Majukumu yako
Kuuza bidhaa dukani
Usafi wa ofisi wakati wote
Kuendelea na Mpesa na Tigo Pesa
Mshahara
200,000 kwa mwezi
Ofisi itatoa Mlo wa mchana
Ofisi itatoa malazi (sehemu ya kuishi) kwa anaetokea Mkoani Wakati wote atakapokuwa mfanyakazi.
ELIMU
Uwe umefika Chuo chochote
Usikie na kuelewa...
NATURAL SKIN SOLUTION
IMANI YETU
Tunaamini kazi kubwa ya msimamizi wa biashara (CEO) ni kuunganisha sera, mipango , rasilimali pamoja na miundombinu kuhakikisha biashara inapata faida kubwa kwa kadri inavyowezekana
Katika kufikia lengo hili , CEO atajikita kufanya maamuzi ya aina mbili;
Moja...
KAZI YA KUWEKA GAMES KWENYE PC, PS3 NA PS4 🚨
MFANYAKAZI MWANAUME (MALE ONLY) ANAHITAJIKA
AWE NAVIGEZO VIFUATAVYO:
1. Awe Anaishi maeneo ya riverside, mawasiliano, sinza, mwenge au ubungo ,
2. Awe na ufahamu wa kuweka game na kutengeneza mashine za ps4, ps3, na PC
3. CV yenye wadhamini halali...
Habari wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji.
Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na hivyo nimeamua kuzitoa bajaji na bodaboda kwa kijana ataye weza kuendana na taratibu na sheria zetu...
View Vacancy - Chef (08/23 DAR)
The British Government is an inclusive and diversity-friendly employer. We value difference, promote equality and challenge discrimination, enhancing our organisational capability. We welcome and encourage applications from people of all backgrounds. We do not...
Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-36.
2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD).
3. Awe kajiajiri au muajiriwa.
4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini.
5. Awe mtu mwema na open minded.
6. Asiwe mwenyeji wa Singida,Manyara.
Mimi:
1. Nina degree ya Engineering...
Habari ya muda huu GreatThinkers
Hili ni shamba la dhahabu lenye zaidi ya heka 35.
Mwenye eneo ameshapata nyaraka zote zinazotakiwa toka wizara husika na upande wa geologist report - anayo ambayo aliipata toka kwa local company.
Heka 5 tayari zimeshatengwa kwaajili ya uchimbaji (binafsi) na...
Tangazo la Nafasi ya Kazi
Anahitajika Secretary Mwenye ujuzi wa miaka isiyopungua miaka 3 kazini, Awe amesoma kwenye vyuo vinavyotambulika hapa Tanzania au nje.
Umri usiopungua miaka 35 na usiozid miaka 50
Eneo la kazi: Bagamoyo
Mshahara ni maelewano
Tuma CV yako kupitia sajocbc@gmail.com...
Tangazo la Nafasi ya Kazi
Anahitajika Secretary Mwenye ujuzi wa miaka isiyopungua miaka 3 kazini, Awe amesoma kwenye vyuo vinavyotambulika hapa Tanzania au nje.
Umri usiopungua miaka 35 na usiozid miaka 50
Eneo la kazi: Bagamoyo
Mshahara ni maelewano
Tuma CV yako kupitia sajocbc@gmail.com...
Wana JF
Nina rafiki yangu ni mchanganyiko wa kihindi na mwafrka yupo Dar ameajiriwa na kampuni flan kubwa sana ameniomba nimsaidie kupata mke wa kiarabu au mwenye asili ya kiarabu au kizungu au mzungu ili aoe.
Yeye umri wake 46, anao watoto 2. Wataongea wafahamiane wakikubaliana tabia basi...
Mambo yasiwe mengi,
Nahitaji supplier mwenye mfuko ya kilo 25 na kilo 50 kwa bei ya jumla alete quotation yake na contact au physical address tufanye biashara.
Karibuni.
Sifa za Muombaji:
Awe na elimu angalau ya Kidato cha IV
Awe na Cheti kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
Ujuzi katika kutumia Microsoft Applications
Awe na umri kati ya miaka 18 - 25
Awe tayari kufanya kazi katika Mkoa wowote ule atakaopangiwa majukumu
Mshahara utategemea na sifa za...
Salaam,
Kama una uwezo wa kutengenenza 3D models unahitajika kuna task inatakiwa kufanyika, na malipo utapata baada ya kazi. Na kama utafanya vizuri, utakuwa unapewa task za mara kwa mara.
Hii siyo ya kukosa.
Kama una skills hizo, karibu PM.
Habari zenu wana jamvi.
Nahitaji programmer/ mtaalamu mbobefu wa Java EE kwa ajiri ya kunisaidia kwenye moja ya projects ambazo ninazo. Ni short term contract na tutalipana according to makubaliano.
Kwa kifupi nature ya kazi ni ku-customize mfumo ambao upo na unatumika tayari na taasisi...
Mimi kijana mwenye umri wa miaka 26
Nimejiajiri, nina biashara inayoniingizia kipato kila siku
Rangi - Maji ya kunde
Urefu - Kawaida, siyo mrefu sana wala siyo mfupi
Sifa za ninaemuhitaji, awe ni mwanamke mweny sifa hizi;
Umri angalau kuanzi miaka 25 kushuka chini
Mweusi, akiwa maji ya kunde...
Hello! Wana JF.
Anahitajika afisa masoko na mauzo kwa ajili ya biashara ya vifaa vya keki na upambaji wa keki. Maombi yapo wazi kwa jinsia zote ila wanawake watapewa kipaumbele. Tangazo kamili lipo kwenye attachment.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.