KUJIONA | KUJIPENDA | KUJIJALI
Jambo lolote unalohisi haupewi ni kwa sababu hauna, ukiona mtu analalamika hapendwi ndani yake yeye ndio upendo hamna, mtu akisema anadharauliwa ndani yake dharau zimejaa, vivyo hivyo kwa kupoteza kipaumbele chako mwenyewe.
Hii ni kwa sababu ukiwa na kitu ndani...