anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Natafuta kazi sales and marketing, customer service au data entry.

    Habari za mchana viongozi. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina ujuzi katika sales and marketing na customer care service na data entry na stock controller namba yangu ya simu 0654918030.
  2. Planet Open School

    Mwalimu wa History na Kiswahili mwenye uzoefu anahitajika Mwanza

    Habari za asubuhi wakuu, Planet Open School inahitaji mwalimu wa kiswahili na History mwenye uzoefu wa kufundisha kidato cha kwanza hadi cha sita. Planet Open school inapatikana Mwanza Mjini barabara ya Balewa. Kwa mawasiliano: 0737-988897/ 0752-137196
  3. the hunterer

    Anahitajika mtu wa kuuza duka la dawa muhimu

    Medical dispenser ama nurse mwenye ADDO anahitajika kuuza duka la dawa maeneo ya Lushoto, Tanga. Inbox kwa maelezo zaidi.
  4. Ibrahim daud

    Mwalimu wa nursery anahitajika

    👉
  5. B

    Jonas Mkude anahitajika mnoo kipindi hiki

    Kwa muda alioichezea timu ya Simba na mapitio aliyoyapitia na kuendelea kupata namba katika kikosi cha timu ya Simba mpaka leo; ni wazi kabisa baada ya kupoteza mchezo jumapili iliyopita, Mkude ni mchezaji muhimu mnoo kama atatumika vizuri katika kuhakikisha wenzake wanasahau yaliyopita na kwa...
  6. Equation x

    Fundi urembo wa nguzo anahitajika kwa bei nafuu

    Kazi ya kuweka urembo kwenye nguzo 6, pamoja na mkanda wa slab wenye mzunguko wa mita 50. Hela iko mfuko wa shati, laki 4; haiongezeki ila inaweza kupungua.
  7. Ednatha

    Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

    Habari! Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo, 1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50. 2. Awe mkristo 3. Asiwe na ndoa 4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato Mengine tutajuzana PM, karibu.
  8. Mwendece

    Fundi wa kushona nguo Morogoro Mjini anahitajika

    Habari za humu ndani wakuu, kama heading inavyojieleza mimi nipo morogoro mjini ninayo cherehani ila nina majukumu mengine yanayonibana,natafuta mtu aliye serious na kazi na anajua kushona vizuri nimkabidhi cherehani kwa makubaliano maalumu tuweke kijiwe tupige kazi. mwenye uhitaji huo nicheki...
  9. R

    Bado dada wa kazi anahitajika

    Eneo la kazi Dar, Tegeta Mshahara elfu 60 Nyumba ya watu wawili Hakuna mtoto. Kwa mawasiliano au kama kuna mtu anaye nicheki pm tafadhali UPDATE: Shukrani kuna mdau humu amenisaidia amepatikana mdada tayari. Tubarikiwe sote!
  10. Johnyyy

    Anahitajika dereva wa mkataba jijini Arusha

    Dereva mwenye uzoefu na mchapakazi anahitajika wa kupewa gari kwa mkataba awe na leseni class c na account za uber au bolt kwa mawasiliano zaidi piga 0783230603
  11. Johnyyy

    Anahitajika dereva wa mkataba Arusha

    Dereva mwenye uzoefu na mchapakazi anahitajika wa kupewa gari kwa mkataba awe na leseni class c na account za uber au bolt kwa mawasiliano zaidi piga 0783230603
  12. Mesut90

    Anahitajika mfanyakazi wa kazi za nyumbani

    Anahitajika msichana wa kazi kutoka sehemu yoyote ndani ya Tanzania. SIFA: umri kati ya miaka 18- 25 Mshahara: 70,000 (elimu ya darasa la saba kushuka chini) au 100,000 (elimu ya o'level) Eneo la kazi: Tanga mjini Awe tayari kuhama mkoa ikiwa muajiri atahamia mkoa mwengine. Malazi na...
  13. N

    Nafasi ya kazi anahitajika Fundi (Security Services Technician Trainee)

    Natafuta kijana aliye tayari kufanya kazi ya ufundi , Elimu kuanzia kidato cha nne, tutamfundisha namna ya kufanya kazi vizuri, awe mkazi wa Dar maeneo ya karibu na Kinondoni Studio, umri kuanzia miaka 18-24. Awe mchapakazi , anayejituma, anayependa kujifunza, uelewa wa haraka , mwaminifu na...
  14. Nyuki Mdogo

    Mwanza: Dada wa kazi anahitajika

    Mahali pa kazi ni nyasaka karibu na soko jipya. Tuwasiliane kwa miongozo ya kazi
  15. K

    Mke anahitajika 'Uhakika 100%'

    Habari ya wakati huu, Ninahitaji mwanamke ALIYE TAYARI KUISHI MAISHA YA WAWILI kwa sasa. Naposema kwa sasa namaanisha kwa muda mfupi tuanze kuishi pamoja. 0623 935 605 Sina mambo mengi isipokuwa vigezo vichache hapa chini:- a. Umri 23-35 b. Uwe huru na Usiwe na ndoa inayoendelea c. UKWELI NA...
  16. Ferruccio Lamborghini

    Mdada wa Stationery anahitajika haraka

    Ofisi ipo Mbezi Goba. AWE MA SIFA ZIFUATAZO 1. Awe anaweza kutype kwa spidi. 2. Awe ana uwezo wa kutumia Inteernet 3. Awe ana uwezo wa kudesign. 4. Awe anaweza kuprint. 5. Awe anaweza kutumia mashine ya photocopy. 6. Awe anaweza kuscan. 7. Awe anaweza kutumia software ya Adobe. 8. Awe anaweza...
  17. X

    Mchumba wa ( kike ) anahitajika ndoa ni haraka iwezekanavyo

    Habari za muda huu matumaini yangu nyote ni wazima wa afya, SIFA ZA MWANAUME LIJALI NA MUOAJI KAZI : Mini ni kijana Mchapakazi nimejiajili kwanye sekta Binafsi UMRI : 30 MAKAZI : Dar es salaam SIFA ZA MCHUMBA / MKE MTALAJIWA
  18. T

    Mwalimu/Mlezi wa Day Care center anahitajika

    Habari! Mwalimu /mlezi anahitajika Shule: Tiger Day Care Wapi: Dar- kinondoni-kawe Sifa: Awe amesomea uwalimu/ au malezi , awe anajua kingereza vizuri na nyimbo nyingi za watoto, upendo kwa watoto. Jinsia: Awe wa kiume au kike ,umri awe kijana Sharti: Awe anaongea kingereza muda wote...
  19. B

    Rafiki wa Kike anahitajika

    Rafiki wa kike anahitajika umri kuanzia miaka 18 mpaka 50 Awepo maeneo ya Dar Dini yoyote kabila lolote Karibuni pm
  20. Frumence M Kyauke

    Mfanyakazi wa kike anahitajika

    Mfanyakazi wa kike anahitajika Mawasiliano: 0684054688
Back
Top Bottom