anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The bump

    Mdada wa kuuza duka na usafi anahitajika Kibamba Chama

    Majukumu yako Kuuza bidhaa dukani Usafi wa ofisi wakati wote Kuendelea na Mpesa na Tigo Pesa Mshahara 200,000 kwa mwezi Ofisi itatoa Mlo wa mchana Ofisi itatoa malazi (sehemu ya kuishi) kwa anaetokea Mkoani Wakati wote atakapokuwa mfanyakazi. ELIMU Uwe umefika Chuo chochote Usikie na kuelewa...
  2. Dr. Zaganza

    Business Partner Anahitajika Katika Upanuzi wa uzalishaji Sabuni za ngozi na Mafuta Ya Nywele

    NATURAL SKIN SOLUTION IMANI YETU Tunaamini kazi kubwa ya msimamizi wa biashara (CEO) ni kuunganisha sera, mipango , rasilimali pamoja na miundombinu kuhakikisha biashara inapata faida kubwa kwa kadri inavyowezekana Katika kufikia lengo hili , CEO atajikita kufanya maamuzi ya aina mbili; Moja...
  3. Supu ya kokoto

    Mwalimu wa Tuisheni anahitajika Mkuyuni Mwanza

    Mwalimu wa Tuisheni masomo ya sekondari anahitajika maeneo ya Mkuyuni, Mwanza. Pm kwa yeyote anayefahamu au kuwa na Tuisheni center maeneo ya Mkuyuni.
  4. BRUNOPACINO

    Mfanyakazi anahitajika kwa kazi ya games ps4, ps3, na pc

    KAZI YA KUWEKA GAMES KWENYE PC, PS3 NA PS4 🚨 MFANYAKAZI MWANAUME (MALE ONLY) ANAHITAJIKA AWE NAVIGEZO VIFUATAVYO: 1. Awe Anaishi maeneo ya riverside, mawasiliano, sinza, mwenge au ubungo , 2. Awe na ufahamu wa kuweka game na kutengeneza mashine za ps4, ps3, na PC 3. CV yenye wadhamini halali...
  5. moto nkali

    Fundi plaster anahitajika Haraka-Site Bunju Dar es salaam

    Asante
  6. Intelligent businessman

    Dereva wa bajaji na pikipiki ya mkataba anahitajika

    Habari wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji. Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na hivyo nimeamua kuzitoa bajaji na bodaboda kwa kijana ataye weza kuendana na taratibu na sheria zetu...
  7. K

    Anahitajika Mpishi, Mshahara Milioni 1.-Kwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania

    View Vacancy - Chef (08/23 DAR) The British Government is an inclusive and diversity-friendly employer. We value difference, promote equality and challenge discrimination, enhancing our organisational capability. We welcome and encourage applications from people of all backgrounds. We do not...
  8. kabugira

    Anahitajika fundi wa kujengea mtungi wa gesi nje ya nyumba

    Anahitajika fundi wa kujengea mtungi wa gas nje ya nyumba kama inavyoonyesha hapa kwenye video. Mimi nipo Pugu
  9. germanium

    Mke/Mchumba anahitajika

    Natafuta mke/mchumba; 1. Awe na miaka 25-36. 2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD). 3. Awe kajiajiri au muajiriwa. 4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini. 5. Awe mtu mwema na open minded. 6. Asiwe mwenyeji wa Singida,Manyara. Mimi: 1. Nina degree ya Engineering...
  10. mama D

    Mwekezaji kwenye uchimbaji wa dhahabu anahitajika

    Habari ya muda huu GreatThinkers Hili ni shamba la dhahabu lenye zaidi ya heka 35. Mwenye eneo ameshapata nyaraka zote zinazotakiwa toka wizara husika na upande wa geologist report - anayo ambayo aliipata toka kwa local company. Heka 5 tayari zimeshatengwa kwaajili ya uchimbaji (binafsi) na...
  11. Kurunzi

