application

  1. Deejay nasmile

    Naomba kujuzwa kuhusu Shazam application

    Yaani kwa kifupi kichwa kinaniuma hapa Kuhusu hii app..inafanyaje kazi Inakuaje mpaka nyimbo karibia nusu ya zote..zinajulikana katika hii app. Je, ni msanii anaweka? Je, ni bloggers Au Ni hatua gani zinatumika wimbo upatikane kwenye hii app Msaada please.
  2. T

    Vitabu vya software application development

    Habari za mda huu wadau, ningependa kujua ni wapi naweza kununua au kupata vitabu vya programming language kama javascript na java kwa Dar es Salaam, Nimejaribu kutafuta maduka mbalimbali ya vitabu bila mafanikio. Yeyote anayeweza kunisaidia tafadhali
  3. P

    Kuhusu application za vyuo

    Niliapply chuo mwaka Jana nikachaguliwa zaidi ya chuo kimoja ,Ila sikufanikiwa kwenda na pia siku confirm vyuo vyote viwili . Je? Naweza kuapply Tena mwaka huu
  4. marcoveratti

    Roadmap for learning flutter (mobile application framework)

    Programming Language Dart IDE for development VsCode Android Studio intellij User Interface Widgets statefull widget stateless widget accessibility Inherited widget Theming Localization Style Material...
  5. Shadow7

    Application ya photos imeharibika bila sababu

    Habari Jf, Application ya photos ya pc window 10 imeharibika bila sababu. Naomba wenye ujuzi wa hili wanisaidie jinsi gani nitaitengeneza maana ndio ninayotumia tu. Kama kuna application nyingine naomba mniambie ili niipakue. Nisaidieni tafadhari.
  6. C

    Nawezaje kutumia Application ya CamScanner na WPS for free

    Kama kichwa cha thread kunavyojieleza hapo Kwenye hizo applications tajwa hapo juu kuna baadhi ya features huwezi kutumia mpaka uwe umelipa. Sasa kwa mwenye ufahamu nawezaje kutumia hizo applications katika features zote for free?
  7. Petluk

    Msaada wa Application ya kutransfer text message kwenye iphone

    Nahitaji free application ya kuhamisha text msg zote kutoka iphone 7 kwenda iphone X, nimefanya kwa icloud imekubali kuhamisha picha na contact peke yake.
  8. YEHODAYA

    Nawezaje kuweka Playstore Application yangu niliyotengeneza ili kuuza na mtu aki download pesa napataje?

    Wataalam, Nawezaje kuweka play store application yangu niliyotengeneza ili kuuza na mtu aki-download pesa napataje?
  9. SAFCo_Academy

    School Managment Spreadsheet application

    School Results Management Spreadsheet Application! Mkombozi wa Mashule mbalimbali Tanzania! Ni Spreadsheet (Excel) Application ambayo nimeiandaa kwa ajili ya kuchakata Matokeo ya wanafunzi (Kwa sasa ni kwa ajili ya Pre and Primary School) pamoja na Kutoka reports za wanafunzi za kutuma kwa...
  10. T

    Kazi ya Computer application

    Anahitajika mfanyakazi awe mwanamke umri kati ya miaka 26 hadi 35 kwa ajili ya kazi ya computer application Mwenye cheti cha certificate au Diploma ya Information Technology, computer science, computer application au course yoyote ya computer. Mshahara Tsh 200,000 kwa mwezi Awe anatokea...
  11. NicholeGuerrero

    Application to watch sports TV channels online in Brazil

    Hello, If you want an application to be able to watch sports channels in Brazil, especially football. You can download playtv geh at TechBigs Do you know other good apps?
  12. Clark boots

    Kumbe kuna vyuo vinaruhusu kufanya application bure kabisa?

    Habari za muda huu vijana, Jana katika pitapita zangu website za vyuo mbalimbli nilifanikiwa kuingia website ya chuo kikuu STELLA MARIS kilichopo Mtwara mjini, ni SAUTI BRANCH Ila kitu kilichonistaajabisha ni nikukuta application zao ni bure kabisa for certificate, diploma na undergraduate...
  13. Clark boots

    Kuhitajika namba za NIDA wakati wa application SUA

    Wadau, wakati nafanya application SUA. Nimekutana na kipengele kinachohitaji namba ya NIDA.. Sasa kama hauna inakuwaje hapa.!!, kuna mtu yeyote kakutananacho hiki kipengele..?
  14. Clark boots

    AVN application

    Vijina.., Nimeoomba AVN kwaajili yakuombea chuo. Ila kiukweli hatua ni nyingi mno nimepambana Nazo japo sina uzoefu ni mara ya kwanza na nimefanikiwa kumaliza pia wameniambia nisubiri ndani ya masaa 120.. Sasa nauliza ninaweza ku-edit kama itatakiwa kufanya hivyo hali kuwa nimetuma tayari...
  15. 44mg44

    Eti tcu imeongeza muda wa kufanya application vyuo vikuu?

    mwenye taarifa aniambie jaman,maana kuna jamaa hapa kanipa taarifa ila bado sijapata uhakika!! karibuni wadau
  16. D

    Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

    Naombeni msaada wadau, Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
  17. gunnar andersen

    Ni kozi ipi ya afya niombe zaidi?

    Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili. Kwa matokeo haya; PHYSICS -D CHEMISTRY -C BIOLOGY -B MATHS -D ENGLISH -C (i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi? (ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
  18. R

    NACTE Admission 2020/2021: Kozi zingine zaidi ya afya application ni lini?

    Inaonekana kozi zingine bado dirisha kufunguliwa ukiacha za afya, je kozi zingine lini dirisha litafunguliwa? Tangazo lao linasoma hivi: Welcome to Student's Admission Verification System for Certificate and Diploma Applicants. The System allows you to apply for Admission into Certificate and...
  19. FAHAD KING

    USHAURI: Achana na kutembea na CVs andika Application Letter (Barua ya kuomba kazi) kwa mwenendo huu

    Wanabodi Habari za mchana kwa member wote wa humu JF.Wengi ni walezi wa watoto ambao bado wanasoma (Advance) ningependa kutoa pole kutoka kwa moyo wangu mkunjufu kwa mihangaiko ya hapa na pale maana Sanitizer, Barakoa,Kilo za Tangawizi na Malimao sio poa.Uchumi umeyumba sana pia niweke Hongera...
  20. Davet

    Application Users Vs Browser Users

    Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo? Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako... Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee 😀...
Back
Top Bottom