application

  1. S

    Kwenye account yangu ya Ajira portal Application zangu 2 tofauti zina rangi tofauti.

    Nawashukuru kwa mrejesho wenu chanya.Hata walio challenge hasi nawachukulia Chanya
  2. sanalii

    Solved: kama umejaza kila kitu Ajira portal lakini ukiomba application kwambia “Fail”, suluhisho liko hapa.

    So kuna watu wanalalamika kua profile zao ni 100% lakini wakiomba kazi, application inafaili na kuambiwa waangalie vigezo. Kama umekutana na tatizo hili basi mi nimepata suluhisho . Kifupi ni kua ili maombo yafanikiwe, basi ni lazima uwe ume meet “minimum requirements”. Swali, system...
  3. W

    Huwa una 'Update' Kifaa na 'Application' zako mara kwa mara?

    'Application' and 'Device Update' ni kuruhusu toleo jipya la mfumo wa uendeshaji wa kifaa chako kuweza kuendesha programu au 'drivers'. 1. Kuongeza Ulinzi Wadukuzi hutafuta njia mpya za kudukua kila wakati. Usasishaji (Updating) husaidia kuzuia mianya ambayo ingeweza kutumiwa na Wadukuzi hao...
  4. Y

    Application za Vyuo, verification ya Vyeti RITA

    Kwa yeyote ambae atahutaji usaidizi wa kuelekezwa au kufanyiwa HUDUMA zifuatazo asisite kunitafuta. 1.RITA verification ya VYETI vyote. VYETI vya KUZALIWA na VIFO 2.kufanya application za vyuo vyote. 3.kufanya application ya mkopo kwa wale wanafunzi wa vyuo.especially degree na level ya juu...
  5. B

    Job Application Assistance

    Dear Leaders, I hope this message finds you well. I am reaching out to seek assistance in finding employment or casual work. If anyone can provide me with information on factories or businesses that are hiring, I would greatly appreciate it. I am a Tanzanian male, single, and flexible in...
  6. K

    KERO NSSF wametoa application yao kwenye App store

    Nssf ilikua na application ambapo mwanachama unawezo wa kuona taarifa za michango yako , Kama statement nk , Ila hivi karibuni wameitoa , sjajua kama play store bado ipo. Kulikoni, kwa nini itolewe, ilkua inaleta transparency kwa wanachama.
  7. W

    Epuka kupakua Application nje ya 'Play Store' na 'App Store'

    Hakikisha unapakua Application kutumia 'Play Store' na 'App Store' Kupakua 'Application' nje ya Play Store na App Store: - Kunaweza kusababisha "virus" kwenye vifaa vyako kama Kompyuta na simu - Kusababisha kudukuliwa kwa vifaa vyako Kupakua 'Application' nje ya Play Store na App Store...
  8. jikuTech

    Elimu ya utengenezaji wa application za simu za android part 2

    Android ni mfumo endedhi unaotumiwa sana kwenye vifaa vya kielectronic kama vile simu za mkononi na vifaa vingine vya kielectronic . Utengenezaji wa application za simu za android ni mchakato wa kuunda na kuboresha programu za simu za android. Application za simu za android zinaweza kuundwa na...
  9. Jay_255

    Natafuta mtu mwenye application yoyote playstore ila aliitelekeza kwa kuona haimlipi

    Habari, kama wewe ni android developer na una account ya google console ambayo umeifungua kabla ya mwaka 2023. Nina uhitaji wa google console account / play store developer account. Njoo pm please
  10. Advocate_Silayo

    Update mpya Application ya WhatsApp

    WhatsApp imeanzisha utaratibu wa kutuma sauti (voice note) ambayo mtumiwaji ataweza kuisikiliza mara moja tu (listen once) kama ambavyo ilivyo kwenye picha (view once). Ni maendeleo mazuri ya kiteknolojia lakini nadhani inaweza kutumiwa kama chombo cha kumtukana mtu mwingine kwa maneno na...
  11. S

    Application za mikopo onine: Wapinzani tupieni macho hili jambo, huenda ni biashara ya vigogo serikalini na inaweza kuja kuwa kashfa kubwa

