app

A mobile application, also referred to as a mobile app or simply an app, is a computer program or software application designed to run on a mobile device such as a phone, tablet, or watch. Apps were originally intended for productivity assistance such as email, calendar, and contact databases, but the public demand for apps caused rapid expansion into other areas such as mobile games, factory automation, GPS and location-based services, order-tracking, and ticket purchases, so that there are now millions of apps available. Apps are generally downloaded from application distribution platforms which are operated by the owner of the mobile operating system, such as the App Store (iOS) or Google Play Store. Some apps are free, and others have a price, with the profit being split between the application's creator and the distribution platform. Mobile applications often stand in contrast to desktop applications which are designed to run on desktop computers, and web applications which run in mobile web browsers rather than directly on the mobile device.
In 2009, technology columnist David Pogue stated that smartphones could be nicknamed "app phones" to distinguish them from earlier less-sophisticated smartphones. The term "app", short for "software application", has since become very popular; in 2010, it was listed as "Word of the Year" by the American Dialect Society.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Soma vitabu ndani ya App hii kwa malipo ya Tsh 7,000 kwa mwaka

    Habarini. Makatabaapp. Inakuletea vitabu mbalimbali vya kiswahili kwa ada ya 7,000(Kutokana na kupanda kwa gharama ada ya sasa ni Tsh 10000 kwa mwaka. Tunaomba Moderator watusaidie kuweka 10,000 badala ya 7,000 kwenye title) kwa mwaka. Vitabu humo unaweza kusoma hata ukiwa offline. Tucheki...
  2. Philemon38

    APP ya ku flash simu

    Naomba msaada kwa yeyote mwenye software za ku flash smart phone. Nahitaji ku flash VIVO Y1S
  3. Balqior

    Kumbe draft la app ya dalmax ni la kitula

    Nimeingia playok, nikaset ugumu wa dalmax 100% Tanzanian rules, nikawa na smartphone mbili, nlikuwa nawaunga ninaocheza nao Playok na dalmax, nilikutana na mtu nkapigwa suti goli 3-0 mfululizo, na mtu mwenye point 1300 tu, nilichukia kweli
  4. NMB Tanzania

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ndugu wana JamiiForums, Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo...
  5. BARD AI

    Apple kuruhusu watumiaji kuweka Apps za nje ya App Stote

    Apple inalazimika kuruhusu watumiaji wa iPhone kuwa na uwezo wa kuweka app bila kutumia App Store ya Apple. Mabadiliko haya yatawezesha watumiaji wa iPhone ku-install app yoyote nje ya App Store. 📲 𝙆𝙬𝙖 𝙠𝙖𝙬𝙖𝙞𝙙𝙖, ukiwa unataka kuweka app kwenye simu ya iPhone, unalazimika kwenda katika App Store...
  6. IBRA wa PILI

    App ya movie (Movie Box Pro)

    Mambo vipi wakuu bila Shaka mko good ok, leo nimeona niwaletee hii app kwa wale wapenzi wa movies Aina zote basi app hii utapata mpaka season cha kufanya ni kwenda Google search then pakua au download kwenye cmu yako au hata pc isipokua App hii ipo Tu kama Netflix japo hii ulipii kupakua movie...
  7. Investaa

    App and Laravel Developer anahitajika haraka. Awe Dar

    Habari wataalam, husika na kichwa cha habari hapo juu. Uwe unajua android sawa sawa bila kusahau laravel framework. NJOO PM, UWE DAR MAANA NATAKA NIONANE NA WEWE LEO LEO.
  8. kali linux

    Nahitaji Beta Testers kwa hii App

    Hello bosses... Kama kichwa kinavyosema naomba watu wanaofanya jogging au mazoezi ya kutembea kunisaidia kutest hii app. Ni very simple kutumia, app inapima steps ulizotembea au kukimbia, inacalculate distance pia inakupa avg speed yako. Nahitaji testers wa aina tofauti tofauti ili nijue kama...
  9. Sea Beast

    Mambo ya kuzingatia unapotaka kuanzisha Mobile App au Startup Company

    Tech sasa hivi ndio industry yenye pesa Duniani kuliko industry yoyote, zamani visima vya mafuta ndio ilikuwa habari ila kwa sasa tech ndio kisima cha mafuta na DATA ndio mafuta, ukitaka kufanikiwa miliki DATA the way unavyozidi kuwa na DATA nyingi na ndio utajiri wako unaongezeka makampuni kama...
  10. N

    Azam TV vipi huko, hii App mpya ya Yanga SC haijaathiri mkataba wenu?

