Habari za mchana viongozi.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina ujuzi katika sales and marketing na customer care service na data entry na stock controller namba yangu ya simu 0654918030.
anahitajika
cashier
certificate
chakula
cheti
clearing
elimu
fundi
habari
hii
jamhuri
jina
kazi
kulipwa
mgahawa
mimi
mpishi
mtu
natafuta
natafuta kazi
ndugu
ndugu zangu
siku
tanzania
unatafuta
uzoefu
vitafunwa
wakuu
waungwana
welding
Habari za asubuhi wakuu,
Planet Open School inahitaji mwalimu wa kiswahili na History mwenye uzoefu wa kufundisha kidato cha kwanza hadi cha sita.
Planet Open school inapatikana Mwanza Mjini barabara ya Balewa.
Kwa mawasiliano: 0737-988897/ 0752-137196
Kwa muda alioichezea timu ya Simba na mapitio aliyoyapitia na kuendelea kupata namba katika kikosi cha timu ya Simba mpaka leo; ni wazi kabisa baada ya kupoteza mchezo jumapili iliyopita, Mkude ni mchezaji muhimu mnoo kama atatumika vizuri katika kuhakikisha wenzake wanasahau yaliyopita na kwa...
Kazi ya kuweka urembo kwenye nguzo 6, pamoja na mkanda wa slab wenye mzunguko wa mita 50.
Hela iko mfuko wa shati, laki 4; haiongezeki ila inaweza kupungua.
Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Habari za humu ndani wakuu, kama heading inavyojieleza mimi nipo morogoro mjini ninayo cherehani ila nina majukumu mengine yanayonibana,natafuta mtu aliye serious na kazi na anajua kushona vizuri nimkabidhi cherehani kwa makubaliano maalumu tuweke kijiwe tupige kazi.
mwenye uhitaji huo nicheki...
Eneo la kazi Dar, Tegeta
Mshahara elfu 60
Nyumba ya watu wawili
Hakuna mtoto.
Kwa mawasiliano au kama kuna mtu anaye nicheki pm tafadhali
UPDATE:
Shukrani kuna mdau humu amenisaidia amepatikana mdada tayari. Tubarikiwe sote!
Dereva mwenye uzoefu na mchapakazi anahitajika wa kupewa gari kwa mkataba awe na leseni class c na account za uber au bolt kwa mawasiliano zaidi piga 0783230603
Dereva mwenye uzoefu na mchapakazi anahitajika wa kupewa gari kwa mkataba awe na leseni class c na account za uber au bolt kwa mawasiliano zaidi piga 0783230603
Anahitajika msichana wa kazi kutoka sehemu yoyote ndani ya Tanzania.
SIFA: umri kati ya miaka 18- 25
Mshahara: 70,000 (elimu ya darasa la saba kushuka chini) au 100,000 (elimu ya o'level)
Eneo la kazi: Tanga mjini
Awe tayari kuhama mkoa ikiwa muajiri atahamia mkoa mwengine.
Malazi na...
Natafuta kijana aliye tayari kufanya kazi ya ufundi , Elimu kuanzia kidato cha nne, tutamfundisha namna ya kufanya kazi vizuri, awe mkazi wa Dar maeneo ya karibu na Kinondoni Studio, umri kuanzia miaka 18-24.
Awe mchapakazi , anayejituma, anayependa kujifunza, uelewa wa haraka , mwaminifu na...
Habari ya wakati huu,
Ninahitaji mwanamke ALIYE TAYARI KUISHI MAISHA YA WAWILI kwa sasa. Naposema kwa sasa namaanisha kwa muda mfupi tuanze kuishi pamoja.
0623 935 605
Sina mambo mengi isipokuwa vigezo vichache hapa chini:-
a. Umri 23-35
b. Uwe huru na Usiwe na ndoa inayoendelea
c. UKWELI NA...
Ofisi ipo Mbezi Goba.
AWE MA SIFA ZIFUATAZO
1. Awe anaweza kutype kwa spidi.
2. Awe ana uwezo wa kutumia Inteernet
3. Awe ana uwezo wa kudesign.
4. Awe anaweza kuprint.
5. Awe anaweza kutumia mashine ya photocopy.
6. Awe anaweza kuscan.
7. Awe anaweza kutumia software ya Adobe.
8. Awe anaweza...
Habari za muda huu matumaini yangu nyote ni wazima wa afya,
SIFA ZA MWANAUME LIJALI NA MUOAJI
KAZI : Mini ni kijana Mchapakazi nimejiajili kwanye sekta Binafsi
UMRI : 30
MAKAZI : Dar es salaam
SIFA ZA MCHUMBA / MKE MTALAJIWA
Habari! Mwalimu /mlezi anahitajika
Shule: Tiger Day Care
Wapi: Dar- kinondoni-kawe
Sifa: Awe amesomea uwalimu/ au malezi , awe anajua kingereza vizuri na nyimbo nyingi za watoto, upendo kwa watoto.
Jinsia: Awe wa kiume au kike ,umri awe kijana
Sharti: Awe anaongea kingereza muda wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.