app

A mobile application, also referred to as a mobile app or simply an app, is a computer program or software application designed to run on a mobile device such as a phone, tablet, or watch. Apps were originally intended for productivity assistance such as email, calendar, and contact databases, but the public demand for apps caused rapid expansion into other areas such as mobile games, factory automation, GPS and location-based services, order-tracking, and ticket purchases, so that there are now millions of apps available. Apps are generally downloaded from application distribution platforms which are operated by the owner of the mobile operating system, such as the App Store (iOS) or Google Play Store. Some apps are free, and others have a price, with the profit being split between the application's creator and the distribution platform. Mobile applications often stand in contrast to desktop applications which are designed to run on desktop computers, and web applications which run in mobile web browsers rather than directly on the mobile device.
In 2009, technology columnist David Pogue stated that smartphones could be nicknamed "app phones" to distinguish them from earlier less-sophisticated smartphones. The term "app", short for "software application", has since become very popular; in 2010, it was listed as "Word of the Year" by the American Dialect Society.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Nawezaje Kurun GTK App on Windows

    Habari wadau mdogo wenu bado napigika na mambo ya coding mdogo mdogo hope tutafika tu niliwahi kuwaeleza ndugu na wadau humu ili uweze kujua coding haraka ni lazima ujua kusoma code za watu na kuzielewa huwezi kufanya kila kitu alone itakugharimu mda sasa katika pita pita zangu huku nikagundua...
  2. S

    Benki ya CRDB boresheni muonekano wa Mobile App yenu

    Kwakweli naomba niseme tu SIMBANKIG Mobile Application ya CRDB,imekosa mvuto kulinganisha na ya washindani wao wakubwa wa kibiashara ingawa mtu unapata huduma unayohitaji kupitia hiyo App. Kwa mtazamo wangu, tatizo ninaloliona linatokana na rangi wanazotumia CRDB ambazo ni nyeupe na kijani...
  3. A

    App developer needed

    Experienced app developers needed, you must be able to create a complex system yet maintainable that will involve some complex programming. High priority will be given to those who employ the use of block chain tech in programming. DM with your experience and CV Deadline for application 15...
  4. Mario Kempes

    App gani nitapata radio ya Wasafi Fm?

    Achana na youtube, ni app gani ya radio naweza nikapata matangazo ya radio ya Wasafi Fm? Maan sisi wa huku mikoani tunateseka sana kumsikiliza George Ambangile
  5. Gabb_y

    App ya kudownload movie zilizotafsiri na sizoni bure

    *****†********
  6. mnoel

    msaada tafadhali naomba yeyote mwenye autocard app na cracks zake, im really in need

    Msaada tafadhali; yeyote anayeweza kunisaidia app ya Autocard, na cracks zake, the current one.
  7. mnoel

    msaada tafadhali naomba yeyote mwenye autocard app na cracks zake, im really in need

    Msaada tafadhali; yeyote anayeweza kunisaidia app ya Autocard, na cracks zake, the current one.
  8. ZOPPA

    Msaaada Online streeming tv App

    Naitaji kuangalia mpira na baazi documentary tafadhari naomba msaaada wa app nitakayoweza kustream online tv
  9. beth

    Uchaguzi Urusi: App ya Navalny yaondolewa Apple na Google Store

    'Smart Voting App' ya Kiongozi wa Upinzani Nchini humo, Alexei Navalny imeondolewa Google na Apple Store katika siku ambayo Wananchi wanaanza kupiga kura kwenye Uchanguzi wa Bunge. Mamlaka zilitishia kuzitoza faini Kampuni hizo ikiwa zitakataa kuiondoa. Uchaguzi utafanyika kwa siku tatu kuanzia...
  10. Program Manager

    Msaada app inayoweza ku convert movie za format hii

    Hizi ni movie hazifunguki kwa VLC so nataka kuziconvert ili zifunguke kwa VLC Winx Hd na Any video converter zimeshindwa ku convert
  11. mwilawi

    Msaada: APP ya Simba haifunguki

    App ya simba iliyozinduliwa juzi mbona haifunguki au kuna namna ya kuifungua. Tafadhari mulioifungua tupeni njia.
  12. Mkushi Mbishi

    Bluestacks Emulator ukiipakua App inasubiri sana haikubali

    Niko na bluestacks emulator kwenye pc yangu mwanzo ilikuwa ina download playstore apps vzr tu, lakini sasa kila app ninayodownload inawaiting sana wala haidownload na hakuna app nyingine yoyote ambayo inatakiwa kusubiriwa. niko na apps mbili tu google drive na whatsapp tu na zinapiga kazi...
  13. T

    Live translation App with Eng sub

    Habari wana JF, msaada tafadhali kwa yoyote anafahamu App ambayo inaweza fanya live speech translation mfano kama kiongozi anazungumza yenyewe inakua inaonesha maneno yanayosemwa kama Subtitle.Nitangulize Shukrani.
  14. fundi bishoo

    Kuna app ambayo naweza kuweka makala ya Kiingereza initafsirie?

    Habari wakuu kwema? Nataka nijue kama kuna app ambayo naweza nkapaste stori au makala fulani ya Kiingereza halafu initafsrie nataka nitafute ujuzi tofaut tofauti tatzo lugha nayo inakua ngumu naomben msaada kwa anaeijua hyo app #yesbishoohaswaaaa
  15. J

    Nahitaji developer (Web & App)

    Habari. Naitaji developer anayeweza kutengeneza e-commerce na app. Kuna project nataka tupige . Kama uko tayar nitumie namba yako ya whatsapp
  16. Cards Fantasy

    Nahitaji App developer au kampuni ya kutengeneza App

    Habari za leo wanafamilia. Nahitaji App developer au company inayodeal na utengenezaji wa Apps. Nna mfadhili anataka kunipa support kwenye app yangu. Mimi ni Muanzilishi wa Kuku Care Tanzania. Tunauza herbs na spices Maalum za kutibu na kukinga magonjwa mbalimbali ya Kuku, kupandisha...
  17. OKW BOBAN SUNZU

    Sumsung A20 inagoma kuinstall App

    Natokaje hapa wana teknolojia? Simu inakuwa Pending muda wote nikiwa nafanya installation
  18. guojr

    SoC01 Ushauri wangu kwa Serikali kupitia TRA

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nianze na angalizo kuhusu andiko langu hili kuwa sio la kielemu wala kitaalam ni mawazo yangu binafsi ninavyotamani kuona kama yanaweza kuonesha njia ya mabadiliko kwenye ukusanyaji wa mapato nchini. Nikirejea motto wa mamlaka ya mapato...
  19. Lycaon pictus

    Yanga wanasema app yao iliingiza milioni 100. Iliwezekanaje?

    Nadhani niliwasikia vizuri Yanga wakisema app yao iliwaingizia 100m. App hiyo waliiweka January 2020 na inaonyesha install 100k ambayo inweza kuwa hadi karibia na 500k. Waliwezajekuingiza pesa hizo?
  20. Hplp2275H

    Ni Apps zipi za Mitandao ya Kijamii unamiliki kwenye simu yako na na kwanini?

    Mimi nina apps mbili tu Tuu ambazo Ninamiliki kwenye simu yangu nazo ni Twitter na WhatsApp. Facebook niliiacha kitambo kwa sababu ya kuwa na limited number of friends Kule Vichwa vipanga ni wachache mno kumejaa utopolo tuu. Hata ukiwa na followers Labda uwe unaandika kuhusu mapenzi, udaku...
Back
Top Bottom