    App ilikuwepo miaka 4 naona imefufuliwa , vipi huko wajameni haijaathiri mkataba wenu wazee wa azam tv? si mlipewa exclusive kurusha mambo yao au inakuwaje? Poleni sana ni suala la muda hata you tube account yao wataifanya active tena, palepale mliposhindwana na simba jamaa wakajifanya wapole...
  11. Sildenafil Citrate

    Yanga yatambulisha App na Tovuti mpya

    Klabu ya Young Africans SC imezindua App kwaajili ya kutoa taarifa zake ikiwemo, historia, habari za michezo, matukio na takwimu za mambo mbalimbali kuhusu Yanga. Uzinduzi huo umefanyika leo katika Hotel ya Serena, Dar es salaam ukiongozwa na Rais wa Klabu hiyo Eng. Hersi Said
  12. Bata Boy Official

    Natafuta mwekezaji (Investor) wa App yangu ya Online Casino

    Habari wakuu! Mimi ni kijana ambaye ninatamani na ninapambana sana kuwa mjasiriamali upande wa mtandaoni (online au e-entrepreneur). Miaka kadhaa iliyopita nilipata idea ya App ya Online casino (ambayo ni tofauti na online casino zilizoeleka kwa kila kitu),ila kwasababu idea kama idea haitoshi...
  13. KingOligarchy

    Nahitaji flutter App Developer

    Habari wanajamvi, Natafuta Flutter App developer wa kutengeneza 1. Main App 2. Partners app 3. Admin panel Hzo app mbili (moja ni kwa ajili ya users, yapili ni kwa ajili ya Partners , kama Uber na uber ya madereva) Design za App zote ziko tayari, Ni kuandika code TU. Maelezo mengine...
  14. babuumzuri

    WEB APP TO MySQL

    Habarini. nawezaje ku connect web application na mysql database ili user anapo input taarifa zake mfano za registration ziende moja kwa moja mpaka kwenye database. hapa tayari nimecreate web app na database via mysql ila nimeshndwa namna ya kuziconnect. naombeni msaada. natanguliza shukrani.
  15. Tanzania Tech

    Gazeti App

    Kama wewe ni mmoja wa watu amao unataka kupata habari kwa wakati na kwa haraka basi app ya Gazeti inakupa uwezo wa kusoma habari mbalimbali za hapa Tanzania kutoka kwenye vyanzo bora hapa Tanzania. Pamoja na kuwa unawaza kuwa hitaji app nyingine ya habari kwenye simu yako lakini hebu nipe...
  16. K

    Instagram App haifunguki

    Nimepata changamoto App ya Instagram haifunguki. 1.Nimejaribu kuingia kwenye settings na kuclear cache still ni vilevile. 2.Nikatoa App na kuinstall tena bado vilevile. 3.Nikazima simu na kuiwasha bado ni vilevile. 4.Nikajaribu kuinstall old version ya nyuma still bado haifunguki. Mwenye...
  17. M

    NBS Mmeshindwaje kutengeneza app yenu ya sensa? Kwa nini mnatumia app ya CSEntry ya USA?

    CSEntry ni app inayomilikiwa na US census bureau . Haimake sense NBS kutumia app hiyo hiyo kwa ajili ya kuhesabu sensa ya Watanzania. Kwa Dunia ya sasa, Data is everything. Kuwaruhusu wamarekani wajue data zetu za msingi kabisa inamaanisha wao watatuamulia kila kitu. NBS mlishindwaje kujiandaa...
  18. Planett

    Maoni: AzamTVMax Web App

    Ladies and gentlemen nawasalimu kwa jina la JMT, Mimi nikiwa mdau wa huduma za AzamTV kuna jambo ambalo ningependa kushauri kuhusu huduma ya ku stream channel za AzamTV kupitia web app. Najua management ya AzamTV wanajua changamoto ya huduma ya internet hapa kwetu na pia najua kua wanajua...
  19. M

    TCRA Wafungie API za malipo ya Selcom kwenye app ya Mange Kimambi

    Tunawapongeza TCRA kwa kuifungia app ya Mange Kimambi, kwa TZ mpaka uwe na VPN ndo unaipata. Lakini Hilo halitoshi kwani Bado anaendelea kuwachangisha Watanzania kupitia Selcom. Yaan watu wanalipia upumbavu na ikiukwaji wa maadili kwenye app yake. TCRA tunajua mna uwezo wa kumwambia Selcom...
  20. Kurunzi

    Staki Kuamini App ya Mwananchi Yanga Inamilikiwa na Yanga

    Hivi majuzi Manara alikuwa amekuwa akipromote App moja inaitwa Mwnanchi App Yanga kana kwana kwamba ni App rasmi ya Yanga. Binafsi hii hii haiina hadhi ya kuwa official apps inayomilikiwa Club Kubwa na Kongwe hapa barani Africa Yanga ni Club Kubwa na Kogwe lazima Mambo yake, Miundo mbinu...
Back
Top Bottom