Wakuu natafuta sehemu yeyote ya kujitolea kufundisha hayo masomo, kama kuna shule inahitaji mwalimu nipo hapa kwasasa nipo Dar es Salaam
Soma Pia: Anahitajika Mwalimu wa Kujitolea kufundisha Shule ya English Medium
Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena.
Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza...
Sightsavers is looking for an expert in Eye Health to provide technical leadership across all eye health programmes and strengthen the global programme portfolio.
Salary: Local terms and conditions apply
Location: Malawi – Lilongwe, Tanzania – Dar es Salaam or Zambia – Lusaka
Contract: Two...
Habari
Hivi kuna kipi cha maana wanachofanya kama sio kupoteza wakati na fedha za walipa kadi.
Zamani watumishi walipangiwa vituo tena wakitokea vyuoni mojakwamoja.
Kinachowafanya wawashe AC, wavae tai wakae roundtable wakijifanya wanaakili nyingi ni kipi?
Alama anazopata mtunakiwa chuo vipi...
Job Vacancy: Internal Auditor (Repeated Announcement)
TURSACCOS LTD is pleased to announce to the general public that there is an opening for the position of Internal Auditor.
Maombi ya Nafasi ya Mkaguzi wa Ndani
TURIANI SAVING AND CREDIT COOPERATIVE SOCIETY
PRI-MRG-MVM-DC-2023-3822
P.O.BOX...
Geofields Tanzania Limited (GTL), is a multidisciplinary strategic service provider company for the exploration and mining industry Founded in 2008. Geofields is Tanzania’s leading exploration and mining service company, with an integrated and comprehensive service portfolio of drilling...
Founded in 2006, One Acre Fund supplies 1 million smallholder farmers with the agricultural services they need to make their farms vastly more productive. Our 8,000+ team is drawn from diverse backgrounds and professions.
With operations across six core countries in Africa, we make farmers...
KEY RESPONSIBILITIES
Increase business propositions that include deposits and assets to small and medium enterprises
Growth and maintenance of the current business banking portfolio
Reinforce Branch Sales Strategy.
Improve Customer satisfaction and Customer Retention
Achieve budgeted business...
We are seeking for a highly motivated and results-driven Sales and Marketing Officer to join our sales team.
POSITION OVERVIEW
As a Sales Representative, you will be responsible for identifying and pursuing new business opportunities, building and maintaining relationships with clients, and...
Grant Thornton is one of the world’s leading organizations of independent assurance, tax and advisory firm. We are made up of over 56,000 people in over 140 countries. We are looking for a dynamic, enthusiastic and qualified Senior Associates for our Tanzanian office to be part of a team in our...
REQUEST FOR TENDER
North Mara Gold Mine, a fully owned subsidiary of Twiga Minerals Corporation, which is ultimately owned by Barrick Gold Corporation and the Government of the United Republic of Tanzania requests the submission of Tenders from reputable, experienced, certified, and qualified...
Habar wakuu nina umri wa miaka 29 natafuta kazi yeyote ya halali kwa taaluma ninachet cha hotel kama housekeeper na waiter ambayo nitalipwa mshahara kuanzia 300,000 kwa mwezi.
Pia najua kuendesha gari, sijasomea.
Nipo DODOMA ila kokote naweza fanya kazi.
Kwa manual work nahitaji ambayo naweza...
S500 TV baada ya kuhangaikia sana kupata maudhui yanayovutia kituo chake sasa hivi imepata bingo kwa Mzee magoma. Ni kituo pekee kinachohangaika sana na Magoma kila siku siku hizi Wanapata rizki huko. Vituo uchwara. Ubaya ubwela wa nje ya uwanja. Wakumbuke kuwa akina Magoma wako wengi mitaa.ya...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo mafupi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE) Bi. Ndomba Doran aliyeongozana na Meneja wa Kanda ya Kati wa ATE, Bw. Leonard Mapha...
afisa
afisa mtendaji
afisa mtendaji mkuu
ajiraajira kwa vijana
akutana
chama
kikwete
mazungumzo
mikakati
mkuu
mtendaji mkuu
ridhiwani
ridhiwani kikwete
tanzania
vijana
waajiri
Hebu angalia hizi slide mbili za video zilizotengenezwa na akili mnemba ndani ya dakika chache tu.., fully rendered. Kwa sasa wasanii na maprodyuza wa muziki ndio wanaipata pata.., ila huko tuendako, hata wahandisi na wabunifu majengo lazima tutakwenda na maji.
Hata madaktari (Medical)...
Habari wana JF
July 2021 nilikuja humu kwa wana JF nikiwa natafuta kazi Click here for the reference. Nataka kushare na nyie wadau mambo niliyojifunza katika utafutaji wangu wa ajira, pengine kuna mtu itamsaidia hasa sisi tusiokuwa na connection.
Kuna post ya mdau hapa JF niliiona ilikuwa...
Solicitation No: 72062124R10009
Closing date and time for receipt of Offers: August 29, 2024
Point of Contact: Hussein Tuwa, e-mail at htuwa@usaid.gov
Position Title: USAID Supervisory Development Assistance Specialist/Deputy Program Office Director
Market Value: Tshs. 143,254,619 to Tshs...
@wizara ya Elimu Ofisi ya Rais - Tamisemi Sekretarieti ya Ajira Wizara ya Afya Tanzania 01.
Inamaana Serikali haina mfumu mzuri wa Elimu wa kuzalisha watu wanaohitajika katika ajira hadi wahangaike na usaili?02. Wanaowafanyia watu usaili wenyewe walipatikanaje?03. Kwa kada za afya inamaana...
Matokeo ya utafiti wa nguvu kazi iliyofanyika mwaka 2021, inaonesha kuwa kati ya vijana milioni 14.6 wenye uwezo wa kufanya kazi, vijana milioni 1.8 sawa na asilimia 12 hawana ajira.
Tatizo la ajira kwa vijana hasa wa kike lipo asilimia 16.7 ukilinganisha na asilimia 8.3 kwa upande wa vijana wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.