anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Frumence M Kyauke

    Anahitajika binti wa kazi mwadilifu wa kulea watoto wawili

    Anahitajika binti mwadilifu wa kulea watoto wawili pale mama yao anapokwenda kazini. Sehemu ya kazi: Kimara Stop Over, Dar es Salaam Idadi ya watoto: Wawili Mawasiliano ya mama wa watoto: +255689200948
  2. kiwatengu

    Anahitajika Nesi aliyesajiliwa Mshahara ni Zaidi ya 4,000,000/= kwa Mwezi.

    Ubalozi wa Marekani, Tanzania wanahitaji Nesi. Aliyessajiliwa, Mwenye uzoefu walau Miaka 2. Kazi nzuri. Kutuma Maombi fungua link hapa chini... https://erajobs.state.gov/dos-era/vacancy/viewVacancyDetail.hms?_ref=n0dhqwvrpt0&returnToSearch=true&jnum=30260&orgId=22
  3. Extrovert

    Mtu anayejua accounting packages anahitajika

    Natafta mtu ambaye anazifahamu accounting packages vizuri na mwenye uzoefu na kuzitumia especially tally naomba tuwasiliane kuna mchongo.
  4. Dr. Zaganza

    Anahitajika kijana anayeweza kufanya mauzo Door to door na delivery

    Habari zenu. Kijana mwenye nishhati (energy) ya kufanya mauzo vituo maalum tutavyompangia na kudeliver kwa wateja wetu waliopo kwa bidhaa asilia za ngozi anahitajika. Piga 0713 039 875 (Awe Dar au Kibaha mjini). Muhimu: sipo JF muda mwingi,tumia simu
  5. NGIMBER

    Mpenzi anahitajika ikipendeza tujenge familia.

    Jinsia Me: Miaka yangu 32, Elimu degree ya kwanza.Ninaishi Dar Kigamboni dini mkristo. Ajira binafsi Ninahitaji mpenzi/mchumba awe mkristo (muhimu sana) Miaka kuanzia 26-30 na mwenye shughuli ya kufanya( for a living) Sio mweusi sana na asijichubue Mwenye sifa karibu Pm tuyajenge.
  6. Mung Chris

    Anahitajika Afisa Mikopo elimu iwe diploma au degree, intern pia katika fani ya microfinance anahitajika mmoja au wawili

    Anahitajika Afisa Mikopo elimu iwe diploma au degree, intern pia katika fani ya microfinance anahitajika mmoja au wawili, anaye hitaji kazi hii natakiwa awe anaishi Meru au mpakani mwa Arusha na Moshi au Wilaya ya Hai maeneo ya Bomangombe. Intern anahitajika mmoja au wawili katika fani hiyo...
  7. BLUE BALAA

    Mwalimu wa EGM anahitajika

    Natafuta mwalimu mzuri wa EGM kwa ajili ya kufundisha tuition vijana wa form six kuanzia tarehe 7/12/2021 – 23/12/2021. Idadi ya vijana ni sita na wote wapo Arusha. Kwa ambae yuko interested njoo inbox.
  8. M

    MUHASIBU ANAHITAJIKA

    Habari Jukwaani. Tunatafuta Muhasibu mwenye level ya Degree kwa ajili ya kazi za Kihasibu. Maomba yanaweza kutumwa mwenye email csmsola@gmail.com au Kwa whatsup number 0713664912. Hakikisha umeambatanisha CV na Vyeti. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 15 November. Karibuni
  9. Lagrangian

    Nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba

    Wasaalm wanabodi Kama kichwa cha habari kilivyo, Kijana wenu usiku wa leo nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba. Nomba msaada mtaalam wa kuweza kufanikisha vikarudi au mwizi kupatikana. Niko Morogoro mjini. Mnakaribishwa PM Picha Update* November 8, 2021 Wakuu nashkuru sana kwa...
  10. Planet Open School

    Mwalimu wa Accountancy na Commerce anahitajika Mwanza

    Shule hulia ya Planet inahitaji mwalimu wa kufundisha masomo ya Accountancy na Commerce kwa level ya O-level na A-level. Plaet inapatikana jijini Mwanza karibu na Nyanza shule ya msingi barabara ya Balewa mtaa wa Nera. Kwa mawasiliano zaidi: 0737-988 897 au e-mail: planetopenschool2@gmail.com...
  11. Mtumaini Mungu

