezeka.
  4. B

    Exim Benki yaamsha Matumaini kwa Wagonjwa wa Afya ya Akili

    Benki ya Exim Tanzania imefanya tamasha linalojulikana kama ‘Exim Bima Festival 2024’ lenye lengo la kuchangia huduma za afya hususani kwa Wagonjwa wenye changamoto ya Afya ya Akili. Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amezindua Tamasha la Exim Bima Festival ikiwa...
  5. Daniel Adam Kidingija

    Afya ya Akili: Sikuwa hivi nilivyo

    Watu wengi mtu anapokosea kufanya jambo, tunalaumu. Wachache hujiuliza amekutwa na nini. Jambo tusilofahamu ni kwamba, kila moja achukuliwe kwa upekee alionao. Haina maana tumpongeze mtu anaevunja taratibu nzuri katika jamii zetu. Upekee hujengwa na sababu za kimazingira, na za kibaiolojia...
  6. Elisha Chuma

    Kujali kunaanza na wewe kujijali kwanza

    KUJIONA | KUJIPENDA | KUJIJALI Jambo lolote unalohisi haupewi ni kwa sababu hauna, ukiona mtu analalamika hapendwi ndani yake yeye ndio upendo hamna, mtu akisema anadharauliwa ndani yake dharau zimejaa, vivyo hivyo kwa kupoteza kipaumbele chako mwenyewe. Hii ni kwa sababu ukiwa na kitu ndani...
  7. Ikaria

    Ongezeko la visa vya watu kujitia kitanzi Kenya lazua mjadala kuhusu suala la afya ya akili

    Huku dunia ikidhiamisha siku ya hamasishisho dhidi ya kujitia kitanzi leo, takwimu kutoka kwa Idara ya takwimu nchini (KNBS) pamoja na Idara ya polisi zimeonesha kuwa takriban watu 1,576 walijitia kitanzi katika kipindi cha miaka 4 iliyopita. Shirika la kutetea haki za binadamu KNCHR limetoa...
  8. Elisha Chuma

    Ijali afya yako ya akili kama unavyojali afya yako ya mwili

    Afya ya akili haipimwi kwa vile tunavyofanya peke yake, ila ni pamoja na vile tunavyokataa kufanya moja ya nguvu kubwa ya kuwa na afya bora ya akili ni uwezo wa kusema hapana, kama kwako neno hapana ni gumu kulitoa hata kama unaona haiko sawa tambua ubora wa afya yako ya akili una shida kuna...
  9. Elisha Chuma

    Ubora wa afya yako ya akili

    UBORA WA AFYA AKO YA AKILI. Ipo haja kubwa ya kutoa elimu zaidi kuhusu maana ya afya ya akili na jinsi ya kujitambua iwapo uko na changamoto hii, watu wengi wanahesabu afya ya akili ni ukichaa ambapo imani hii inawafanya hata wanapokuwa hawako sawa wanaona ni kawaida. Lakini kwa uhalisia...
  10. Elisha Chuma

    Mapambano ya sirini

    MAPAMBANO YA SIRINI. Jambo la msingi sana kutambua kwenye haya maisha ni kwamba haijalishi unamuona mtu yuko vizuri ama amefanikiwa kwa kiasi gani tambua yuko na mapambano yake sirini, na mapambano ya sirini yanabaki ni siri ya mtu huenda usiyatambue kabisa kwa sababu mbele ya macho yako unaona...
  11. fakhbros

    Tabia maalumu kwa walioumizwa kihisia

    Watu walioumizwa kihisia mara nyingi huonyesha tabia maalum. Hapa kuna ishara 11 za kawaida: Mara nyingi hutafuta njia za kujishughulisha ili kuepuka mawazo yenye uchungu. Wakati fulani, wanaweza kupendelea kuwa peke yao badala ya kushirikiana na wengine, kwa kuwa hilo huwasaidia kupata...
  12. B

    EXIM BIMA FESTIVAL 2024: Burudani yenye Lengo la Kuboresha Huduma za Afya ya Akili

    Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano, Stanley Kafu (kati) kutoka Benki ya Exim Tanzania, akizungumza wakati wa kutangaza ujio wa tamasha la Exim Bima Festival 2024, likiwa na kaulimbiu ‘Amsha Matumaini’, ambalo litafanyika terehe 28 Septemba mwaka huu katika Viwanja vya Gymkhana jijini Dar es...
  13. DR HAYA LAND

    Unapoona picha kama hii huwa unawaza nini katika akili yako?