    Sekretari anahitajika

    Tangazo la Nafasi ya Kazi Anahitajika Secretary Mwenye ujuzi wa miaka isiyopungua miaka 3 kazini, Awe amesoma kwenye vyuo vinavyotambulika hapa Tanzania au nje. Umri usiopungua miaka 35 na usiozid miaka 50 Eneo la kazi: Bagamoyo Mshahara ni maelewano Tuma CV yako kupitia sajocbc@gmail.com...
  12. Kurunzi

    Sekretari anahitajika

    Tangazo la Nafasi ya Kazi Anahitajika Secretary Mwenye ujuzi wa miaka isiyopungua miaka 3 kazini, Awe amesoma kwenye vyuo vinavyotambulika hapa Tanzania au nje. Umri usiopungua miaka 35 na usiozid miaka 50 Eneo la kazi: Bagamoyo Mshahara ni maelewano Tuma CV yako kupitia sajocbc@gmail.com...
  13. Mung Chris

    Mdada wa kiarabu, kizungu au shombe anahitajika haraka sana

    Wana JF Nina rafiki yangu ni mchanganyiko wa kihindi na mwafrka yupo Dar ameajiriwa na kampuni flan kubwa sana ameniomba nimsaidie kupata mke wa kiarabu au mwenye asili ya kiarabu au kizungu au mzungu ili aoe. Yeye umri wake 46, anao watoto 2. Wataongea wafahamiane wakikubaliana tabia basi...
  14. Dr Matola PhD

    Supplier wa mifuko (viroba) ya kilo 25 na kilo 50 wa jumla jumla anahitajika

    Mambo yasiwe mengi, Nahitaji supplier mwenye mfuko ya kilo 25 na kilo 50 kwa bei ya jumla alete quotation yake na contact au physical address tufanye biashara. Karibuni.
  15. M

    Secretary Anahitajika

    Sifa za Muombaji: Awe na elimu angalau ya Kidato cha IV Awe na Cheti kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali Ujuzi katika kutumia Microsoft Applications Awe na umri kati ya miaka 18 - 25 Awe tayari kufanya kazi katika Mkoa wowote ule atakaopangiwa majukumu Mshahara utategemea na sifa za...
  16. Strictly Syrup

    🚨FREELANCE TASK🚨 Mtaalamu wa kutengeneza 3D models anahitajika

    Salaam, Kama una uwezo wa kutengenenza 3D models unahitajika kuna task inatakiwa kufanyika, na malipo utapata baada ya kazi. Na kama utafanya vizuri, utakuwa unapewa task za mara kwa mara. Hii siyo ya kukosa. Kama una skills hizo, karibu PM.
  17. M

    Programmer/ Mtaalamu wa java EE anahitajika!

    Habari zenu wana jamvi. Nahitaji programmer/ mtaalamu mbobefu wa Java EE kwa ajiri ya kunisaidia kwenye moja ya projects ambazo ninazo. Ni short term contract na tutalipana according to makubaliano. Kwa kifupi nature ya kazi ni ku-customize mfumo ambao upo na unatumika tayari na taasisi...
  18. DEFENDAX

    SERIOUS: Mchumba (mwanamke) anahitajika

    Mimi kijana mwenye umri wa miaka 26 Nimejiajiri, nina biashara inayoniingizia kipato kila siku Rangi - Maji ya kunde Urefu - Kawaida, siyo mrefu sana wala siyo mfupi Sifa za ninaemuhitaji, awe ni mwanamke mweny sifa hizi; Umri angalau kuanzi miaka 25 kushuka chini Mweusi, akiwa maji ya kunde...
  19. L

    Fundi wa samani za ndani anahitajika

    Wanahitajika mafundi furniture watatu wenye uzoefu. Eneo la kazi Ni Kigamboni Dar es Salaam. Sifa Nidhamu ya kazi Msikivu Mkazi wa Dar
  20. M

    Tangazo la kazi: Anahitajika Afisa Masoko na Mauzo (marketing & sales) - Mwanza au Dar es Salaam

    Hello! Wana JF. Anahitajika afisa masoko na mauzo kwa ajili ya biashara ya vifaa vya keki na upambaji wa keki. Maombi yapo wazi kwa jinsia zote ila wanawake watapewa kipaumbele. Tangazo kamili lipo kwenye attachment.
Back
Top Bottom