ajira

  1. M

    Natafuta kazi ya kujitolea mimi ni Mwalimu wa Biology na Geography

    Wakuu natafuta sehemu yeyote ya kujitolea kufundisha hayo masomo, kama kuna shule inahitaji mwalimu nipo hapa kwasasa nipo Dar es Salaam Soma Pia: Anahitajika Mwalimu wa Kujitolea kufundisha Shule ya English Medium
  2. S

    Natafuta Kazi ambayo hahitaji Elimu

    Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena. Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza...
  3. Jamii Opportunities

    Global Technical Lead: Eye Health (ECSA) at Sightsavers August, 2024

    Sightsavers is looking for an expert in Eye Health to provide technical leadership across all eye health programmes and strengthen the global programme portfolio. Salary: Local terms and conditions apply Location: Malawi – Lilongwe, Tanzania – Dar es Salaam or Zambia – Lusaka Contract: Two...
  4. Annie X6

    Hii inayoitwa Tume ya ajira PSRC ni uhuni na kupoteza wakati na fedha

    Habari Hivi kuna kipi cha maana wanachofanya kama sio kupoteza wakati na fedha za walipa kadi. Zamani watumishi walipangiwa vituo tena wakitokea vyuoni mojakwamoja. Kinachowafanya wawashe AC, wavae tai wakae roundtable wakijifanya wanaakili nyingi ni kipi? Alama anazopata mtunakiwa chuo vipi...
  5. Jamii Opportunities

    Internal Auditor (Mkaguzi Wa Ndani) at TURSACCOS LTD August, 2024

    Job Vacancy: Internal Auditor (Repeated Announcement) TURSACCOS LTD is pleased to announce to the general public that there is an opening for the position of Internal Auditor. Maombi ya Nafasi ya Mkaguzi wa Ndani TURIANI SAVING AND CREDIT COOPERATIVE SOCIETY PRI-MRG-MVM-DC-2023-3822 P.O.BOX...
  6. Jamii Opportunities

    Underground Shift Supervisor at Geofields Tanzania Limited August, 2024

    Geofields Tanzania Limited (GTL), is a multidisciplinary strategic service provider company for the exploration and mining industry Founded in 2008. Geofields is Tanzania’s leading exploration and mining service company, with an integrated and comprehensive service portfolio of drilling...
  7. Jamii Opportunities

    Senior Quality Engineer at One Acre Fund August, 2024

    Founded in 2006, One Acre Fund supplies 1 million smallholder farmers with the agricultural services they need to make their farms vastly more productive. Our 8,000+ team is drawn from diverse backgrounds and professions. With operations across six core countries in Africa, we make farmers...
  8. Jamii Opportunities

    Business Banker at KCB Bank August, 2024

    KEY RESPONSIBILITIES Increase business propositions that include deposits and assets to small and medium enterprises Growth and maintenance of the current business banking portfolio Reinforce Branch Sales Strategy. Improve Customer satisfaction and Customer Retention Achieve budgeted business...
  9. Jamii Opportunities

    Sales and Marketing Officer at Active Mama Products August, 2024

    We are seeking for a highly motivated and results-driven Sales and Marketing Officer to join our sales team. POSITION OVERVIEW As a Sales Representative, you will be responsible for identifying and pursuing new business opportunities, building and maintaining relationships with clients, and...
  10. Jamii Opportunities

    Senior Associates at Grant Thornton August, 2024

    Grant Thornton is one of the world’s leading organizations of independent assurance, tax and advisory firm. We are made up of over 56,000 people in over 140 countries. We are looking for a dynamic, enthusiastic and qualified Senior Associates for our Tanzanian office to be part of a team in our...
  11. Jamii Opportunities

    Request For Tender – Supply of Vacuum pump at Barrick August, 2024

    REQUEST FOR TENDER North Mara Gold Mine, a fully owned subsidiary of Twiga Minerals Corporation, which is ultimately owned by Barrick Gold Corporation and the Government of the United Republic of Tanzania requests the submission of Tenders from reputable, experienced, certified, and qualified...
  12. B