    Huwa natamani kukaa na vijana Kama hawa na kuwajenga KIAKILI na kuwarudisha Katika jamii ili waweze kuwa na tija katika familia zao na jamii kwa ujumla. Nawaza kuja kufanya project Kama hii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali Kuna wazazi wanaumia Kuna ndugu wanaumia I hope one day...
  14. Fundi manyumba

    Kwanini wanaume wenye akili wanapenda girls with nyash!

    Why smart boy with high IQ most of them like girl with Nyash...? Answers.... Solution According to simple manipulation Let say Brain = A Nyash = B But Brain phenotypically resemble with Nyash So Nyash ~~ Brain Mathematical Nyash = K Brain. (K is beuty costant) So A = KB Biologically...
  15. Kaka yake shetani

    Afya ya akili ni matizo ya syntax, error, bugs na update security and software brain

    Afya ya akili inaonekana kuwa tatzio ndio maana imekuwa tatizo kubwa duniani tena kwa nchi ambazo mfano Tanzania wakisingiziwa na CCM kuwa nchi yao ni wapole na wapenda amani. Wanaokumbuka Y2K basi teknolojia ilikuwa kama CCM mpaka kufanya wajinga wakawa wajinga. Tuje kwenye mada ambazo ni...
  16. Eli Cohen

    Wanawake ni wengi kuliko wanaume, ila idadi ya wanaume wenye matatizo ya akili ni maradufu zaidi ya ile ya wanawake

    Saikolojia? Kwamba wanaume wanatunza uchungu moyoni bila ya kushare na wengine kama wafanyavyo wanawake kuwa wepesi midomoni. Mihadarati? Kwamba wanaume ndio watumiaji wa kupindukia wa madawa ya kulevya na ulevi wa pombe wa kupindukia zaidi ya wafanyavyo wanawake. Uchawi? 1: Kwamba mwanaume...
  17. Teko Modise

    Kwa mikopo hii, Mwalimu huyu sidhani kama afya ya akili ipo sawa

    Mikopo juu ya mikopo, huyu mwalimu kazini anakuwaje na ufanisi? Cc; Mpwayungu Village
  18. jMali

    Waziri Gwajima, Wizara yako ifanye kampeni ya Afya ya Akili ili Watanzania wawe na uelewa na kuwalinda wazazi wetu

    Dkt. Gwajima D Wasalaam, Ni tatizo la kawaida kwa watu wazima kupoteza uwezo wa kiakili au kupoteza kumbukumbu kadiri umri unavyokwenda. Hata hivyo kwa baadhi ya Watanzania hili suala halijulikani sana. Kuna wenzetu huko wanakotoka labda hakuna wazee au labda wazee wao tatizo hili hawana, kwa...
  19. Nyanda Banka

    Kijana mmoja Kati ya vijana watano huripoti kuwa na Tatizo la akili

    🔹Kuwa kijana huja na Matukio ya kusisimua ambayo yana Changamoto maradufu. 🔹Akili ya kijana hukua Kulingana na namna anavyoshughulikia maisha yake ya kila siku. 🔹 Tafiti Zinaeleza kuwa 75% ya Matatizo ya akili huanzia katika umri wa ujana. Kijana mmoja Kati ya vijana watano huripoti kuwa na...
  20. ankol

    Jinsi mitandao ya kijamii inavyoongeza wagonjwa wa akili

    Leo tuachane na mambo ya kubeti na kamala nyinginezo za mtandaoni zinavyopoteza nguvu kazi kubwa ya taifa na kuifanya iwe tegemezi. Tuuangalie mtandao wa tiktok nao pia unachangia pakubwa kuongeza idadi ya vijana wanaopatwa ulemavu wa akili haswa dada zetu. Wadada wengi wanashindwa kufanya...
Back
Top Bottom