    AJIRA: Anahitajika Muuzaji wa DLDM

    Tumshukuru Mungu, Hakuna kinacho shindikana mbele zake. Anahitajika Muuzaji wa DLDM, sifa zifuatazo. 1.Awe binti/Mwanamke 2.Umri chini ya miaka 23. 3.Awe amehudhuria mafunzo ya ADDO na awe cheti. 4.Awe tayari kufanya kazi mazingira ya vijijini. Bonus. 1.Sehemu ya Kulala 2.Chakula cha Mchana...
  12. Lububi

    Mteja wa vanilla anahitajika

    Salaam. Mdau mjuvi na mpenzi wa mafanikio ya binadam mwenzie anisaidie kupata mteja wa vanilla wa uhakika hasa wa nje kuanzia kg 100. Na haizid kg 150.
  13. Dr. Zaganza

    Partner Anahitajika Katika Mradi Wa Mafunzo Ya Sabuni Papo Kwa Papo

    Asilia Natural Cosmetics tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 5 katika kuendesha mafunzo kwa vitendo ya bidhaa za nyumbani. Na sasa tumekuja na formula rahisi ya kuwezesha uzalishaji wa sabuni ya kipande papo kwa papo bila kusubiri masaa 24 wala kutumia jiko, wala kutumia mashine. Hivyo, tunahitaji...
  14. Dr. Zaganza

    Anahitajika Secretary Wa kupiga na kupokea simu

    Habari wakuu Nahitaji secretary, jinsia yoyote ,umri wowote, mwenye uzoefu wa kupigia simu wateja, kupanga mikutano, kukumbusha madeni n.k. Anaweza fanyia kazi online, ila akiwa Dar au Kibaha ni bora zaidi. Piga 0713-039 875
  15. Planet Open School

    Mwalimu wa Biology na Chemistry anahitajika Mwanza

    Planet Open School ni taasisi inayochojihusisha na utoaji wa elimu kwa wale wanaojiendeleza kielimu. Taasisi hii inahitaji mwalimu wa biology na chemistry mwenye uwezo wa kufundisha kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita. Mwalimu atakuwa na vipindi vitatu kila week kwa kila somo. Baada ya...
  16. Equation x

    Anahitajika mtengenezaji wa video za katuni (animation)

    Habari wakuu, Anahitajika kijana mchapakazi mwenye ujuzi wakutengeneza video za katuni (animation). Kama una hicho kipaji,tengeneza 'clip' yenye maudhui yafuatayo na utume kwenye email: businessideas2f@gmail.com ,mwisho wa kutuma ni tarehe 30/09/2021; malipo kwa mwezi yataanzia 250,000/=...
  17. A

    Indices trading partner / investor anahitajika

    Habarini Wana jukwaa Nahitaji investor serious awe na uelewa hata kidogo wa masuala ya online volatility index trading. Kiwango cha chini cha investor huyu kianzie Million 5. Nafanyia kazi mahala alipo yeye yaan nakuwa naye muda wote . Kiwango Cha chini Cha faida katika uwekezaji wake ni 30%...
  18. Black Bolt

    PRE-FORM ONE: Mkopo au muwekezaji anahitajika kufanikisha Pre-Form One Programu

    Habari Tumefanikiwa kufungua kituo cha Tuition maeneo ya Charambe Majimatitu, mwezi ujao tunafanya programu ya Pre-Form One kwa wanaomaliza darasa la saba. Tumefanikiwa kuweka matangazo ya kitambaa na karatasi. Cost zilizobaki A) kwenda mashuleni (shule 5). B) Vipeperushi & T-shirt C)...
  19. NDORANGA

    Kijana wa dukani (duka kubwa la jumla jumla) anahitajika

    Habarini wakuu, Nilikuwa nahitaji kijana wa kukaa DUKANI (uuzaji) - Ni duka la jumla lipo maeneo ya Gongo la Mboto VIGEZO Awe anajua kusoma, kuandika na kuhesabu (kuanzia kidato cha nne na kuendelea) Jinsia yeyote Awe mkazi wa Dar-es-Salaam Awe na uzoefu wa kazi za dukani Awe mtiifu na...
Back
Top Bottom