    Wapinzani, nawashauri mfanye uchunguz kuhusu hizi App hasa kujua wamiliki wa hizi applicatio za mikopo. ya online ambazo zinatumika kutoza riba kubwa ndani ya muda mfupi tena wakitumia ligha za vitisho na hata kudhalilisha wateja wao wanapochelewa kulipa kwa wakati. Katika hii biashara, kuna...
  12. T

    Je unaweza kufanya madiliko kwenye application ya kazi baada ya deadline

    Naomba kuuliza eti nimefanya application ya police ajira sasa Kwa bahati mbaya siku ya Leo tar 27 nimecancel application then mfumo ukaniambia ni deadline je Ina madhara yoyote?
  13. Gloria the writer

    SoC04 Vijana na afya ya akili (AFYA YA AKILI NI MTAJI) Tanzania niitakayo vijana wapate application inayo husiana na masuala ya Afya ya akili

    Tanzania tuitakayo Selikari ianzishe Application inayo husiana na masuala ya afya ya akili vijana wengi wanaona ni aibu kwenda kuelezea matatizo yanayo wakabili wakiamini Depression ni magonjwa ya kizungu lakini app moja ikianzishwa inayo deal na maswala ya msaada wa afya ya akili ikatoa...
  14. REJESHO HURU

    Kwanini kampuni ya Maboto haina Application Number ya mkopo katika mfumo wa ESS

    Tunaomba tujue kwani tasisi zote za kibenki ukingia kwenye mfumo unakuta application number ya mkopo ambayo inakuwezesha kusettle deni lako lakini hawa maboto uhuni gani ulitumiaka mpaka hazina wakawakubalia na kuwa N/A Kwanini aisee hii inchi imechezewa sana tunaomba utumishi muwape namba hao...
  15. sonofobia

    Naomba kusaidiwa, Writing sample ni nini kwenye job application?

    Wakuu kuna nafasi ya kazi ninataka kuiomba ila moja ya document wanazotaka ni writing sample, yenye maneno maximum 1,000. Ni kazi ya research assistant, naomba kusaidiwa ufahamu. Writing sample ni nini? Na inaandikwaje?
  16. Clark boots

    App nzuri ya kuscan kutoka picha kuwa pdf

    Wakuu nahitaji Application ambayo ni easy kutumia inayoweza kupadili Image/picture kuwa pdf tena kwa kuunganisha kabisa
  17. Jamii Opportunities

    Application for Medical Service Provision for Britam Insurance (Tanzania) Limited February, 2024

    Britam is a leading diversified financial services group with presence in seven countries in Africa namely: Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, South Sudan, Mozambique and Malawi. The company offers a wide range of financial solutions in General Insurance that includes Health Insurance. These...
  18. Meneja Wa Makampuni

    Tenda ya Kudevelop Mobile Application na Website

    Habari wakuu, Anatafutwa mtaalam wa kudevelop mobile application na website. Ikiwa una nia na ujuzi wa kutosha, tafadhali wasiliana nasi. Tunatarajia kusikia kutoka kwako haraka iwezekanavyo. Asante na tunatarajia ushirikiano mzuri. Mawasiliano yetu: Bright and Genius Editors...
  19. F

    Msaada: Nahitaji ku-update taarifa kwenye maombi ya cheti cha kuzaliwa

    Habari zenu jamani, Nilikua nina apply cheti cha kuzaliwa online nikaambatanisha kitambulisho cha baba na leaving certificate wakadai ni-update kitambulisho cha mama na cheti cha la saba ila sasa nikitaka kuremove ili ni update walivyodai vile vya mwanzo vinagoma kuremove nifanyeje jamani msaada.
  20. brave Mwafrika

    Muda wa kufanya application

    Naombe kujua, kwa kozi za ufundi I mean technical college. Muda wa application mwisho tarehe ngapi..? Na je ukichaguliwa ukichaguliwa kozi ngazi ya certificate unaweza kufuta na ku apply kozi nyingine level ya diploma??
Back
Top Bottom