    Natafuta ajira yoyote ya halali

    Habar wakuu nina umri wa miaka 29 natafuta kazi yeyote ya halali kwa taaluma ninachet cha hotel kama housekeeper na waiter ambayo nitalipwa mshahara kuanzia 300,000 kwa mwezi. Pia najua kuendesha gari, sijasomea. Nipo DODOMA ila kokote naweza fanya kazi. Kwa manual work nahitaji ambayo naweza...
  13. kavulata

    Mzee Magoma ametoa ajira S500 TV

    S500 TV baada ya kuhangaikia sana kupata maudhui yanayovutia kituo chake sasa hivi imepata bingo kwa Mzee magoma. Ni kituo pekee kinachohangaika sana na Magoma kila siku siku hizi Wanapata rizki huko. Vituo uchwara. Ubaya ubwela wa nje ya uwanja. Wakumbuke kuwa akina Magoma wako wengi mitaa.ya...
  14. Pfizer

    Waziri Ridhiwani Kikwete afanya mazungumzo mafupi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE) Bi. Ndomba Doran

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo mafupi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE) Bi. Ndomba Doran aliyeongozana na Meneja wa Kanda ya Kati wa ATE, Bw. Leonard Mapha...
  15. FRANCIS DA DON

    Video clip: Akili mnemba zimefikia level za hatari sana, tukizubaa, binadamu wote tutapoteza ajira

    Hebu angalia hizi slide mbili za video zilizotengenezwa na akili mnemba ndani ya dakika chache tu.., fully rendered. Kwa sasa wasanii na maprodyuza wa muziki ndio wanaipata pata.., ila huko tuendako, hata wahandisi na wabunifu majengo lazima tutakwenda na maji. Hata madaktari (Medical)...
  16. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Habari wana JF July 2021 nilikuja humu kwa wana JF nikiwa natafuta kazi Click here for the reference. Nataka kushare na nyie wadau mambo niliyojifunza katika utafutaji wangu wa ajira, pengine kuna mtu itamsaidia hasa sisi tusiokuwa na connection. Kuna post ya mdau hapa JF niliiona ilikuwa...
  17. Jamii Opportunities

    USAID Supervisory Development Assistance/Deputy Program Office Director at USAID August, 2024

    Solicitation No: 72062124R10009 Closing date and time for receipt of Offers: August 29, 2024 Point of Contact: Hussein Tuwa, e-mail at htuwa@usaid.gov Position Title: USAID Supervisory Development Assistance Specialist/Deputy Program Office Director Market Value: Tshs. 143,254,619 to Tshs...
  18. Nyanda Banka

    Wasomi na vyuo haviaminiki ndomana Sasa hivi ajira mpaka interview (Usajili)

    @wizara ya Elimu Ofisi ya Rais - Tamisemi Sekretarieti ya Ajira Wizara ya Afya Tanzania 01. Inamaana Serikali haina mfumu mzuri wa Elimu wa kuzalisha watu wanaohitajika katika ajira hadi wahangaike na usaili?02. Wanaowafanyia watu usaili wenyewe walipatikanaje?03. Kwa kada za afya inamaana...
  19. Ojuolegbha

    Ajira zilizotolewa kwa vijana 2023/24 = 607475

    Ajira zilizotolewa kwa vijana 2023/24 = 607475
  20. Mkalukungone mwamba

    Waziri Ridhiwani Kikwete: Vijana milioni 1.8 sawa na asilimia 12 hawana ajira

    Matokeo ya utafiti wa nguvu kazi iliyofanyika mwaka 2021, inaonesha kuwa kati ya vijana milioni 14.6 wenye uwezo wa kufanya kazi, vijana milioni 1.8 sawa na asilimia 12 hawana ajira. Tatizo la ajira kwa vijana hasa wa kike lipo asilimia 16.7 ukilinganisha na asilimia 8.3 kwa upande wa vijana wa...
Back
Top Bottom